HIZO NI NJIA ZA SERIKALI KANDAMIZI ISIYOPENDA MAENDELEO YA WATU WAKE...KWAHIYO MSHAHARA WANAOKUPA WATAUTUNGIA SHERIA MBALIMBALI ILI WAURUDISHE KAMA SIO WOTE NI NUSU...
HIVYO VYAMA NI VYA KUKUSANYIA PESA WATU WAJIPIGIE HELA YA BURE...
HAMUONI HUU UTARATIBU WA BIMA KWA WOTE...?