Kwanini?
Sehemu zinazopimwa kwa futi hata siyo pa maana.
Eneo la mita 20 kwa mita 20 mnajikuta mpo watu wawili.
Kiwanja kimoja kinapimwa futi 50 kwa 40 maana yake ni mita 12 kwa 17 chenye mita za mraba 204 wakati cha mita 20 kwa mita 20 kina ukubwa mita za mraba 400.
Hali kama hiyo ipo eneo lote la Wilaya ya Temeke (Mbagala ikiwemo), Homboza, Mkuranga-Vikindu, Kisemvule, na mikoa ya Kusini.
O
Kinachokuja hapo ni uswazi na vijumba vichafu.
Waswahili hawana utamaduni wa kujenga vyoo bora kwa hiyo hata ukijenga chako kizuri bado mtaa utakuwa mchafu na wewe utakuwa mchafu tu.