Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Mboga ya majani inatoka jangwani wanapomwagilia na maji yanayotoka viwanda vya kemikali.Chapati haifai, ugali mweupe haufai, kama kuku ni haya ya kukuzwa kimaabara napo hamna kitu. Kitu pekee kiko safi ni mboga ya majani hiyo.