Ukiangalia jinsi Rais Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa

Ukiangalia jinsi Rais Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa

Yaani hata mada hujui inazungumzia jambo gani? Umri umekwenda sana, haya mengine inabidi uanze kuachia sasa.
. Ada ni hii

" Ukiangalia jinsi Rais Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa"​


Au kuna zaidi? Punguwani wahed.
 
Hajuhi kizungu vzr, Hana CV ya kibabe, amejipa udokta wa mchongo, hapo tu wazungu wakajua hapa kuna kilaza tu, udokta angekuwa amepewa na chuo kama Harvard, sawa!

Sasa unapewa na UD, ambayo mkuu wake unamteua wewe!

Nyerere alikuwa na ma PHD kibao ya heshima, lakini hakujihita Dokta!
Nakazia..
 

Acha kuweka vi website vyako vya kimchongo vya Wa Nigeria matapeli hivyo.

Vi website unaokotaza watu hawavijui from nowhere.

Hizo ranking zako zenyewe inabidi zifanyiwe ranking tuone ziko wapi katika ranking za dunia.

Unaweka rankings za marais hazina hata Key Perfrmance Indicators zenye namba, unawalinganisha vipi marais kwa maneno tu bila hata economic figures angalau?

Unalinganisha uongozi au unaleta ushairi wa hagiography hapa?
 
Huu ni mtazamo wako mzee baba
Hapana, hiyo ndiyo fact.

The fact kwamba Watanzania tuko hapa tunazungumzia ziara ya Ruto US (State Visit)na Samia katoka Ufaransa (Official Visit, ka3nda kama mjumbe kuhudhuria mkutano tu, not State Visit) hata hatujazungumzia ziara yake kafanya nini tayari inatuambia Samia si tu kakosa influence kimataifa, bali hata Watanzania hawaelewi anafanya nini na wanazipotezea tu safari zake huko nje.
 
Hapana, hiyo ndiyo fact.

The fact kwamba Watanzania tuko hapa tunazungumzia ziara ya Ruto US (State Visit)na Samia katoka Ufaransa hata hatujazungumzia ziara yake kafanya nini tayari inatuambia Samia si tu kakosa influence kimataifa, bali hata Watanzania hawaelewi anafanya nini na wanazipotezea tu safari zake huko nje.
Tofautisha aina ya ziara ya Samia na Ruto na mataifa waliyotembelea
 
Tofautisha aina ya ziara ya Samia na Ruto na mataifa waliyotembelea
That is my point.

Samia anapuyanga kama mjumbe kwenda kuhudhuria kwenye mikutano tu.
Just another face in the crowd.

Ruto anaenda State Visit White House, kwa mualiko kupiga deal kubwa na kuongea geopolitics one on one na Biden.

Ruto anaenda kwa mualiko maalum wa Head of State for a State Visit, State Dinner, the works, anaongea na Biden one on one kama equals. Samia anaenda kama kidampa mmoja tu mjumbe wa mkutano tu. Official Visit.

Ndiyo maana watu wanauliza, mbona Ruto anapewa kipaumbele sana kuliko Samia?

Huelewi nini?
 
Rais samia kwanini pamoja na ziara zote huko hapewi kipaumbele kama Ruto?

Ukiangalia jinsi Ruto alivyopokelewa kwa heshima marekani utashangaa

Ruto kapokelewa kwa heshima sana, vyombo vyote vya kimataifa vimempa airtime na headline yeye na Biden

Nashangaa rais Samia yeye hapati kabisa international coverage kabisa, sio alijazeera,sio cnn, sio bbc tutamuona akiwa kwenye ziara zake

Ziara ya Ruto ni funzo kubwa kwa machawa. Yaani sijui ni kwasababu maziara yetu hayana tija ndo maana hata hawashughuliki?...Yaani wetu ni kama wamempuuza hivi.
Ila kwa kawaida ukiona Marekani anakusifia, basi kuna kitu anataka toka kwako na atakichukua siku si nyingi. Ndiyo kama ilivyokuwa wakati wa JK.

Lakini, yote kwa yote Samia kwa kuwa sehemu ya utawala wa mwendazake ambaye alionekana kuanza kutumia mkono wa chuma, inampa wakati mgumu kidogo kimataifa.

Hata hivi sasa naona kama Samia amejitahidi walau anapewa hiyo imani kidogo kwa sasa, kulingana na namna 'wakubwa' hao walivyokuwa na sisi wakati uliopita.

Na kama mnakumbuka, kwenye ziara yake USA, Samia hadi alimkana mwendazake kwa kusema kuna mambo walipingana ili kuonesha hakuwa na msimamo kama wa mwendazake.

Unajua kwanini tunalazimishiwa kuwa hii ni awamu ya sita, wakati bado ni ileile ya tano? Ni kujaribu kujitenga na mtangulizi wake.

Ova
 
That is my point.

