Ukiamua kuwa na mahusiano na mume/mke wa mtu lazima ukubali kuwa mtumwa

Ukiamua kuwa na mahusiano na mume/mke wa mtu lazima ukubali kuwa mtumwa

1. Baby samahani dakika moja, baby anapiga simu.

2. Baby muda umeenda Sana hubby wangu atanipigia, wacha niwahi kurudi nyumbani, Kesho saa 12 nitakuwa hapa

3. Baby nataka kuja kulala kwako baby Wangu amefiwa kaenda kwao

4. Baby sintaweza kuja Leo, hubby kanibana... Pole kwa kuugua

5. Baby tangulia mbele, nitakukuta... Pale wanakaa shemeji zangu, wakituona pamoja watamuambia hubby

6. Unaweza kimbiwa katikati ya sherehe usipewe hata nauli ya bodaboda, kesho unaambiwa sorry darling, si uliona hubby alitokea ghafa

7. Mkiwa mnaongea kwa simu kwa mahaba mara unashtukia unaitwa Jenny na kuagwa fasta., baadae unaambiwa mme wangu alitokea ghafla nikawa sina jinsi

8. Unaweza pitwa barabarani na mvua inanyesha,kesho ukaambiwa nilikuona my love, Ila ningefanya nini, nilikua na mme wangu.

9. Unaweza mpigia simu inaita wee hapokei kumbe yupo na mmew.

10. Unaweza tamani kuwa nae siku iyo akakwambia nina ratiba na mme m wangu leo kuna mahali naenda nae.

11. Unaweza onyeshwa Mali alizo nao na uwezo Wa kuzitumia huna, unaishia kula kwa macho tu.

12. Unaweza ambiwa usinitumie msg mme ataona, huna Uhuru.

13.Unaweza ambiwa tulia niongee na mme anapiga simu.

14. Unaweza ambiwa mda flan usinitafute ntakua na mme, usipige simu.

Yaan ni full purukushani Sa kama una wivu utajinyonga [emoji1]
Nipambane na mke wa mtu wa Nini?aisee,watoto wote Hawa wazuri ambao wako single nimuachie nani?MKE WA MTU NI KHATARI...
 
1. Baby samahani dakika moja, baby anapiga simu.

2. Baby muda umeenda Sana hubby wangu atanipigia, wacha niwahi kurudi nyumbani, Kesho saa 12 nitakuwa hapa

3. Baby nataka kuja kulala kwako baby Wangu amefiwa kaenda kwao

4. Baby sintaweza kuja Leo, hubby kanibana... Pole kwa kuugua

5. Baby tangulia mbele, nitakukuta... Pale wanakaa shemeji zangu, wakituona pamoja watamuambia hubby

6. Unaweza kimbiwa katikati ya sherehe usipewe hata nauli ya bodaboda, kesho unaambiwa sorry darling, si uliona hubby alitokea ghafa

7. Mkiwa mnaongea kwa simu kwa mahaba mara unashtukia unaitwa Jenny na kuagwa fasta., baadae unaambiwa mme wangu alitokea ghafla nikawa sina jinsi

8. Unaweza pitwa barabarani na mvua inanyesha,kesho ukaambiwa nilikuona my love, Ila ningefanya nini, nilikua na mme wangu.

9. Unaweza mpigia simu inaita wee hapokei kumbe yupo na mmew.

10. Unaweza tamani kuwa nae siku iyo akakwambia nina ratiba na mme m wangu leo kuna mahali naenda nae.

11. Unaweza onyeshwa Mali alizo nao na uwezo Wa kuzitumia huna, unaishia kula kwa macho tu.

12. Unaweza ambiwa usinitumie msg mme ataona, huna Uhuru.

13.Unaweza ambiwa tulia niongee na mme anapiga simu.

14. Unaweza ambiwa mda flan usinitafute ntakua na mme, usipige simu.

Yaan ni full purukushani Sa kama una wivu utajinyonga [emoji1]
unaweza kuwa uko nae unampelekea moto wanyabi wanakaribia kutoka ghafla simu ya mumewe inaita..utasikia huyo ni baba careen subiri nipokee
 
Huyu kenge yani amejitengenezea mpaka ki-cirlce yani mimi,mke wangu na yeye.

Alafu imefikia hatua eti anakuwa na wivu na mke wangu kunizidi ata muhusika.

Yani iko hivi akiniona niko na mke wangu haina shida hiyo kwake yani safi kabisa ila akimkuta na mtu mwengine na ngumi inarusha hii kenge bila hofu yoyote.
Yaani kajipa kazi ya kumlinda mkeo?
 
Na wale Wanaume wanaocheat na wanawake nje, wanakua na wivu kama wamewaoa mnawazungumziaje?
[emoji28][emoji28][emoji28] mwanaume ni mwanaume tu ndio.maana tuoa hatuolewi

kaulimbiu:

"Hakuna mtoto wa nje wote wa ndani"
 
Na ramadhani hii jamani???
Hajafunga huyu mkaribishe mnadani Kibamba Chama
20210425_124434.jpg
 
Back
Top Bottom