Ukiachana na tabia za kimtandao wewe ni mtu wa aina gani?

Ukiachana na tabia za kimtandao wewe ni mtu wa aina gani?

Binafsi am solitary.

I have a small circle and I like to keep to myself.

I do go out and mingle once in a while but sio mtu wamashoga na mashosti.
In real life unafaa kabisa 😆 huwa sipendi mwanamke wa ku cling na mashosti. I always get attracted to independent women..with independent kind of thinking!
 
Natumai hamjambo wanabodi,

Wakuu sio siri mitandao ya kijamii imetupatia tabia mpya ambazo katika uhalisia hatuna, tabia hizi za kimtandao zimetufanya tuwe na mbwembwe, show off, chai na mizaha mingi kupitia post na comment zetu.

Tabia za kimtandao mara nyingi hutumiwa na wahusika katika kuitafuta furaha na faraja ambayo inakosekana katika maisha halisi, tabia hii ya kimtandao inamadhara pia coz kuna baadhi huichukulia kua ndo tabia yako halisi, mfano kuna watu huku wanaweza tukana na kutoa maneno ya shombo bt katika maisha ya halisi hawawezi fanya hivo hata wakiudhiwa.

Mfano kuna huyu mwamba ZERO IQ post zake nyingi huzungumzia uchakataji wa papuchi bt unaeza kuta papuchi hizo hua anazichakata hapa mtandaoni kwa maandishi na katika maisha yake halisi ni mtu wa tofauti sana.

Binafsi ukiachana na tabia za kimtandao ni mtu mpole, mkarimu, sina maneno mengi, inshort katika maisha halisi mi ni mtu wa watu.

Je kwa upande wako ukiachana na tabia za kimtandao we ni mtu wa aina gani?
Mcha mola.mlokole anayechukia ushirikina
 
In real life unafaa kabisa 😆 huwa sipendi mwanamke wa ku cling na mashosti. I always get attracted to independent women..with independent kind of thinking!
Good.

Tatizo vijana wengi wanakuona unafaa kwa kuwa cougar.

I don't know why I have issues with younger men.

Huwezi kwenda out ukatulia kivyako lazima wajiongeze.😖😖😖
 
Kwanza mtu huwezi kufake miaka nenda rudi, unless wewe ni maarufu na una verified ID.

Hapo utajitahidi kukwepa baadhi ya maneno.

Ila with fake IDs most people are mostly real.
mkuu kufake mtandaoni inawezekana bt kwenye maisha halisi ndo hakuwezekani, mfano hapa mtu anaweza jimwambafy anamiliki usafiri na nyumba nzuri akati kumbe hana lolote.
 
Good.

Tatizo vijana wengi wanakuona unafaa kwa kuwa cougar.

I don't know why I have issues with younger men.

Huwezi kwenda out ukatulia kivyako lazima wajiongeze.😖😖😖
Yawezekana unaenda viwanja vyao.

Revisit your kind-of-places and vacations.

Ukihudhuria After School Bash wakati uko late 30s nadhani huna wa kumlaumu isipokuwa wewe mwenyewe
 
mkuu itakua haupo serious, mitandaoni karibu kila mtu anamaisha mazuri, ana gari, tajiri na nk.., je haya yote yapo katika uhalisia?
Hilo nakataa, tena wanaojitutumua wengi ni maskini wenzangu tu! Unajua kuna ile kuwapa watu kitu ambacho wanataka, watu wengi ni mashabiki wa maisha mazuri n.k.

Hii inafanya watu wengi ku fake life online...ila ikija kwa real life mambo kwa offline yanaweza kuwa so different ohh.🤣🤣🤣

Kuna mwana anakwambia siwezi kuwa maskini kote kote bana...Yani offline niwe maskini na online pia niwe sina jambo? 🤣🤣🤣
 
Hilo nakataa, tena wanaojitutumua wengi ni maskini wenzangu tu! Unajua kuna ile kuwapa watu kitu ambacho wanataka, watu wengi ni mashabiki wa maisha mazuri n.k.

Hii inafanya watu wengi ku fake life online...ila ikija kwa real life mambo kwa offline yanaweza kuwa so different ohh.
 
Yawezekana unaenda viwanja vyao.

Revisit your kind-of-places and vacations.

Ukihudhuria After School Bash wakati uko late 30s nadhani huna wa kumlaumu isipokuwa wewe mwenyewe
I am certain I wouldn't get caught dead at an after school bash.

But I get your point.

What places should I visit in Dar?
 
Back
Top Bottom