Samia anapuyanga kama mjumbe kwenda kuhudhuria kwenye mikutano tu.
Just another face in the crowd.

Ruto anaenda State Visit White House, kwa mualiko kupiga deal kubwa na kuongea geopolitics one on one na Biden.

Ndiyo maana watu wanauliza, mbona Ruto anapewa kipaumbele sana kuliko Samia?

Huelewi nini?
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana

Ni maraisi wangapi wa Africa hawajafanya state visit white house?

Unazungumziaje maraisi hao? Je, hawaheshimiki na hawapewi kipaumbele?
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana

Ni maraisi wangapi wa Africa hawajafanya state visit white house?

Unazungumziaje maraisi hao? Je, hawaheshimiki na hawapewi kipaumbele?
Si suala la State Visit White House tu.

State Visit US si kigezo, ila mtu hupewi State Visit US kuuza sura tu.

State Visit White House anapewa mtu mwenye ajenda kubwa. Samia hana ajenda kubwa.

Nimekuambia Ruto anaongoza mazungumzo ya nchi za Africa kuachana na kutumia dollar ya US katika intra Africa trade. Hiyo ajenda kubwa.

Nimekuuliza Samia anaongoza ajenda kubwa gani duniani au hata Africa, moja tu, hujajibu.
 
Mbona Samia alivyoenda China, India, Turkey, Norway alifanyiwa state visit?
Hizo nchi dikteta yoyote mwenye madini anaenda. Ndiyo maana hujasikia watu wakistuka wala kuongelea.

Huko duniani ukitoka Tanzania watu hata hawajui Samia kaenda wapi.

Hata Watanzania wenyewe wamepoteza interest. Hawaelewi Samia anafanya nini. Hata messaging tu ku justify safari kashindwa.

Ruto kaenda Marekani dunia nzima inamsikiliza.

Mpaka Watanzania wanauliza, mbona Ruto anapewa kipaumbele kuliko Samia?

Samia bonge la mshamba, ataishia kucheza na kina Makonda tu, hajui ku lobby big deals. Ataishia kuzunguka kisiasa tu kwa kofia ya urais.
 
Si suala la State Visit White House tu.

State Visit US si kigezo, ila mtu hupewi State Visit US kuuza sura tu.

State Visit White House anapewa mtu mwenye ajenda kubwa. Samia hana ajenda kubwa.

Nimekuambia Ruto anaongoza mazungumzo ya nchi za Africa kuachana na kutumia dollar ya US katika intra Africa trade. Hiyo ajenda kubwa.

Nimekuuliza Samia anaongoza ajenda kubwa gani duniani au hata Africa, moja tu, hujajibu.
Kama Samia hana ajenda kubwa basi tunakubaliana pia kuwa maraisi wa mataifa mengine ambao hawajapata state visit hapo Marekani hawana ajenda kubwa?

Au nitakuwa nakosea?
 
Hizo nchi dikteta yoyote mwenye madini anaenda. Ndiyo maana hujasikia watu wakistuka wala kuongelea.

Huko duniani ukitoka Tanzania watu hata hawajui Samia kaenda wapi.

Hata Watanzania wenyewe wamepoteza interest. Hawaelewi Samia anafanya nini. Hata messaging tu ku justify safari kashindwa.

Ruto kaenda Marekani dunia nzima inamsikiliza.

Mpaka Watanzania wanauliza, mbona Ruto anapewa kipaumbele kuliko Samia?

Samia bonge la mshamba, ataishia kucheza na kina Makonda tu, hajui ku lobby big deals. Ataishia kuzunguka kisiasa tu kwa kofia ya urais.
Naona kwa sasa umeishiwa hoja. Umesema kuwa Samia anaenda tu kwenye mikutano kama mshiriki

Kwenye hayo mataifa alienda kama mhudhuriaji au ilikuwa ni state visit?

Umeanza kujitoa ufahamu sasa
 
Kama Samia hana ajenda kubwa basi tunakubaliana pia kuwa maraisi wa mataifa mengine ambao hawajapata state visit hapo Marekani hawana ajenda kubwa?

Au nitakuwa nakosea?
Kwa nini unawaleta marais wengine katika mjadala wa kumlinganisha Samia na Ruto?

Mpaka sasa hujalielewa swali la kwanza kabisa la mleta mada tu bado?

Hujaelewa alipouliza katika sentensi ya kwanza kabisa ya uzi huu kwa nini Ruto anapewa kipaumbele kuliko Samia?
 
Kwa nini unawaleta marais wengine katika mjadala wa kumlinganisha Samia na Ruto?

Mpaka sasa hujalielewa swali la kwanza kabisa la mleta mada tu bado?

Hujaelewa alipouliza katika sentensi ya kwanza kabisa ya uzi huu kwa nini Ruto anapewa kipaumbele kuliko Samia?
Kipaumbele gani mzee cha state visit white house au?

Hiki kwenu ni kipaumbele?
 
Back
Top Bottom