Ukiangalia jinsi Rais Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa

Ukiangalia jinsi Rais Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa

Wewe ndiye mshamba ambaye unaona state visit white house kipaumbele.

Swali au kajiswali? Nimekupa jibu la kijiswali bado umeshupaza fuvu

Nilijuaga Kiranga ni mtu smart kumbe una hoja za kijinga na kipuuuzi sana

Uko mwepesi sana kwenye geopolitical issues

Sihitaji mtu yeyote anione mimi smart. I don't need your validation.

Hatuwezi kuelewana, tuna standards tofauti.

Wewe ni kama mtu aliyekaa karibu na choo kwa miaka mingi, akazoea ile harufubya choo. Halafu mimi nakuja kutoka sehemu tofauti, nimezoea hewa safi, nakwambia hapa ulipo pananuka harufu chafu ya choo. Halafu wewe umezoea hiyo harufu hata huelewi nakwambia nini. Unaona nakutukana.

Nakupeleka ignore list. Unanijazia shombo na harufu chafu ya choo tu.

Kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.
 
Sihitaji mtu yeyote anione mimi smart. I don't need your validation.

Hatuwezi kuelewana, tuna standards tofauti.

Wewe ni kama mtu aliyekaa karibu na choo kwa miaka mingi, akazoea ile harufubya choo. Halafu mimi nakuja kutoka sehemu tofauti, nimezoea hewa safi, nakwambia hapa ulipo pananuka harufu chafu ya choo. Halafu wewe umezoea hiyo harufu hata huelewi nakwambia nini. Unaona nakutukana.

Nakupeleka ignore list. Unanijazia shombo na harufu chafu ya choo tu.

Kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.
Hizi mambo za global economy na geopolitical zimekupitia kushoto

Ulidhani kila mtu wa kumuokota na hoja zako dhaifu

Ongeza ujuzi ndio tuje kufanya argumentation hapa.

Ila kama unataka darasa karibu
 
Hatuwezi kuelewana.

Tuna standards tofauti sana.

Nakupeleka ignore list.

Kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.
Hahahahahaa

Ndio uwezo wa wajinga unapoishiaga

Utabaki hivyohivyo na ujinga wako

Kupelekana ignore list sijui kublock ni tabia za machoko pia imeonyesha kuwa umekimbia mjadala
 
Kambi ya kijeshi ya US iko siku nyingi sana Kenya
Hapo wanamtongoza ili akubali waweke kambi hapo Kenya. Mzungu ukiona anajifanya anamheshimu kiongozi wa kiafrika jua anawindwa. Umesahau bwana Membe alivyotumiwa farasi maalum wamkokote UK.

Marekani naona anatafuta mahali pa kuweka uwepo wake akapambane na influience ya Warusi na Wachina Afrika.
 
Marekani huwa Hana muda na viongozi wa manchi ya kijamaa.
Fuatilia "Youtube" ziara ya Hayati Mwl. Nyerere Marekani wakati Hayati JFK akiwa Rais wa Marekani miaka ya mwanzoni mwanzoni mwa 1960, halafu ndo urudi hapa.

Suala mama yenu hana mvuto ndani wala nje ya nchi, ndiyo maana akienda Marekani sana sana ataishia kuonana na mawaziri au Makamu basi.
 
Fuatilia "Youtube" ziara ya Hayati Mwl. Nyerere Marekani wakati Hayati JFK akiwa Rais wa Marekani miaka ya mwanzoni mwanzoni mwa 1960, halafu ndo urudi hapa.

Suala mama yenu hana mvuto ndani wala nje ya nchi, ndiyo maana akienda Marekani sana sana ataishia kuonana na mawaziri au Makamu basi.
Unaleta story za mwaka 47 hapa boss.
 
sera yake ya kuchagua Kiswahili kama lugha ya kufundishia tangu primary
Ujinga na kuelekea kwenye upumbavu unaanzia hapa.
Nani alikwambia ukijuwa kiswahili hutakiwi kujuwa kiingereza?
Wewe umeniattack mimi bila sababu za msingi, kama unataka tufanye mazungumzo kwa Kiingereza tunaweza kuanza hata sasa kwenye huu mjadala

Lakini ukweli unaujua jinsi hii lugha ya Kiingereza inavyowapiga chenga mamilioni ya Watanzania. Hizi lawama lazima ziende kwake kwa sera yake ya kuchagua Kiswahili kama lugha ya kufundishia tangu primary
Sasa kama unajuwa kiingereza kama unavyojigamba hapa, huyo Nyerere alikuwa wapi asikuzuie kuijuwa lugha hiyo?

Unakaribishwa sana kama unataka mjadala juu ya hili katika hiyo lugha. Pengine itakuwa fursa nzuri kwako kuanza kujifunza lugha hiyo. Siwezi kamwe kukunyima nafasi hiyo.

Hebu nieleze unaona tatizo gani kuhusu waTanzania kutumia kiswahili kama lugha yao.
 
Hajuhi kizungu vzr, Hana CV ya kibabe, amejipa udokta wa mchongo, hapo tu wazungu wakajua hapa kuna kilaza tu, udokta angekuwa amepewa na chuo kama Harvard, sawa!

Sasa unapewa na UD, ambayo mkuu wake unamteua wewe!

Nyerere alikuwa na ma PHD kibao ya heshima, lakini hakujihita Dokta!
Kweli kabisa[emoji23]
 
Mkuu 'Kimsboy', wakati mwingine tuwe tunatumia akili zetu kidogo. Hivi wewe kweli huoni kinachotokea kwenye ziara hiyo?
Unataka uambiwe na nani ndiyo ujuwe kuwa makoloni mapya yanatengenezwa kaarne hii hii tuliyomo!

Sasa unamhimiza na huyu wetu akatutafutie mkoloni, kweli?

Na bahati mbaya tuliyo nayo, kajipitishapitisha lakini wakubwa wakadharau, wakijua heshima tuliyowahi kuwa nayo enzi zilizopita.
Sikiliza, usimhimize sana huyu, sisi wakoloni wetu ni gradi B, toka huko Mashariki ya Kati. Kwa hiyo tulia hapohapo ulipo, utajuwa karibuni wewe mkoloni wako ni nani.

Nasikitika sana kwa nchi hii sasa kuwa na watu wa mawazo ya aina hii yako.
Mtafutiwe mkoloni mara mbili wakati keshauza nchi kila rasilimali kauza kwa mikataba ya kibwege?

Tuna rais au rahisi tena kituko cha karne ya 21?
 
Wote nyie vilaza tofautisha official state visits na trips za kawaida.
 
Sababu za kuheshimika Kwa ruto nchini marekani ni zifuatazo 1.william ruto ni rais aliyechaguliwa na wananchi lakini yule mwingine alilithishwa urithi na babu yake.
2.william ruto ana PhD kutoka chuo mahili tofauti na yule ana PhD ucharwa ya kukusanya mafaili.
3 Rais wa Kenya hakuuza ardhi za wamasai na hajawafukuza kwenye ardh Yao ya asili.
[emoji23][emoji23]
 
Kweli kabisa
emoji23.png
Kuhusu kiingereza mama samia anakijua tena kuliko hata ruto! Her accent is far better than that of ruto.
 
Back
Top Bottom