Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Geopolitical issues nothing newNa Wamarekani wamemjua Ruto ndiye threat, kwa sababu mjanja, anaongea issues muhimu za kiuchumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Geopolitical issues nothing newNa Wamarekani wamemjua Ruto ndiye threat, kwa sababu mjanja, anaongea issues muhimu za kiuchumi
Acha akili za kitumwa. Mataifa mangapi hayajapewa state visit na Marekani.Ndiyo maana Wamarekani wanamuweka karibu Ruto kwa state visit, Tanzania tunaonekana hatuna uzito.
Kenya imepata state visit ya kwanza US kwa nchi ya Africa tangu 2008. Imepata status ya first sub saharan non-NATO ally wa US.Hata kwenye diplomasia za kiuchumi Tz ni kama Kenya tu
Geopolitical issues ndiyo zina run dunia, mbona unazidogosha hivyo?Geopolitical issues nothing new
SA, Nigeria hazina major non-NATO ally status zimepungukiwa nini?Kenya imepata state visit ya kwanza US kwa nchi ya Africa tangu 2008. Imepata status ya first sub saharan non-NATO ally wa US.
Hata tukiangalia namba tu, Kenya kaizidi Tanzania kwa GDP licha ya Tanzania kuwa nchi kubwa, ina rasilimali zaidi na ina watu zaidi.Acha akili za kitumwa. Mataifa mangapi hayajapewa state visit na Marekani.
Yamepungukiwa nini kiuchumi na mangapi yameizidi Kenya
Kumbe kwako taifa kupewa state visit na Marekani ni sifa?
Mataifa yaliyopata state visit Marekani yamefaidika na nini?Tanzania haijapata state visit kama hii tangu Nyerere alivyomtembelea Kennedy miaka ya 1960s.
Hili linahusinaje na state visit?Hata tukiangalia namba tu, Kenya kaizidi Tanzania kwa GDP licha ya Tanzania kuwa nchi kubwa, ina rasilimali zaidi na ina watu zaidi.
Kwa mwaka 2022 Kenya GDP yao ni USD 113 billion.
Tanzania ni USD 75 billion.
Tanzania GDP yetu ni 66% ya Kenya.
Bado utasema Wakenya hawajatuzidi kiuchumi?
Kwa nini unashindwa kuangalia dynamics za dunia inayokuja na fursa zinazotokana na ushirikiano huu unaishia kuangalia leo?SA, Nigeria hazina major non-NATO ally status zimepungukiwa nini?
Sijazidogosha ila ndio point yangu ilipo. Marekani anahofia kupoteza ushawishi barani AfricaGeopolitical issues ndiyo zina run dunia, mbona unazidogosha hivyo?
SA na Nigeria hawakuhitaji major non-NATO ally status ili kuwa na uchumi mkubwa barani AfricaKwa nini unashindwa kuangalia dynamics za dunia inayokuja na fursa zinazotokana na ushirikiano huu unaishia kuangalia leo?
Nigeria ilikiwa na uchumi mkubwa kabisa Africa, leo South Africa imeipita, huelewi vipi kwamba mbabe wa leo kesho anaweza kupitwa kutokana na watu walio chini yake leo wanavyojipanga leo?
Ukiangalia Kenya Ione Marekani Africa.Rais samia kwanini pamoja na ziara zote huko hapewi kipaumbele kama Ruto?
Ukiangalia jinsi Ruto alivyopokelewa kwa heshima marekani utashangaa
Ruto kapokelewa kwa heshima sana, vyombo vyote vya kimataifa vimempa airtime na headline yeye na Biden
Nashangaa rais Samia yeye hapati kabisa international coverage kabisa, sio alijazeera,sio cnn, sio bbc tutamuona akiwa kwenye ziara zake
Ziara ya Ruto ni funzo kubwa kwa machawa. Yaani sijui ni kwasababu maziara yetu hayana tija ndo maana hata hawashughuliki?...Yaani wetu ni kama wamempuuza hivi.
Rito anajipanga kupiga USD 300 million kwenye deal moja tu kutokana na state visit hii.Mataifa yaliyopata state visit Marekani yamefaidika na nini?
Sawa.Sijazidogosha ila ndio point yangu ilipo. Marekani anahofia kupoteza ushawishi barani Africa
Hiyo state visit ni kutaka kuwashawishi viongozi wengine wa Africa
Wakenya wanaeleweka ni wabepari, sisi haijulikani.Rais samia kwanini pamoja na ziara zote huko hapewi kipaumbele kama Ruto?
Ukiangalia jinsi Ruto alivyopokelewa kwa heshima marekani utashangaa
Ruto kapokelewa kwa heshima sana, vyombo vyote vya kimataifa vimempa airtime na headline yeye na Biden
Nashangaa rais Samia yeye hapati kabisa international coverage kabisa, sio alijazeera,sio cnn, sio bbc tutamuona akiwa kwenye ziara zake
Ziara ya Ruto ni funzo kubwa kwa machawa. Yaani sijui ni kwasababu maziara yetu hayana tija ndo maana hata hawashughuliki?...Yaani wetu ni kama wamempuuza hivi.
Huijui dunia wewe.SA na Nigeria hawakuhitaji major non-NATO ally status ili kuwa na uchumi mkubwa barani Africa
Basi mkuu, tuliachie hapa. Ziara imekwisha fanyika. Waliyotaka na kukubaliana yamefikiwa.Haikupangwa siku nyingi sana; mwaliko ulikuja mwezi wa pili ikiwa ni muda mfupi sana baada ya Mahakama Kuu ya Kenya kuzuia polisi wa Kenya kwenda Haiti. Hata kama kulikuwa na mipango hiyo ya kumwalika, jambo ambalo Marekani inataka kufanya kwa kiongozi mmoja mmoja wa Afrika, huenda ziara hii ya Rutto isingekuwa mwezi huu.
Sasa Kenya ina ushawishi gani Africa so far?Sawa.
Sasa imekuwaje Tanzania nchi ambayo ilikuwa na ushawishi mkubwa sana Africa miaka ya Nyerere siku hizi imepoteza ushawishi huo na Kenya ndiyo inachujua ushawishi huo?
Mbona inakuwa kama huelewi hoja ya uzi?
Mkuu tunazungumzia major non-NATO ally statusHuijui dunia wewe.
Sa imebebwa na Marekani miaka yote ya ubaguzi wa rangi mpaka ubaguzi umeisha.
Nigeria ina mafuta, ina idadi kubwa ya watu, si ajabu kiwa uchumi mkubwa, na bado inaanguka kwenye charts, unaitoleaje mfano?