Ukiangalia jinsi Rais Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa


Sihitaji mtu yeyote anione mimi smart. I don't need your validation.

Hatuwezi kuelewana, tuna standards tofauti.

Wewe ni kama mtu aliyekaa karibu na choo kwa miaka mingi, akazoea ile harufubya choo. Halafu mimi nakuja kutoka sehemu tofauti, nimezoea hewa safi, nakwambia hapa ulipo pananuka harufu chafu ya choo. Halafu wewe umezoea hiyo harufu hata huelewi nakwambia nini. Unaona nakutukana.

Nakupeleka ignore list. Unanijazia shombo na harufu chafu ya choo tu.

Kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.
 
Hizi mambo za global economy na geopolitical zimekupitia kushoto

Ulidhani kila mtu wa kumuokota na hoja zako dhaifu

Ongeza ujuzi ndio tuje kufanya argumentation hapa.

Ila kama unataka darasa karibu
 
Hatuwezi kuelewana.

Tuna standards tofauti sana.

Nakupeleka ignore list.

Kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.
Hahahahahaa

Ndio uwezo wa wajinga unapoishiaga

Utabaki hivyohivyo na ujinga wako

Kupelekana ignore list sijui kublock ni tabia za machoko pia imeonyesha kuwa umekimbia mjadala
 
Kambi ya kijeshi ya US iko siku nyingi sana Kenya
 
Marekani huwa Hana muda na viongozi wa manchi ya kijamaa.
Fuatilia "Youtube" ziara ya Hayati Mwl. Nyerere Marekani wakati Hayati JFK akiwa Rais wa Marekani miaka ya mwanzoni mwanzoni mwa 1960, halafu ndo urudi hapa.

Suala mama yenu hana mvuto ndani wala nje ya nchi, ndiyo maana akienda Marekani sana sana ataishia kuonana na mawaziri au Makamu basi.
 
Unaleta story za mwaka 47 hapa boss.
 
sera yake ya kuchagua Kiswahili kama lugha ya kufundishia tangu primary
Ujinga na kuelekea kwenye upumbavu unaanzia hapa.
Nani alikwambia ukijuwa kiswahili hutakiwi kujuwa kiingereza? Sasa kama unajuwa kiingereza kama unavyojigamba hapa, huyo Nyerere alikuwa wapi asikuzuie kuijuwa lugha hiyo?

Unakaribishwa sana kama unataka mjadala juu ya hili katika hiyo lugha. Pengine itakuwa fursa nzuri kwako kuanza kujifunza lugha hiyo. Siwezi kamwe kukunyima nafasi hiyo.

Hebu nieleze unaona tatizo gani kuhusu waTanzania kutumia kiswahili kama lugha yao.
 
Kweli kabisa[emoji23]
 
Mtafutiwe mkoloni mara mbili wakati keshauza nchi kila rasilimali kauza kwa mikataba ya kibwege?

Tuna rais au rahisi tena kituko cha karne ya 21?
 
Wote nyie vilaza tofautisha official state visits na trips za kawaida.
 
[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…