Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BantuUGALI UGALI UGALI UGALI UGALI UGALI
Sinia kumi za ugali au makande ni sawa na sausage moja (nutrition breakdown)
[emoji16][emoji16][emoji16]Hapo mi 'NTATOA' asante tu na kuendelea na malaji
Natoa sahani, bakuli, mifupa na hiyo mark/logo ya rochy
Toa bakuli lenye paja la kuku, kula vingine halafu malizia na hilo paja la kuku. Umenielewa ?
Sembe ni nzuri kwa afya ?Chapati; ngano si nzuri kwa afya.
Mbona wabongo tumegundua vingi tu mkuu.
Natoa chapati maana huwa sina mood nazo sana kitu hapo ni ugaliiii
Hii kitaalamu ina maana gani ?Sinia kumi za ugali au makande ni sawa na sausage moja (nutrition breakdown)
Nilimsikia mtaalamu wa nutrition akisema, ni hatari kula ugali. Usile vitu visivyo na value yoyoteHii kitaalamu ina maana gani ?
Hako ka ugali kasubiri tu baadae
Ni lishe za wanyama sio havina swagg binadamu unakulaje mahindi yaliopondwa yakawa unga binadamu unakulaje mahindi yaliotokewa maganda yakachanganywa na maharageUGALI NA MAKANDE ni machakula yasiyo na swagger
Ata mambwa yanakataaNi lishe za wanyama sio havina swagg binadamu unakulaje mahindi yaliopondwa yakawa unga binadamu unakulaje mahindi yaliotokewa maganda yakachanganywa na maharage