Kipelepeto
New Member
- Nov 23, 2022
- 2
- 1
Nimeona katika taasisi nyingi sana Maafisa Utumishi wamekuwa na tabia ya kuingiza makato kuchangia vyama vya wafanyakazi bila ya idhini ya mwanachama.
Hii imekaaje Kisheria kwa wale wajuzi karibuni tujadili pamoja.
Hii imekaaje Kisheria kwa wale wajuzi karibuni tujadili pamoja.