Hivi hili nalo linahitaji debate kweli.Niaje waungwana,
Kama swali linavojieleza hapo juu, ukiambiwa uchague sehemu moja tu ya kujenga kwa ajili ya makazi kati ya Chanika, Kibaha, Vikindu na Bagamoyo ila kiwanja unapewa bure.
Ndugu muungwana hebu tuambie utachagua kujenga na kuishi wapi? Na kwanini?
[emoji23][emoji23][emoji23] dah!Hakuna anaetoa kiwanja bure Chanika
Wengine wanapaponda vikindu wengine wanapasifia vikindu ππMimi bagamoyo na ukanda wake naona kama kumekaa kushoto hivi, yaani ni kama sehemu ya wachawi wachawi hivi! Kibaha nako kumekaa kimkoani mkoani hivi!
Chanika nayo imekaa kiswahili Swahili hivi, kwa ufupi mbagara ya baadae.
Walau Vikindu naweza kuweka boma langu!
Sawa sawa mkuu,Nahisi haujaelewa mada mkuu. Wanaposema kuwa Tanzania ni nchi masikini, haimaanishi kuwa katika nchi hakuna matajiri.
π€£π€£π€£π€£Hakuna anaetoa kiwanja bure Chanika
Hapajui huyo anaishi Kibada huko njiapanda ya ChalinzeKwahiyo kwako wewe Chanika na Vikindu hakufai kuishi watu wenye kupato cha kati?
Hivi chanika ipo muelekeo gani tokea hapo tazara flyoverHakuna anaetoa kiwanja bure Chanika
100 umefika ulikua wapi?π€£π€£π€£π€£
Si unaona sasa njia ya Airport JKNIA mpaka PUGU unapita GONGO la MBOTOHivi chanika ipo muelekeo gani tokea hapo tazara flyover
Nipo nakunywa wine Nipo π©100 umefika ulikua wapi?
Wine ya baridi au ya MotoNipo nakunywa wine Nipo π©
Kwanini uwakimbie waswahili wenzako mkuu, au unaogopa kibebeshwa kishipa? πππSoma alama za nyakati, katika mkoa wa Pwani, Kibaha ndio kuna muelekeo zaidi. Future iko huko, hakuna uswahili uswahili.
Wewe ishi kote, lakini miji yenye ngome za kiswahili swahili hapakufai kukimbilia kuweka makazi ya kudumu.
Chanika unapita uwanja wa ndege,unapita gongolamboto unasonga Mbele hukooo.Hivi chanika ipo muelekeo gani tokea hapo tazara flyover