mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Tena ukiangalia avatar yako na yangu inaonekana tuna tabia zinazofanana kwa asilimia kubwa sana mkuu..Hahahaha, duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ukiangalia avatar yako na yangu inaonekana tuna tabia zinazofanana kwa asilimia kubwa sana mkuu..Hahahaha, duh
Hahahaha ,km zipi ? Mm Niko tofauti sana MkuuTena ukiangalia avatar yako na yangu inaonekana tuna tabia zinazofanana kwa asilimia kubwa sana mkuu..
Avatar yako inajieleza mkuu,,Mara nyingi unachokifikiria moyoni ndy hutokea,,,
Hayo yote ninayo mm ? Mkuu nitake radhi ,naona unabahatisha sasaAvatar yako inajieleza mkuu,,Mara nyingi unachokifikiria moyoni ndy hutokea,,,
Unapoweka avatar ya aina Fulani basi ndivyo ulivyo mkuu ,,
Ubishi,
Jeuri,
Mwerevu,
Mpambanaji,
Smart,
Mzembe,
Bushoke,
Marioo,
Bwege,,
Pimbi,
Nk....
🤣🤣🤣Inaonyesha kwnza ndoa yako ni changa,,
Halafu mke kakuzidi nyota...
Yaonyesha yeye ndy anakupangia nauli ya kazini..
Au nimekosea mkuu?
Sikumaanisha hivyo mkuu,,,nimesema tabia ya mtu wa aina hyo,,kumbuka mm na ww avatar zetu zinafanana tabia,,je mm pia nipo hivyo?Hayo yote ninayo mm ? Mkuu nitake radhi ,naona unabahatisha sasa
Unaijua hy avatar vzr ? Sio muigizaji huyo ujue km yako hy
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁 UmekopiKhantwe kama Khantwe,,, mwanamke flani serious hivi asiyependa mazoea ya kijinga. Si rafiki kwa kila mtu.
Hahaha, bily duke sio mwanajeshi ni aligiza km mwanajeshiSikumaanisha hivyo mkuu,,,nimesema tabia ya mtu wa aina hyo,,kumbuka mm na ww avatar zetu zinafanana tabia,,je mm pia nipo hivyo?
Sijueleza wewe una tabia ipi,, bali numeeleza kwamba avatar ya mtu yeyote inajieleza alivyo kwa tabia hizo,,
Avatar yako ni ya kabila akizungukwa na walinzi wake,,
Kumbuka kabila ni mwanajeshi,,
Na avatar yangu ni ya kijeshi pia,,huyo jamaa anaitwa billy duke,,ni mmoja wa wapambanaji ktk movie ya predetor huoni kama zinafanana tabia?
Ila hizo tabia nilizoeleza hazina uhusiano wowote na wewe au mm Mkuu..
Hahahaha, kudadeki naweza kukubalia hiliKhantwe kama Khantwe,,, mwanamke flani serious hivi asiyependa mazoea ya kijinga. Si rafiki kwa kila mtu.
Hivi mkuu mtu akiangalia hiyo avatar yangu,,,atasema huyo ni mwimbaji au mwanajeshi?Hahaha, bily duke sio mwanajeshi ni aligiza km mwanajeshi
JKK a.k.a Afande ni mjeda jenerali na alikua rais in real life sio huyo muigizaji wako
But nimekuelewa Mkuu ,tuko pamoja
Karibu Congo Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nje ya Jf upoje? Mimi nikisoma maandishi yako namuona kijana mpole kiasi, hapendi sana kujichanganya, anapenda zaidi kutulia na kujisomea, yuko serious lakini ni rahisi kumzoea kama utamuendea kistaarabu bila paparaWith exception of BAK he is totally different person outside JF 😜😜😜
🤣🤣🤣aisee
Ah wapi hivyo ndivyo ambavyo nakutafsiri kipenzi😁😁😁 Umekopi
Ila kuna wadada ukiwasoma tu unajua huyu,MmmmhAh wapi hivyo ndivyo ambavyo nakutafsiri kipenzi
Ni makubwa sana kiongozPole. Usiruhusu hiyo Hali.
Talk is therapy.
Share mawazo yako, share matatizo gani unayopitia
Ukiona mtu anatukana mtandaoni ndio tabia yake hata kwenye maisha halisi
Mimi huyo?
Ninavyokupenda nawezaje kukutukana jamaniNaomba uniprivate message tusi kubwa kabisa unaloweza kutamka..