Ukiagiza gari Uingereza bei ni ndogo na ushuru kuliko kuagiza Japan. Hii imekaaje?

Ukiagiza gari Uingereza bei ni ndogo na ushuru kuliko kuagiza Japan. Hii imekaaje?

Nimeuliza sababu za hadi mtu aagize VX kutoka UK na siyo Japan. Sababu na ushahidi tafadhali.
Mkuu nyongeza pia kuna Toyota ni special maalum kwa ajili ya nchi tano tajiri za ghuba uarabuni Saudi Arabia UAE,Quwait, Oman, Qatar na Bahrain GCC specs. Mfano Toyota land cruiser V8 lC300 kuna maalum kwa ajili ya hizo nchi. Pia Nissan patrol. Mfano nissan patrol Nismo.

Sifaza hizi gari special kwa ajili ya GCC zimetengenezwa maalum kwa ajili ya hali ya hewa ya huko ya joto pamoja na mchangamchanga kustahimili sandstorm. Halafu mfumo wa AC zao ni very strong.
 
Sawa. Lkn nimetoa tahadhari hayo magari hayana ubora HASWA yakianza kuzeeka na yana gharama kufanya matengenezo yakiharibika
Ni kweli lakini hapo kila mtu na uwezo wake sema kila mtu anunue gari analolimudu matunzo. Wapo babu zetu walio miliki range za miaka ya themanini na mpaka leo zinaendeshwa na wajukuu. Hivyo kila mtu amiliki gari la uwezo wake.
 
Wewe ulikuwa hujazaliwa wkt nasgiza gari kutoka Japan

Huna lolote la kunifundisha. Sana sana nia ilikuwa kuelimisha jukwaa lkn wewe ukachukulia kama ujuwaji. Kamfundishe babu ya kijijini huu ujinga wako. Pumbaav
Waswahili wakibishana kuhusungari lipi zuri used lililookotwa ulaya ,marekani na Japan

Mjadala umepamba moto.Kweli Tanzania maskini.Hawawezi qengi kununua magati mapya wanategemea yaliyookotwa majalalini ambayo ni used

Msije toana macho humu
 
Waswahili wakibishana kuhusungari lipi zuri used lililookotwa ulaya ,marekani na Japan

Mjadala umepamba moto.Kweli Tanzania maskini.Hawawezi qengi kununua magati mapya wanategemea yaliyookotwa majalalini ambayo ni used

Msije toana macho humu
Gari used sio uswahilini tu hata hiyo marekani watu wanauziana gari used kama kawa.
 
Anauza matatizo ndiyo maana bei rahisi. Hakuna magari mabovu na ya hovyo kama Range Rover. Watu wanaona ufahari kuonekana wanaendesha madungu yaliyozeeka na kutumika Ulaya lkn wana maumivu makubwa kwenye pochi.
Tupe mbili tatu mkuu
Ubovu wake nini hasa? Tusije kuingia mkenge maana mimi mwenyewe nimeyatamani hayo madungu
 
Labda huna hela garage sasa ni nyingi sana hata kama ni range ya 2023 inatengenezeka. Alafu huo ushamba wa spare bado mnauzungumzia aisee amazon kuna kila spare bwana acha ushamba. Tusiende mbali spare gani ya range sport HSE 2007 utaikosa bongo?
Dar pekee Sio Tanzania mikoani je
 
Dar pekee Sio Tanzania mikoani je
Tanzania mikoa ni minne tu dar, dom arusha na mwanza na hii mikoa yote niliyokutajia ina garage za hali ya juu hiyo mikoa mingine ni mashamba tu tuliwahi kupata breakdown singida gari aina ya ford ranger tatizo lilikuwa ni oilpump tu singida nzima spea hakuna tuliifuata dom. Lakini nilihamaki kahama range rover velar na evaque zimetapakaa kila kona hiyo habari ya spea utajua wewe sasa wanapata wapi wachimbaji wale.
 
Tanzania mikoa ni minne tu dar, dom arusha na mwanza na hii mikoa yote niliyokutajia ina garage za hali ya juu hiyo mikoa mingine ni mashamba tu tuliwahi kupata breakdown singida gari aina ya ford ranger tatizo lilikuwa ni oilpump tu singida nzima spea hakuna tuliifuata dom. Lakini nilihamaki kahama range rover velar na evaque zimetapakaa kila kona hiyo habari ya spea utajua wewe sasa wanapata wapi wachimbaji wale.

Kahama mpk wana G WAGON BRABUS[emoji91][emoji119]
 
Nipo kwenye group lake kwakweli bei ni rafiki sana sema ndiyo hivyo hali za kiuchumi haziruhusu
 
Mkuu nyongeza pia kuna Toyota ni special maalum kwa ajili ya nchi tano tajiri za ghuba uarabuni Saudi Arabia UAE,Quwait, Oman, Qatar na Bahrain GCC specs. Mfano Toyota land cruiser V8 lC300 kuna maalum kwa ajili ya hizo nchi. Pia Nissan patrol. Mfano nissan patrol Nismo.

Sifaza hizi gari special kwa ajili ya GCC zimetengenezwa maalum kwa ajili ya hali ya hewa ya huko ya joto pamoja na mchangamchanga kustahimili sandstorm. Halafu mfumo wa AC zao ni very strong.
Naongezea hapo mkuu..toyota zinazotumika UK nyingi ni manual transmission lakini toyota zinazotumika SA 90% ni manual transmission hata kama ni corolla
 
waswahili wamejaa wivu na husda sana jitu linamwaga povu utafikiri gari zinanunuliwa kwa hela yake.
 
Back
Top Bottom