KibahaNiaje waungwana,
Kama swali linavojieleza hapo juu, ukiambiwa uchague sehemu moja tu ya kujenga kwa ajili ya makazi kati ya Chanika, Kibaha, Vikindu na Bagamoyo ila kiwanja unapewa bure.
Ndugu muungwana hebu tuambie utachagua kujenga na kuishi wapi? Na kwanini?
Asante ndugu yangu
Kama unahitaji kufuga nenda Kibaha na kama unataka kulima mananasi nenda Bagamoyo.Najua mkuu, ila niliandika hivyo kwa maana yangu. Naona Kibaha inaongoza ikifuatiwa na Bagamoyo.
Ukiangalia kwenye taarifa nzima ya habari chanika ndio mahali hapajaripoti mafuriko ukilinganisha na maeneo mengine yes kuna baadhi ya maeneo machache sana yalipata maji e.g jirani na Nermat hotelOk kumbe ni huko hamna shida cha msingi uhakika wa mbususu upo, hospital ipo sehemu za kulala wageni zipo na pia nikifanga kosa la jinai jela ipo. Vipi kuhusu mafuriko lakini?
Labda Bagamoyo mjini lakini siyo mjini DaslamSasa hivi tunaingia town kupitia bagamoyo road
Sio Kwa CHANIKA brooKwanini?
Sehemu zinazopimwa kwa futi hata siyo pa maana.
Eneo la mita 20 kwa mita 20 mnajikuta mpo watu wawili.
Kiwanja kimoja kinapimwa futi 50 kwa 40 maana yake ni mita 12 kwa 17 chenye mita za mraba 204 wakati cha mita 20 kwa mita 20 kina ukubwa mita za mraba 400.
Hali kama hiyo ipo eneo lote la Wilaya ya Temeke (Mbagala ikiwemo), Homboza, Mkuranga-Vikindu, Kisemvule, na mikoa ya Kusini.
O
Kinachokuja hapo ni uswazi na vijumba vichafu.
Waswahili hawana utamaduni wa kujenga vyoo bora kwa hiyo hata ukijenga chako kizuri bado mtaa utakuwa mchafu na wewe utakuwa mchafu tu.
Kwanini?Sio Kwa CHANIKA broo
CHANIKA mbona Bomba MBAYAKwanini?
Chanika ni ndugu wa Mvuti, Homboza, Mabagala, Vikindu na Kisemvule uswahili mwingi ustarabu kidogo.CHANIKA mbona Bomba MBAYA
Tunajadilije hoja ya kufikirika ambayo kiuhalisia haitakuja kutokea kuwepo?Niaje waungwana,
Kama swali linavojieleza hapo juu, ukiambiwa uchague sehemu moja tu ya kujenga kwa ajili ya makazi kati ya Chanika, Kibaha, Vikindu na Bagamoyo ila kiwanja unapewa bure.
Ndugu muungwana hebu tuambie utachagua kujenga na kuishi wapi? Na kwanini?
Siyo kweli, bunju mpaka mwenge huwezi kutumia masaa mawiliLabda Bagamoyo mjini lakini siyo mjini Daslam
Nina jamaa yangu anaishi Bunju Shule leo kutwa amelalamika maumivu ya mgongo na miguu baada ya kukaa kwenye Eicher 2 hours sababu ya foleni za hiyo barabara,yaani bisha utakavyobisha Morogoro Road haina mpinzani bro.
Hizo bei za chakx nilizo kutajia ni maeneo ya biashara, halafu usifananishe karikoo cha chakxSikatai lakini kwa Chanika hizo ni bei za heka siyo bei za viwanja vya kibiashara.
Mf;Kariakoo kiwanja 30x25 ni 1bill+ wakati hiyo hiyo B ukienda nayo Kibaha unanunua kijiji,na mil 20 ya Chanika Kibaha au Bagamoyo utapata 40x40.