MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
So far so good, namshukuru Mungu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤗🤗🤗🤗🤗🤗 Oooooh ooooh nina furaha mpaka nabubujikwa na machozi.apo umenena,, enhee ngoj nkusalmie sasa mambo mpenz 😌😌😋
Sie hakuna chochote😂Ukiachana na pesa, soma title mama🤣
Imejini uto anakwambia ugumu wote wa maisha halafu ukiend kwenye starehe unaishabikia Simba? 😂Mm nahitaji kumzaba Kofi Olomide shabiki yoyote wa Uto, maana wanasumbua sana kitaaa
Tiririka Mkuu.....
Kwamba kila kitu mnapata..dah!!!Sie hakuna chochote😂
Umenielewa nilichomaanisha?😜Kwamba kila kitu mnapata..dah!!!
Huenda sijaelewa🤣Umenielewa nilichomaanisha?😜
Nimekujibu swali ulilouliza ndiye au siye😎Huenda sijaelewa🤣
Umejibu kimafumbo sana, hata sijaelewa!!Nimekujibu swali ulilouliza ndiye au siye😎
Hamna kitu!! SieUmejibu kimafumbo sana, hata sijaelewa!!
Oooh sawa, sababu nini sasa?🥲Hamna kitu!! Sie
Sio lazima kila mtu uwe naeOooh sawa, sababu nini sasa?🥲
Ni kwa sababu hujaruhusu, mtu anatokwa udenda namna hiyo mfungulie uone namna gani anakuja, usije kupishana na gari inapeleka pesa bank.Sio lazima kila mtu uwe nae
Yeye ni rafiki yangu wa jukwaani hata pm yangu haijui
Umeniuliza swali jingine kiujanja😂Huwezi kujua, sio kila mtu ana ujasiri wa kuzama huko, huko pagumu ujue🤣🤣🤣
Sema nini, mwenye mali yake huenda kajikalia kimya huko anawachorq watu tu.