Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Nitamuuliza mtangulizi wake anaendeleaje huko aliko? Na ikiwezekana anifikishie salamu zangu kwake na amwambie huku tunachapa kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huko duniani ukisema unatoka Tanzania wanaanza kukudadisi mambo mema kuhusu Rais SamiaAnachokifanya Tundu Lissu kwa sasa ni kutafuta umaarufu kwa ajili ya 2025. samia mama lao.
Usimfananishe Rais Samia na vitu vya hovyo kama vile Lissu kibaraka wa wazunguhuko duniani ukisema unatoka Tanzania wanaanza kukudadisi mambo mema kuhusu Rais Samia
Kumpinga mtu Mzalendo kama Samia ni kujitakia dhambi tuUsimfananishe Rais Samia na vitu vya hovyo kama vile Lissu kibaraka wa wazungu
Lissu Afanye kazi yeyote ila sisi hatumuhitaji,Rais Samia anatoshaKumpinga mtu Mzalendo kama Samia ni kujitakia dhambi tu
Watanzania wanampenda huyu Rais Samia haijwahi kutokea Hebu angalia Elimu bure Zahanati kila kona ya Nchi.Lissu Afanye kazi yeyote ila sisi hatumuhitaji,Rais Samia anatosha
Wakati wa kipindi cha uchaguzi mwaka jana 2020, siku tatu Rais Samia alikuwa amepumzika nyumbani kwa maana alikuwa na uhakika wa ushindi kwa zaidi ya 95%.Watanzania wanampenda huyu Rais Samia haijwahi kutokea Hebu angalia Elimu bure Zahanati kila kona ya Nchi.
CCM Wengi ni waadilifu kama Rais Samia. Huyu mama Samia anapaswa kuwa role model ya wanawake wachapakazi hapa Tanzania.Wakati wa kipindi cha uchaguzi mwaka jana 2020, siku tatu Rais Samia alikuwa amepumzika nyumbani kwa maana alikuwa na uhakika wa ushindi kwa zaidi ya 95%.
Nitamshauri sana sana sanaal asimpe nafasi na hata kumsikiliza MKWERE.
Waambie hao Chadema kuwa siasa za kihuni zimepitwa na muda na sasa wamuombe msamaha mama yetu Rais Samia.CCM Wengi ni waadilifu kama Rais Samia. Huyu mama Samia anapaswa kuwa role model ya wanawake wachapakazi hapa Tanzania.
Ambaye angemsumbua Rais Samia kwenye Uchaguzi wa mwaka jana 2020 labda yule mama Merkel wa ujerumani tu.Waambie hao Chadema kuwa siasa za kihuni zimepitwa na muda na sasa wamuombe msamaha mama yetu Rais Samia.
Rais Samia anafanya kazi kubwa wazo la kumuongezea muda ni wazo zuri sana.Ambaye angemsumbua Rais Samia kwenye Uchaguzi wa mwaka jana 2020 labda yule mama Merkel wa ujerumani tu.
mhhh
Rais Samia anafanya kazi ya ziada kuhusu ardhi na sasa inarudi kwa Wananchi maana mikoa mingi Wananchi waliteseka sana.Rais Samia anafanya kazi kubwa wazo la kumuongezea muda ni wazo zuri sana.
Waambieni hao chadema kuwa Shauri yao kwa maana Rais Samia ni kiboko yao na anakubalika internationally.Rais Samia anafanya kazi ya ziada kuhusu ardhi na sasa inarudi kwa Wananchi maana mikoa mingi Wananchi waliteseka sana.