Ukiagiza gari Uingereza bei ni ndogo na ushuru kuliko kuagiza Japan. Hii imekaaje?

Ukiagiza gari Uingereza bei ni ndogo na ushuru kuliko kuagiza Japan. Hii imekaaje?

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Kuna group la Bwana Chriss Lukosi, bingwa wa minada na magari.

Huyu jamaa anajitaidi sana kutuweka kama ulaya na magari ya kisasa.

Sasa kwenye magroup kuna marange na madiscover ya UK unakuta gari umenunua milioni 14 na ushuru milioni 18.

Tena unaenda kuchukua kwake wala swala la nini wewe sio lako na range nzuri ya mwaka 2006 na kuendelea. Ila huku japan ni kwa jumla ya pesa uliyonunua ni kama umenunua gari mara mbili.

Bado na jiuliza au gari ikiwa kwenye kontena ushuru unashuka na ikija wazi ushuru unakuwa mkubwa.
 
Unajua neno "HUENDA"?

wewe ni ukoo wa shetani nilifikiri labda unatambua hata mawazo yangu
Unaona ni kutoka UK
Screenshot_20230228-140453_WhatsAppBusiness.jpg
Screenshot_20230228-140453_WhatsAppBusiness.jpg
 
Kuna group la Bwana Chriss Lukosi, bingwa wa minada na magari.

Huyu jamaa anajitaidi sana kutuweka kama ulaya na magari ya kisasa.

Sasa kwenye magroup kuna marange na madiscover ya UK unakuta gari umenunua milioni 14 na ushuru milioni 18.

Tena unaenda kuchukua kwake wala swala la nini wewe sio lako na range nzuri ya mwaka 2006 na kuendelea. Ila huku japan ni kwa jumla ya pesa uliyonunua ni kama umenunua gari mara mbili.

Bado na jiuliza au gari ikiwa kwenye kontena ushuru unashuka na ikija wazi ushuru unakuwa mkubwa.
Naomba hiyo whatsapp link kama unayo chief
Nimeona kweli jamaa anauza magari kwa bei nzuri sana ila wasi wasi wangu ni ubora wa magari yenyewe
 
Anauza matatizo ndiyo maana bei rahisi. Hakuna magari mabovu na ya hovyo kama Range Rover. Watu wanaona ufahari kuonekana wanaendesha madungu yaliyozeeka na kutumika Ulaya lkn wana maumivu makubwa kwenye pochi.
 
Anauza matatizo ndiyo maana bei rahisi. Hakuna magari mabovu na ya hovyo kama Range Rover. Watu wanaona ufahari kuonekana wanaendesha madungu yaliyozeeka na kutumika Ulaya lkn wana maumivu makubwa kwenye pochi.

Sio lazima ununue range hata ukienda kumpa order ya toyota used anakuletea vizuri tu kutoka uingereza huko huko
 
Back
Top Bottom