Burudika na Mbonyi😂Hivi ukiachwa unatakiwa usikilize nyimbo gani ili roho itulie?
Tulia...Dr.Sara KHivi ukiachwa unatakiwa usikilize nyimbo gani ili roho itulie?
Umefanya vyema kumkumbusha!Ustaadh asalaam, huyu anaomba ushauri wa wimbo sio kulipa kisasi au kumdhuru, anataka wimbo wa kumfariji.
Umefanya vyema kumkumbusha!
Can I .....?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huo ndio wimbo 'unaosikilizaga'?Mie naimba Zuchu Naringa Naringaa... Nasianguuki, Mimi nimechaguliwa...mnavyotuma viniue vinanipa ujasiri vinanifanya niwe kamili gado...
Professor of whaaaaat?