Ukiachana na tabia za kimtandao wewe ni mtu wa aina gani?

Ukiachana na tabia za kimtandao wewe ni mtu wa aina gani?

Natumai hamjambo wanabodi,

Wakuu sio siri mitandao ya kijamii imetupatia tabia mpya ambazo katika uhalisia hatuna, tabia hizi za kimtandao zimetufanya tuwe na mbwembwe, show off, chai na mizaha mingi kupitia post na comment zetu.

Tabia za kimtandao mara nyingi hutumiwa na wahusika katika kuitafuta furaha na faraja ambayo inakosekana katika maisha halisi, tabia hii ya kimtandao inamadhara pia coz kuna baadhi huichukulia kua ndo tabia yako halisi, mfano kuna watu huku wanaweza tukana na kutoa maneno ya shombo bt katika maisha ya halisi hawawezi fanya hivo hata wakiudhiwa.

Mfano kuna huyu mwamba ZERO IQ post zake nyingi huzungumzia uchakataji wa papuchi bt unaeza kuta papuchi hizo hua anazichakata hapa mtandaoni kwa maandishi na katika maisha yake halisi ni mtu wa tofauti sana.

Binafsi ukiachana na tabia za kimtandao ni mtu mpole, mkarimu, sina maneno mengi, inshort katika maisha halisi mi ni mtu wa watu.

Je, kwa upande wako ukiachana na tabia za kimtandao we ni mtu wa aina gani?
Unaonekana tu ....miaka 90 katka ndo yako kweli n mpole na mkarimu....Kama profile yako[emoji3]
 
With exception of BAK he is totally different person outside JF [emoji12][emoji12][emoji12]
Weka picha tuone how different you are in a real world[emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Ni makubwa sana kiongoz
Hakuna utakachopitia ambacho Ni kipya chini ya jua.

Usione watu wanatembea barabarani...wanakatiza ofisini na cheko Kama lote.....watu wamebeba mizigo ndani ya nyoyo zao.

Mpaka siku watakayojidhuru ama akili zitawaruka ndo picha unaanza kuonekana. Do not allow that.

If you looked at me. Huwezi kuamini nimeshapitia mtihani wowote maishani mwangu. Am so full of life, jovial and without a care. Hii ninkwasababu najua nilichokipitia. So chochote kinachonikuta huwa najitahidi kumalizana nacho fasta kisinizowee na kuniwekea majonzi kwenye nafsi yangu.

Na nikikuambia talk is therapy. I mean it. Talk to people. Hata anonymously hapa JF. But just talk and don't be afraid of being judged. Utapata relief.
 
Usikariri maisha wewe, wengine humu hawafanani na uhalisia hata 10%
right, tena wengi humu wanafake sana japo wanajifanya ndo walivyo katika uhalisia, kuna member ninaowafaham humu ndani yaani vituko wanavyofanya huku ndani huwezi amini ukikutana nao, hua tunacheka sana tukipiga stori, wao hudai huku ni sehem ya kutafuta furaha na kurefresh mind ndo maana wanajiweka vile.
 
Back
Top Bottom