Ukiambiwa toa kimoja hapo utatoa kitu gani?

Ukiambiwa toa kimoja hapo utatoa kitu gani?

Watanzania tunahitaji elimu kubwa sana kuhusu masuala ya lishe.

Kuna kipindi fulani kuna jamaa nilikuwa naishi nao, walikuwa wanaishi kisela, sasa wao mida ya saa nne usiku unakuta wanagonga ugali mkubwa mithili ya mlima meru, baada ya hapo wanaingia kulala.
Kwa kweli nilikuwa nashindwa kuwashangaa.
Hao hawana elimu ya lishe, inashauriwa si nzuri kula chakula kizito usiku coz chote kinaenda kumeng'enywa into fatts and oil na Carbohydrate(wanga) kidogo sana.
 
Hao hawana elimu ya lishe, inashauriwa si nzuri kula chakula kizito usiku coz chote kinaenda kumeng'enywa into fatts and oil na Carbohydrate(wanga) kidogo sana.
Sasa fikiria na hao jamaa ni graduates wa Udom, ndio maana yule bi chau wa humu huwa anauliza, hivi mmeenda shule kusomea ujinga ?
 
Wanawake hawapendi kile chakula kinachowalazimisha wafinyange vidole full stop, wanataka vile wanavyoweza kula kwa spoon bhaaasšŸ¤£šŸ¤£šŸ™Œ
Nakaa paleee
 
Sasa fikiria na hao jamaa ni graduates wa Udom, ndio maana yule bi chau wa humu huwa anauliza, hivi mmeenda shule kusomea ujinga ?
Wengi wanaenda shule kufaulu ili vyeti visomeke na marks nzuri wapate ajira, ila kuhusu wao kuwa well upstairs hawajari.
 
Toa ugali
Screenshot_20230321-145515.jpg
 
Mniongeze chai ya maziwa nile na chapati. Ugali na hayo majani tupa kule. Sili kuku ya michuzi labda ingekua kavu.
 
Watanzania tunahitaji elimu kubwa sana kuhusu masuala ya lishe.

Kuna kipindi fulani kuna jamaa nilikuwa naishi nao, walikuwa wanaishi kisela, sasa wao mida ya saa nne usiku unakuta wanagonga ugali mkubwa mithili ya mlima meru, baada ya hapo wanaingia kulala.
Kwa kweli nilikuwa nashindwa kuwashangaa.
Lishe ina mchango mkubwa hata kwenye maswala ya uzazi usichoshe mwili upe vitu unataka ugali mkubwa hnakuchosha tu usiku
 
Hapo chapati zitoke. Huo ugali na kuku hapo [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Yani hata kama nakula makapi dona hapana. Sembe tamuuu
 
Chapati haifai, ugali mweupe haufai, kama kuku ni haya ya kukuzwa kimaabara napo hamna kitu. Kitu pekee kiko safi ni mboga ya majani hiyo.
 
Back
Top Bottom