Ukiachana na Pesa, unahitaji nini sasa hivi?

Ukiachana na Pesa, unahitaji nini sasa hivi?

apo umenena,, enhee ngoj nkusalmie sasa mambo mpenz 😌😌😋
🤗🤗🤗🤗🤗🤗 Oooooh ooooh nina furaha mpaka nabubujikwa na machozi.
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Niite tena
 
Mm nahitaji kumzaba Kofi Olomide shabiki yoyote wa Uto, maana wanasumbua sana kitaaa

Tiririka Mkuu.....
Imejini uto anakwambia ugumu wote wa maisha halafu ukiend kwenye starehe unaishabikia Simba? 😂
 
Hakuna kitu muhimu kwenye haya maisha ukifika kuanzia miaka 30 kama kuwa na Mume/Mke ambaye ni best friend wako na mtafanya maisha kwa utulivu mkisikilizana maana ndio kitu unahitaji zaidi ili kuishi maisha ya furaha, utulivu na amani ya nafsi.
 
Sio lazima kila mtu uwe nae
Yeye ni rafiki yangu wa jukwaani hata pm yangu haijui
Ni kwa sababu hujaruhusu, mtu anatokwa udenda namna hiyo mfungulie uone namna gani anakuja, usije kupishana na gari inapeleka pesa bank.
 
Huwezi kujua, sio kila mtu ana ujasiri wa kuzama huko, huko pagumu ujue🤣🤣🤣
Sema nini, mwenye mali yake huenda kajikalia kimya huko anawachorq watu tu.
Umeniuliza swali jingine kiujanja😂
Delete hii comment niliyoiquote then tuendelee🤸
 
Back
Top Bottom