K Mwita
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 356
- 314
Rais Samia anafaa aongezewe muda mpaka 2030 kwa maana anafanya mambo makubwa sana.Rais Samia ni mtu mwema na yupo makini sana huyu mama yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais Samia anafaa aongezewe muda mpaka 2030 kwa maana anafanya mambo makubwa sana.Rais Samia ni mtu mwema na yupo makini sana huyu mama yetu.
Usimfananishe Rais Samia na vitu vya hovyo kama vile Lissu kibaraka wa wazungu
Nitamuuliza kwa nini anakubali kuendeshwa na kivuli cha Kayafa.
Rais Samia amekomesha rushwa na ufisadi. Hakika huyu mama ni shujaa wa Tanzania.Rais Samia anafaa aongezewe muda mpaka 2030 kwa maana anafanya mambo makubwa sana.
Mwambie Rais Samia akaze hapo hapo na usigeuke nyuma kwa maana watanzania wengi hawajui wanataka nini.Rais Samia amekomesha rushwa na ufisadi. Hakika huyu mama ni shujaa wa Tanzania.
Kufikia October Rais Samia na JPM walifikia 98% ya ushindi wao hata kabla ya upigaji wa kura kuanza.Mwambie Rais Samia akaze hapo hapo na usigeuke nyuma kwa maana watanzania wengi hawajui wanataka nini.
Viongozi wa bara la Ulaya na Asia kama vile Waziri mkuu wa India Narendra anamkubali sana Rais Samia.Kufikia October Rais Samia na JPM walifikia 98% ya ushindi wao hata kabla ya upigaji wa kura kuanza.
Mbona chadema kama vile wanapanic? Ina maana hawapendi maendeleo anayoleta Rais Samia?Viongozi wa bara la Ulaya na Asia kama vile Waziri mkuu wa India Narendra anamkubali sana Rais Samia.
Mkwere ndio nani mkuu?Nitamshauri sana sana sanaal asimpe nafasi na hata kumsikiliza MKWERE.