Ukiangalia jinsi Rais Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa

Ukiangalia jinsi Rais Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa

Inawezekana hiyo point ya kwa nini Tanzania haitoboi ndiyo ya msingi, lakini hizo point zote zina umuhimu.

Mfano, huwezi kuongelea Ruto kupata state visit Marekani bila kuongelea business culture ya Kenya iliyomtengeneza Ruto, the Hustler in Chief. Inayoweka watu wa kumu inform Ruto nini cha kufanya, .

Huwezi kuongelea business culture ya Kenya bila colonial influence ya Waingereza na siasa zilizofuatia uhuru za Kenya ambazo hazijapitia distractions za Ujamaa.

Angalia mashirika makubwa ya kimataifa yaliyo na ofisi Nairobi, halafu angalia mashirika ya hivyo yaliyo na Ofisi Dar/Dodoma. Utaona Wakenya wametuzidi sana hapo.

Tanzania tumeshindwa hata kumu accommodate Benjamin Fernandez, wa NALA, aliyepata ahadi mpaka za rais Samia kusaidiwa, akaishia kuzinguliwa na kwenda kufungua ofisi Nairobi.

Kutofungamana na upande wowote kwenyewe tunakufanya kisiasa bila kuzingatia uchumi.

Kenya rais wao Ruto anaongoza kampeni ya kimataifa ya nchi za Afrika kujinasua kutoka kwenye US dollar dependency, ukimuangalia kwa juujuu unaweza kuona anapinga American hegemony. Lakini hapo hapo Ruto ndiye amekuwa rais wa kwanza wa Africa kupata State Visit US tangu 2008, anaingia kwenye alliance na US mpaka amepewa hadhi ya first sub-Saharan Africa non-NATO ally wa US.

Kajua kuuma na kupuliza anapata faida kwa kuibana US na kwa kuungana kupiga deal na US. Ruto mwenyewe kasema yeye si anti US, anawapigania Wakenya tu.

Tanzania Rais Samia kaonekana mwanamke, watu wakampa deal aongoze mazungumzo ya Africa kupewa hela za climate change (carbon credit and climate justice), wakifikiri huyu mwanamke anaweza kuchukua attention ya dunia. Samia kaenda Misri hajajiandaa kabisa, yani kashindwa kusimamia hiyo hoja si tu kimataifa, karudi Tanzania mpaka kwenye press conference hoja hajaipa kipaumbele. Sasa sijui ndiyo wamepiga deal na Rostam wakaona waifiche isijulikane sana?

Yani Wazambia ambao hawakupewa pande la kuongoza hii ajenda wamejipanga vizuri, wamechukua mabilioni ya US dollar, sisi tuliopeea kuongoza ajenda hatujapata kitu.

Kifupi wanasiasa wa Tanzania ni washamba, hawaijui dunia, hawajui lobbying, hawajui wanataka nini, hawajui siasa za kimataifa, wamezoea kukimbizana na Waswahili wetu japo ndani tukija kwenye geopolitics wanapwaya sana.
Huu ni ukweli mchungu sana
 
Sijaona sababu zozote za msingi za Ruto kuheshimika duniani. Na wala huwezi kumpata katika list ya maraisi wanaoheshimika
Hujaelewa somo, swali si Ruto anaheshimika sana duniani au haheshimiki.

Swali ni mbona Ruto anaonekana kuheshimika sana duniani kuliko Samia.

Ndiyo swali alilouliza mtoa mada katika sentensi ya kwanza kabisa ya thread.

Mbona unaacha kujibu swali lililoulizwa halafu unatunga swali tofauti ambalo halijaulizwa unajiuliza na kujijibu mwenyewe?
 
Nimekupa mpaka namba za GDP hapa, umekimbia kujadili uchumi kwa namba kulinganisha Kenya na Tanzania.
Kenya ni ya saba kwa GDP hapa Africa kama hiki ndio kigezo cha kumheshimisha basi maraisi wa taifa la 1-6 kwa GDP kubwa Africa wanaheshimika zaidi duniani kuliko Ruto

Pili, ameingia madarakani ameikuta Kenya ikiwa hapo hapo angeipandisha tungesema kidogo kafanya kazi
 
Kenya ni ya saba kwa GDP hapa Africa kama hiki ndio kigezo cha kumheshimisha basi maraisi wa taifa la 1-6 kwa GDP kubwa Africa wanaheshimika zaidi duniani kuliko Ruto

Pili, ameingia madarakani ameikuta Kenya ikiwa hapo hapo angeipandisha tungesema kidogo kafanya kazi
Swali la mtoa mada lilikuwa hili.

"Rais samia kwanini pamoja na ziara zote huko hapewi kipaumbele kama Ruto?"

Analinganisha Tanzania na Kenya, si ligi za dunia.

Sasa katika hizo nchi sita zilizoipita Kenya kwa GDP Tanzania ipo?
 
Kipaumbele gani unachozungumzia cha kupewa state visit?
Actually Samia alipewa kipaumbele kuongoza mazungumzo ya climate change Misri kwenye COP-27 Sharm el-Sheikh, kwa sababu mwanamke watu wakaona atapewa attention.

Akashindwa kuliongelea suala lile kwa ufanisi sio tu Misri, bali hata alivyorudi Tanzania kwenye press conference alishindwa ku highlight hiyo kazi.

Mpaka leo Watanzania wengi bado hawajui Samia aliongoza mazungumzo hayo kwa niaba ya nchi za Africa. Kashindwa hata kutangza hiyo habari tu aonekane na yeye aliongoza kitu fulani.

Wenzetu Wazambia ambao hata hawakuwa viongozi katika mazungumzo hayo wakapiga billions of dollars.

Watu wa kimataifa wakamdharau Samia.

Samia kafeli mtihani.
 
Hapo wanamtongoza ili akubali waweke kambi hapo Kenya. Mzungu ukiona anajifanya anamheshimu kiongozi wa kiafrika jua anawindwa. Umesahau bwana Membe alivyotumiwa farasi maalum wamkokote UK.

Marekani naona anatafuta mahali pa kuweka uwepo wake akapambane na influience ya Warusi na Wachina Afrika.
Wewe jamaa ni muafrika kweli... Na unakili sana.. maana unafikiria kabla ya kuzungumza..

Mmarekani Hana jema.. anampeti bwana ruto ili alegee mwisho wa siku afunguo milango ya chumbani..
 
Actually Samia alipewa kipaumbele kuongoza mazungumzo ya climate change Misri kwenye COP-27 Sharm el-Sheikh, kwa sababu mwanamke watu wakaona atapewa attention.

Akashindwa kuliongelea suala lile kwa ufanisi sio tu Misri, bali hata alivyorudi Tanzania kwenye press conference alishindwa ku highlight hiyo kazi.

Mpaka leo Watanzania wengi bado hawajui Samia aliongoza mazungumzo hayo kwa niaba ya nchi za Africa. Kashindwa hata kutangza hiyo habari tu aonekane na yeye aliongoza kitu fulani.

Wenzetu Wazambia ambao hata hawakuwa viongozi katika mazungumzo hayo wakapiga billions of dollars.

Watu wa kimataifa wakamdharau Samia.

Samia kafeli mtihani.
Nakubali ...
 
Hujajibu swali.

Samia kampita Ruto kwenye performance gani? Kwa kipimo gani?

Kutojibu swali nako utasingizia typing error?

 
Back
Top Bottom