Nyerere namba ingine.Mbona Nyerere alishawahi kupokelewa hivyo na nyimbo za taifa la Marekani na Tanzania zikapigwa kipindi John F. Kennedy akiwa raisi wa Marekani
Ni kawaida kupokelewa hivyo ikiwa ni mwaliko rasmi (state visit)
Vijana wengi wa bongo mna uelewa mdogo sana inapohusu diplomatic issues na geopolitcs. Mnaongozwa sana na mihemko
View attachment 2997720
View attachment 2997723
Kuna kiongozi anaefikia IQ ya Nyerere hapa Afrika mashariki na kati!???
Jibu HAPANA.