Ukiambiwa uunde familia kwa kutumia member wa JF, familia yako itakuwaje?

Ukiambiwa uunde familia kwa kutumia member wa JF, familia yako itakuwaje?

Natumai hamjambo wanabodi.

Wakuu ikiwa utaambiwa kuunda familia kwa kutumia member wa jamii forums, familia yako itakuwaje? Yangu iitakuwa kama ifuatavyo:

BABA: daud mchambuzi(Baba yangu ni mbabe babe kama huyu mwamba hivo anastahili nafasi hii)

MAMA:khantwe(huyu dada tangu nimfaham hapa ndani naamin ni mama bora)

SHANGAZI:sky eclat(shangazi anapaswa kua mtu serious kidogo type ya huyu dada)

MJOMBA:ushimen(mjomba anapaswa kua mtu kati kama huyu bwana)

BABU:mshana jr(huyu babu najua atanifaa sana nikikutana na changamoto za washirikiana(jokes)

BIBI:kasie(huyu bibi kupitia utani wa bibi na mjukuu wake atanifunza mahaba maana anayajua kupitiliza

MKE: katoto kazuri(napenda mke mchangamfu na mwenye vituko kama huyu dada)

WATOTO: da vinc,kenzy, chakorii, yna2, joanah(napenda watoto wenye akili &watundu, hivo nilowataja wapo wenye akili pia wapo watundu.)

NDUGU WENGINE: wanajamii forums wote waliobaki.

Je kwa upande wako familia yako itakuwaje?.
Jirani mkuda Bujibuji
 
Hii familia nimeipenda sana [emoji847][emoji847]
Thank you mom, vile umenichagulia the right dad yaani umegonga mule mule [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Mungu anipe nini mimi
Kaka yako pampula umemuona lakini? Una mawifi kijiji kizima na nguvu hata hana[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Back
Top Bottom