Ukibahatika kukutana na Rais Samia utamuuliza swali gani la msingi?

Kwani kazi ya Raisi ni kuulizwa tu Maswali? acheni uzwazwa... Mwambieni atekeleze tu Majukumu yake ipasavyo na asimamie haki ikiwemo ya Masheikh wa Uhamisho... na aunde tume ya kuchunguza watu walipotea au kupotelewa na ndugu zao bila kufahamika
Point tupu
 
Me ntamuuliza..asubuhi anakunywaga chai ama.maziwa au uji !?

Kisha ntamuuliza na lunch yake ipoje, pamoja na dina .

Pia ntamuuliza Kama anakulaga ugali na maziwa au maharage au mboga za.majani haswa mchicha na tembele,

Pia nitamswalika.kuhusu Kama anajua kupika chapati za maji na za kusukuma..au kusonga ugali.

Lakni pia nitamuuliza Kama anaweza kudeki kwa tambala la deki lili chafuchafu .

Mwisho nitamuuliza alikutana wapi na mumewe yule ,..je alimkubali hapo hapo au alimzungusha zungusha kama.wadada wengine wanavyozungusha zungusha watu..nitataka kujua Kama alishwahi kumchuna kwanzA.kabla hajamsambazia upendo ..nk
 
Utamuuliza swali gani mama yetu?
Kwanini haachani tu na mradi wa Daraja la kigongo -Busisi la kilomita 3.5
akajenga la kwake la Bagamoyo - Unguja kilomita 35 tena kutokana na mradiwa Bandari ya Bagamoyo, tunatakakwenda Zanzibar kwa baiskel au bajaj. Hii itamuwekea sifa sana
 
Kwakweli nitamwambia awalipe ama awarudishe kazin wala la saba na vyet fake mana uku wasomi wanatupiga tu
 
Kwanini haachani tu na mradi wa Daraja la kigongo -Busisi la kilomita 3.5
akajenga la kwake la Bagamoyo - Unguja kilomita 35 tena kutokana na mradiwa Bandari ya Bagamoyo, tunatakakwenda Zanzibar kwa baiskel au bajaj. Hii itamuwekea sifa sana
Okay mkuu
 
Sioni kama kuna swali lolote la maana anaweza kulijibu sasa, sana sana baada ya siku 100 wangalau anaweza kuulizwa swali la maana. Hii mada yako ni nzuri, ila imewahi sana maana yuko kwenye hatua za awali za kuishape serikali yake.
Mm ningemuuliza wale watumishi hewa kama kweli walikuwa hewa kwann basi wasipewe hata zile contributions zao katika mifuko ya jamii???? Huoni kama kufanya hivyo ni kuaadhibu mara mbili? Je kwann taratibu za kiutumishi hazijafuatwa katika kuwafukuza hazikufuatwa kama barua ya katibu mkuu utumishi ilivyoagiza.???
Pia kama katiba iantambua mbunge kupitia chama je inakuaje wapo wabunge bungeni ambao hawana nyama? Wale 19?
 

Maswali mazuri, lakini sidhani kama ana uwezo wa kutatua haya.
 
Mimi nitamshauri ikiwezekana amuondoe ndugai mara moja atamuhujumu na halitakii mema taifa,pia awe makini sana na katelephone maja.
 
Hakuna wa kumuuliza maswali humu, wataanza kucheka cheka, kujiuma uma na kutetemeka,
Mama ana mvuto flan hivi mkali sana.
 
1. Tarehe ipi Jiwe lilikufa (Ya Ukweli)? 2. Wakati Jiwe anakata roho alikuwa anaweweseka maneno gani?
Na pia hivi lile genge' lililompangia ziara ya tanga wakati magufuli yu mahututi (au alishakufa?) lilikuawa na lengo gani?
 
Sioni kama kuna swali lolote la maana anaweza kulijibu sasa, sana sana baada ya siku 100 wangalau anaweza kuulizwa swali la maana. Hii mada yako ni nzuri, ila imewahi sana maana yuko kwenye hatua za awali za kuishape serikali yake.
Atajibu tu, swali muhimu ni kuhusu katiba mpya.
Kutengeneza serikali ndani ya sheria kandamizi kutamuingiza kwenye matatizo tu na wananchi Kama jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…