Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Wewe unataka kifiro? Unawashwa wewe? Watu mnajifanya wajuaji sana. Enzi hizo zilishapitwa na wakati.Unataka ngumi au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unataka kifiro? Unawashwa wewe? Watu mnajifanya wajuaji sana. Enzi hizo zilishapitwa na wakati.Unataka ngumi au?
Hiyo wala hata haichekeshi.Wewe unataka kifiro? Unawashwa wewe?
Usijifanye mjuaji sana bamdogo. Hujui lolote. Hapa tunaelimishana tu wakati mwingine.Hiyo wala hata haichekeshi.
Endelea na matusi yako, umekutana na mimi ni Chatbot, wala siyazingatii hayo matusi.Usijifanye mjuaji sana bamdogo. Hujui lolote. Hapa tunaelimishana tu wakati mwingine.
Anauza auction cars nyingi zimegonga lakini haimaanishi ni mbovu, mzungu akichubua tu gari haitaki tena insurance anavuta mpunga hiyo anatupa hawa auction wanaziokota tu hujui nchi kama marekani gari zinatupwa mzee ukiikuta unamiliki na huulizwi? Mtu kanunua gari mpya hana space ya parking analitelekeza gari barabarani wa kuokota aokote, kama anamuda anakuuziwa bei ya nyanya au srepa tu lakini hizi ni bora kuliko hizo japan zenu.Anauza matatizo ndiyo maana bei rahisi. Hakuna magari mabovu na ya hovyo kama Range Rover. Watu wanaona ufahari kuonekana wanaendesha madungu yaliyozeeka na kutumika Ulaya lkn wana maumivu makubwa kwenye pochi.
Bamdogo huna hoja lakini kwa level ya vijiweni wewe ndiyo konki. Na kama ni ngumi pigana hapo kijiweniEndelea na matusi yako, umekutana na mimi ni Chatbot, wala siyazingatii hayo matusi.
Au ulidhani nita react?
Haya turudi kwenye mada, bado unataka nikujibu swali lako?
Mimi sina hoja kweli, kwani kuna mahala umenisoma nikijinadi kuwa nina hoja?Bamdogo huna hoja lakini kwa level ya vijiweni wewe ndiyo konki. Na kama ni ngumi pigana hapo kijiweni
Huyu wala siyo wa kumkazia misuli, ni kwenda naye hivi hivi mdogomdogo "ukimchezea masikio' kama teddy bear.Ona ulivo zuzu sasa basi unajiona unajua mwenyewe
Labda huna hela garage sasa ni nyingi sana hata kama ni range ya 2023 inatengenezeka. Alafu huo ushamba wa spare bado mnauzungumzia aisee amazon kuna kila spare bwana acha ushamba. Tusiende mbali spare gani ya range sport HSE 2007 utaikosa bongo?Spea ghali hazipatikani labda Nairobi na mafundi wa gari za UK hakuna waliopo Bei juu thus ma range mengi yamepaki
Unachekacheka ni i wewe? Si na wewe ununue Subaru alteza iliyokugonga kwenye bajaj
Una uhakika nimezaliwa mkoani?Watu mlozaliwa mikoani mna balaa sana
Cc2700 ndio yanakula mafuta ebu usiwatishe wapwa..Yanakula mafuta sababu UK mafuta ni Bei ya vocha
Vyuma vyakavu vya Land Rover. Soma vizuriKwani gari za kuagiza japan sio vyuma chakavu???
Sio sababu mzee sasa wewe unataka auze brand new?? Ili amuuzie nani wakati watz ndio uwezo umeishia hapo?Vyuma vyakavu vya Land Rover. Soma vizuri
Sawa. Lkn nimetoa tahadhari hayo magari hayana ubora HASWA yakianza kuzeeka na yana gharama kufanya matengenezo yakiharibikaSio sababu mzee sasa wewe unataka auze brand new?? Ili amuuzie nani wakati watz ndio uwezo umeishia hapo?
Zamani walimwita mbeba maboxi leo wanamwita traderChriss yuko vizuri
Ova