Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kama kuna jambo la kipumbavu na la kijinga alilofanya huyu rais wa nchi jirani ni la kujipeleka kwa usa mzima mzima. Yaan kwa watu wenye akili mgando na wenye akili kisoda ndo wanaona kafanya jambo la kusifiwa, matekani huwa hasaidii nchi masikini, bali huzitumia kwa manufaa yake mwenyewe, once ukiwa huna potential kwake tena anakutema kama mua unavyotemwa ukiisha utamu.
Kwani nani kasema Ruto kafuata msaada Marekani?