fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Tunajua wanawake hampendi ugali ingawa majumbani mnawapikia wanaume zenu ili wawe na nguvu😄😄UGALI UGALI UGALI UGALI UGALI UGALI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunajua wanawake hampendi ugali ingawa majumbani mnawapikia wanaume zenu ili wawe na nguvu😄😄UGALI UGALI UGALI UGALI UGALI UGALI
Na wasiwe na akili😂Tunajua wanawake hampendi ugali ingawa majumbani mnawapikia wanaume zenu ili wawe na nguvu😄😄
We unaangalia swaga?!🙄UGALI NA MAKANDE ni machakula yasiyo na swagger
Simple, natoa chapati..!!
Ili mtutawale eh😄😄Na wasiwe na akili😂
Duuuh! dronedrakeNa wasiwe na akili😂
Yaani hata iwe asbh chapati lazima itoke!1
We ndio Kama mimi, watabaki kusema ugali unapunguza akili lakini twaweza kuula kuanzia asubuhi mpaka usiku na bado wakiwa na matatizo yao wanajisubmit kwetu eti "baba nanihii Kuna hili Jambo linanitatiza" 🤣🤣Yaani hata iwe asbh chapati lazima itoke!1
Natoa chapati haraka sana
Ni lishe za wanyama sio havina swagg binadamu unakulaje mahindi yaliopondwa yakawa unga binadamu unakulaje mahindi yaliotokewa maganda yakachanganywa na maharage
Kama umekuwa ukimfanyia hivyo mumeo ili asiwe na akili kwa mawazo yako basi hujawahi kumpenda😫Na wasiwe na akili😂
Kati ya vyakula hapendi basi ni ugali.Kama umekuwa ukimfanyia hivyo mumeo ili asiwe na akili kwa mawazo yako basi hujawahi kumpenda😫
Hahaha basi atakuwa mlaini laini huyo mumeo🤣🤣Kati ya vyakula hapendi basi ni ugali.
Kama chapati imekandiwa maziwa, nakula 2. Ila kubwa ya kawaida moja tu nakula. Sipendi sana chapati, ila kwa hapo bora ugali usepe tu.Bantu Lady una uwezo wa kula chapati ngapi za ukubwa huo ukiwekewa na soup ya kuku?🤔
Watanzania tunahitaji elimu kubwa sana kuhusu masuala ya lishe.Dah haya bhana[emoji23][emoji23][emoji23]