Ukibahatika kuoa mwanamke anayekujali, mshukuru sana Mungu

Ukibahatika kuoa mwanamke anayekujali, mshukuru sana Mungu

Hapa nimepiga t-shirt 👕 Kali na boksa mpya na Cadette moja matata hizi nguo Jana nights nimekuta wife kaninunulia..

Of course Mimi nilioa mtu anae nipenda Sanaa najua tunafika anniversary nyingi sanaa mungu amtunze huyu mwanamama mama mtoto wangu.

Binafsi nimepata mke anae jua nafasi yake kwenye hii familia yetu.
Chief ushasema anayekupenda .
Ukweli ukimpata mwanamke anayekupenda zaidi yeye utafurahia na moyo wako
Mwenyewe baada ya kuachwa na mke wa zamani nilitaka nimuoe atakaye nipenda zaidi yeye Sasa ubaya nikiamua nioe wa aina hiyo nakuhakikishia tukikutana siwezi kukutambulisha kuwa ni shemeji yako .

Note :mwanaume ukiwa na muonekano mzuri aghalabu kumpata mwanamke mzuri wengi wanakuwa wabaya alafu ndiyo wanakufa wanaoza kwako .

Mungu endelea kunipigania ,dhambi ya wake za watu imetosha na kutishiwa maisha
 
Chief ushasema anayekupenda .
Ukweli ukimpata mwanamke anayekupenda zaidi yeye utafurahia na moyo wako
Mwenyewe baada ya kuachwa na mke wa zamani nilitaka nimuoe atakaye nipenda zaidi yeye Sasa ubaya nikiamua nioe wa aina hiyo nakuhakikishia tukikutana siwezi kukutambulisha kuwa ni shemeji yako .

Note :mwanaume ukiwa na muonekano mzuri aghalabu kumpata mwanamke mzuri wengi wanakuwa wabaya alafu ndiyo wanakufa wanaoza kwako .

Mungu endelea kunipigania ,dhambi ya wake za watu imetosha na kutishiwa maisha
Of course Mimi ni handsome man na mwonekano wa kuvutia...yaan Mimi ni S.I unit ya mwanaume gentleman.

Kuna mama mmoja mtu mzima huwa anatania kua Mimi ni gentleman na handsome kumzidi mke wangu that's True 😊 Ila mke wangu ni WA kawaida sanaaa

Very True penda anae kupenda it's naked Truth uta enjoy SANAAA
 
Of course Mimi ni handsome man na mwonekano wa kuvutia...yaan Mimi ni S.I unit ya mwanaume gentleman.

Kuna mama mmoja mtu mzima huwa anatania kua Mimi ni gentleman na handsome kumzidi mke wangu that's True 😊 Ila mke wangu ni WA kawaida sanaaa

Very True penda anae kupenda it's naked Truth uta enjoy SANAAA
Shida ni kuwa ni mabonyanya naaona hata aibu kuyatambulisha kwa Wana
 
Hapa nimepiga t-shirt 👕 Kali na boksa mpya na Cadette moja matata hizi nguo Jana nights nimekuta wife kaninunulia..

Of course Mimi nilioa mtu anae nipenda Sanaa najua tunafika anniversary nyingi sanaa mungu amtunze huyu mwanamama mama mtoto wangu.

Binafsi nimepata mke anae jua nafasi yake kwenye hii familia yetu.
Ukioa mwanamke anayekupenda utaiona Paradiso ndogo hapahapa duniani, kinyume chake ni Jehanamu ndogo. Hongera mkuu , nawe mpende na kumuheshimu mwenzio
 
Hapa nimepiga t-shirt 👕 Kali na boksa mpya na Cadette moja matata hizi nguo Jana nights nimekuta wife kaninunulia..

Of course Mimi nilioa mtu anae nipenda Sanaa najua tunafika anniversary nyingi sanaa mungu amtunze huyu mwanamama mama mtoto wangu.

Binafsi nimepata mke anae jua nafasi yake kwenye hii familia yetu.
Hongera mwamba mwenzangu! Tupo sana tu! Mwanzoni nilikuwa na mapuuza fulani hivi lakini nimekuja kuwaona wenzangu na mimi wanavyokiona cha mtema kuni nikajisemea hakika sitarudia tena. Sasa nimeamua kumpa upendo kama ule alioutoa Kristo kwa Kanisa! Sina sababu ya kumpuuza kwa kweli!
 
Back
Top Bottom