Ukiangalia jinsi Rais Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa

Ukiangalia jinsi Rais Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa

Naona kwa sasa umeishiwa hoja. Umesema kuwa Samia anaenda tu kwenye mikutano kama mshiriki

Kwenye hayo mataifa alienda kama mhudhuriaji au ilikuwa ni state visit?

Umeanza kujitoa ufahamu sasa
Nimesema Ufaransa kaenda kama. mshiriki, rais anajiendea tu hata mikutano anayoweza kutuma watu.

Ukiondoa WaTanzania na Waturuki, nani ka notice Samia kaenda Uturuki?

Ruto kaenda Marekani, dunia nzima imemuwekea macho.

Ndiyo maana mtoa mada anauliza kwa nini Ruto anapewa kipaumbele kuliko Samia?

Samia anasafiri sana, lakini safari zake hazionekani umuhimu wake.

Ruto amefanya safari moja tu, vyombo vya habari vya dunia nzima vumeipa coverage.

Ruto anajua ukitaka kumuua nyoka mpige kichwani. Ukitaka kula nguruwe chagua mnono. Sio unakwenda vinchi vya uchochoroni Uturuki huko na wenyewe wana njaa tu kama wewe wanatafuta jinsi ya kuondoka kwenye matatizo yao.

Unaweza kufananisha uchuminwa Uturuki na uchumi wa Marekani?

Mtoa mada hajaona hizo safari za Samia ni kupewa kipaumbele. Rightly so. Kaona safari ya Ruto White House ni center stage ya geopolitics.

Rightly so.
 
Kipaumbele gani mzee cha state visit white house au?

Hiki kwenu ni kipaumbele?
Hata kabla ya state visit, nimekuuliza Samia anasimamia ajenda gani kubwa duniani? Ana advantage kubwa kweli rais pekee mwanamke wa Afrika, akisema dunia inamsikiliza.

Advantage hiyo kaitumiaje kwenye geopolitics?

Samia anasimamia ajenda gani kubwa duniani ambayo unaweza kusema hii ni signatute agenda ya Samia?

Mpaka sasa hujanijibu.
 
Ruto anajua ukitaka kumuua nyoka mpige kichwani. Ukitaka kula nguruwe chagua mnono. Sio unakwenda vinchi vya uchochoroni Uturuki huko na wenyewe wana njaa tu kama wewe wanatafuta jinsi ya kuondoka kwenye matatizo yao.
Tutajie nchi zingingine ambazo Ruto amefanya ziara kabla ya Marekani
 
Kumbe muda wote hapa tunashindwa kuelewana kumbe lengo lako ni Samia akitoka watu wa-notice?
"Rais samia kwanini pamoja na ziara zote huko hapewi kipaumbele kama Ruto?"

Muda wote nakunukulia swali la awali la mtoa mada, unashindwa kusoma kwa sababu ya uzembe wa asili au unafanya jitihada za ziada kutoelewa?
 
Tuambie sababu za safari zake kutokuwa na maana tuanze na ya China, India malizia na ya Uturuki.

Tiririka hoja zenye mashiko
Hazina maana kwa sababu Samia ni mshamba, anasafiri kama trader bila big picture agenda.

Nimekwambia weka hapa bog picture agenda ya Samia ni nini, umeshindwa kuiweka. Huijui. Hata Samia mwenyewe haijui. Hana.

Wewe kama una hoja tofauti iweke hapa tuichambue.
 
"Rais samia kwanini pamoja na ziara zote huko hapewi kipaumbele kama Ruto?"

Muda wote nakunukulia swali la awali la mtoa mada, unashindwa kusoma kwa sababu ya uzembe wa asili au unafanya jitihada za ziada kutoelewa?
Ndio maana mara kwa mara nimekuwa nikiuliza state visit white house ndio kipaumbele chenu?
 
Hazina maana kwa sababu Samia ni mshamba, anasafiri kama trader bila big picture agenda.

Nimekwambia weka hapa bog picture agenda ya Samia ni nini, umeshindwa kuiweka. Huijui. Hata Samia mwenyewe haijui. Hana.

Wewe kama una hoja tofauti iweke hapa tuichambue.
Nimekuuliza hapa taja kwa nini hizo state visit za Samia hazina faida. Naona hauna hoja yoyote ya msingi

Fuatilia mikataba na makubaliano waliyosaini na hayo mataifa ndio utaelewa
 
Ndio maana mara kwa mara nimekuwa nikiuliza state visit white house ndio kipaumbele chenu?
Weka big picture agenda ya Samia katika geopolitics.

To pick just illustrative examples.

Nyerere alimbana Reagan kwenye undumilakuwili wa mabepari kwenye Free Trade huko Cancun Mexico October 1981. Canadian PM Pierre Trudeau (baba yake huyu PM wa sasa Justin Trudeau) alimuunga mkono Nyerere huku Margaret Thatcher akimuunga mkono rafiki yake Reagan. Nyerere kuanzia kijana mpaka amestaafuburais anaenda South to South Commission alikuwa na agenda ya ku address North South imbalance. Ndiyo maana hata alivyostaafu watu wa South to South Commission walimtaka aendeleze ile agenda. Alikuwa anajua anataka kufanya nini. Si mchuuzi tu. Hiyo State Visit anayoifanya Ruto Nyerere aliifanya July 15 1963. Kila mtu anayefuatilia anajua haya mambo. Nyerere kuna vitu alisimamia kimataifa. Vinajulikana. Havihitaji darubini kivijua..

Ruto anasimamia Africa kuondoka kwenye dollar dependency. Watu wa nchi za Africa wafanye biashara bila kutumia US dollar. Settlement ifanyike Addis Ababa, badala ya New York City.

Samia anasimamia nini kwenye stages za kimataifa? Hata yeye mwenyewe anajua?
 
Nimekuuliza hapa taja kwa nini hizo state visit za Samia hazina faida. Naona hauna hoja yoyote ya msingi

Fuatilia mikataba na makubaliano waliyosaini na hayo mataifa ndio utaelewa
That's trading. Rais anatakiwa awe na big picture agenda, meta agenda. Cross cutting agenda. Kusaini mikataba ya kibiashara zezeta yeyote anaweza.

What is Samia's big picture agenda?

Hujajibu swali hili.
 
Ruto anasimamia Africa kuondoka kwenye dollar dependency. Watu wa nchi za Africa wafanye biashara bila kutumia US dollar. Settlement ifanyike Addis Ababa, badala ya New York City
Amesimamia kwenye hilo mpaka sasa mataifa mangapi ya Africa yamemuunga mkono?

Hayo yote aliyasema wakati Kenya inakabiliwa na upungufu wa US dollars ilifika kipindi wafanyabiashara wa Kenya walikuwa wanakuja Tz kutafuta US dollars?

Hilo lilikuwa ni tatizo lao la kiuchumi forex reserves yao haikuwa na dollars za kutosha inamaanisha tatizo liko kwenye exportation ili wapate dollars za kutosha kwenye forex reserves yao
 
Back
Top Bottom