Kwa sababu zipi? Weka ushahidi.
Hao jamaa huitwa Auto Trader huuza toyota used from UK to global sasa wewe endelea kuiwaza japan uone , dunia ishabadilika jifunze na wako dealers wengi tu wa toyota all over europe,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu zipi? Weka ushahidi.
Nimeuliza sababu za hadi mtu aagize VX kutoka UK na siyo Japan. Sababu na ushahidi tafadhali.View attachment 2709216
Hao jamaa huitwa Auto Trader huuza toyota used from UK to global sasa wewe endelea kuiwaza japan uone , dunia ishabadilika jifunze na wako dealers wengi tu wa toyota all over europe,
Kule anapata Toyota iliyotengenezwa for European Market and standardsNimeuliza sababu za hadi mtu aagize VX kutoka UK na siyo Japan. Sababu na ushahidi tafadhali.
Ambazo zina faida gani kubwa haswa?Kule anapata Toyota iliyotengenezwa for European Market and standards
Unataka ngumi au?Ambazo zina faida gani kubwa haswa?
Nakutolea mfano kwa Africa Toyota wanaleta Toyota Harrier lakin kuna ambayo wametengeneza kwa American standard wanaiita Lexus tofauti uwa ya american inakuwa luxury zaidi na madikodiko mengi ssbabu ya ushindani na watu wa kule wanaangalia luxury zaidi pia ya Africa 4 cylinder na America 6 cylinderAmbazo zina faida gani kubwa haswa?
Hapo sawa. Na UK hali ni hiyo hiyo?Nakutolea mfano kwa Africa Toyota wanaleta Toyota Harrier lakin kuna ambayo wametengeneza kwa American standard wanaiita Lexus tofauti uwa ya american inakuwa luxury zaidi na madikodiko mengi ssbabu ya ushindani na watu wa kule wanaangalia luxury zaidi pia ya Africa 4 cylinder na America 6 cylinder
[emoji853][emoji853][emoji853],Jf imeingiliwa na watu wa hovyo kidogo tu umepanic et "wewe ni ukoo wa shetani" kweli [emoji113][emoji113][emoji113]Unajua neno "HUENDA"?
wewe ni ukoo wa shetani nilifikiri labda unatambua hata mawazo yangu
Wewe ndio wa hovyo.![]()
,Jf imeingiliwa na watu wa hovyo kidogo tu umepanic et "wewe ni ukoo wa shetani" kweli![]()
![]()
![]()
![]()
Soko la magari la Marekani ni tofauti na la UK. Toyota ya UK ni sawa na ya Japan. Gari kwz kiasi kikubwa ni ileile sema wanabadilisha tu majina plus a few cosmetic differences here and there. Lakini spare parts ni hizohizo Lexus au ToyotaNakutolea mfano kwa Africa Toyota wanaleta Toyota Harrier lakin kuna ambayo wametengeneza kwa American standard wanaiita Lexus tofauti uwa ya american inakuwa luxury zaidi na madikodiko mengi ssbabu ya ushindani na watu wa kule wanaangalia luxury zaidi pia ya Africa 4 cylinder na America 6 cylinder
Ambazo zina faida gani kubwa haswa?
Hiyo Autotrader ni mtandao wa wauza magari hata USA upo. Magari yao yapo bei juu huwezi kulinganisha Toyota ya Autotrader na ya Beforward kwa mfano. Sasa hiyo Toyota ya UK ina faida gani ukilinganisha na ya Japan?
Soko la magari la Marekani ni tofauti na la UK. Toyota ya UK ni sawa na ya Japan. Gari kwz kiasi kikubwa ni ileile sema wanabadilisha tu majina plus a few cosmetic differences here and there. Lakini spare parts ni hizohizo Lexus au Toyota
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Eti Ukoo wa Shetani.Unajua neno "HUENDA"?
wewe ni ukoo wa shetani nilifikiri labda unatambua hata mawazo yangu
Anajiita kaka wa shetani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Eti Ukoo wa Shetani.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Wee jamaa unaniona mimi mjinga siyo? Nimeanza kuagiza magari kutoka Japan tokea 1996. Na USA nimeishi na UK nimeishi. Usidharau watu. Huna hoja yoyote ya maana wewe zaidi ya kukwepa maswali. Na HUJUI lolote. Nilikuwa na ku test tu. KAA KIMYA!Ona sasa hata haujui hali ya hewa ni kigezo cha utengenezwaji wa magari na utofauti huja hapo
Wewe ulikuwa hujazaliwa wkt nasgiza gari kutoka JapanUlisema toyota zipo japana tu, nikauelewesha toyota used UK zipo na kuna agency kibao huuza used za toyota kuanzia dubai, USA , UK na hadi afghanstan ukitaka gari used za toyota unapata, sasa ubishi wako ni upi wakati tunakuonesha price margin kati ya japana na UK ni kubwa kwenye used cars, yaani UK na SA wana bei ndogo ya magari used aina zote kuliko Japana sema wabongo wamekariri japan tu
Huna lolote la kunifundisha. Sana sana nia ilikuwa kuelimisha jukwaa lkn wewe ukachukulia kama ujuwaji. Kamfundishe babu ya kijijini huu ujinga wako. PumbaavOna sasa hata haujui hali ya hewa ni kigezo cha utengenezwaji wa magari na utofauti huja hapo