[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nenda Mtukulaa.Mshangazi mmoja hivi wa dasalamu...
Anichukue nije kukaa nae..
Nishapachoka dodoma..
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nataka wa dasalam an..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nenda Mtukulaa.
Wale wa zima taa kwanza πNataka wa daselam sasa mkuu
ndo wewe ulikua ilazo XXX umevaa shirt ya draft unakichwa size flan amazing?
Sio mimi leo nilivalia vazi langu la kuombea miito mitakatifu.ndo wewe ulikua ilazo XXX umevaa shirt ya draft unakichwa size flan amazing?
Siku hizi mndanganya vizuri na maneno ya kikanisa kanisa nyieeee tutapona kweliSio mimi leo nilivalia vazi langu la kuombea miito mitakatifu.
Kwani kuna nini kinaendelea adi usipone? Au tayari dija ft patoranking? πSiku hizi mndanganya vizuri na maneno ya kikanisa kanisa nyieeee tutapona kweli
nadanganywa kweupeeeeeeππHana ishu yule..
Mi nina malengo ya dhati
π€π€π€π€
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mxxxiiiiieeeewNataka wa dasalam an..
Kwa ghalama yoyote ile
Sio unadanganywa..nadanganywa kweupeeeeeeππ
Help help help[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mxxxiiiiieeeew
πππ Yaani unatafta pa kujiegesha ad amalze ubize wake sioSio unadanganywa..
Wee ushawahi ona mi nafatilia mtu hvi....
Mi mara nyingi huwa na focus na my shangazi huku ..
Ila sasa nae now yupo too bize aiseeee kazi kazi an kuonana mpaja Weeknd mi hiko kitu kimenishinda
πππ
Hapana jamni weeeh ππππππππ Yaani unatafta pa kujiegesha ad amalze ubize wake sio
πππila akirud na mahela unaniachaHapana jamni weeeh πππππ
Sio kujiegesha ni ku focus.
Maana now ametingwa na kazi hivo mda na mimi hana πππππ
Nahitaji pesa nilizoachana nazo πMm nahitaji kumzaba Kofi Olomide shabiki yoyote wa Uto, maana wanasumbua sana kitaaa
Tiririka Mkuu.....
Tutatumia wote mahela π€π€π€π€π€πππila akirud na mahela unaniacha
apo umenena,, enhee ngoj nkusalmie sasa mambo mpenz πππTutatumia wote mahela π€π€π€π€π€