Ukiachwa unatakiwa usikilize nyimbo gani ili roho itulie

Ukiachwa unatakiwa usikilize nyimbo gani ili roho itulie

Izo nyimbo ndo Zita pigilia msumar kabsaa ila
1.killy-Roho
2.macvoice-nenda
3.mo music -simama
4.Timbulo ft Baraka-usisahau
5.kasim mganga-awena
6.Sanakary-Tatizo
7.jaymelody-mbali na wewe
8.Fadha king-Pepea
 
Umefanya vyema kumkumbusha!

Can I .....?

Mie naimba Zuchu Naringa Naringaa... Nasianguuki, Mimi nimechaguliwa...mnavyotuma viniue vinanipa ujasiri vinanifanya niwe kamili gado...


Professor of whaaaaat?
 
Mie naimba Zuchu Naringa Naringaa... Nasianguuki, Mimi nimechaguliwa...mnavyotuma viniue vinanipa ujasiri vinanifanya niwe kamili gado...


Professor of whaaaaat?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huo ndio wimbo 'unaosikilizaga'?

Anyway, naomba ufunguo wa mlango wa waziri mkuu maana, "In our culture......."
 
1.Ex wakunifanya ninywe nilewe mi simuoni,simuoniiiiiii.. Harmonize

2.Mwagilia Moyo... Diamond
 
Back
Top Bottom