Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Unatongoza malaika unaoa huyo huyo peponi.Ukifariki je?
hakuna kulala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatongoza malaika unaoa huyo huyo peponi.Ukifariki je?
Mkuu mtoa mada aambiwe tu hakuna mwanamke atakae kujali kama hauna pesa 🤔🤔🤔Itaswi, kelema, munguri, iyoli,pahi, au kingale?🤣🤣nilipita hivyo vijiji
Chief ushasema anayekupenda .Hapa nimepiga t-shirt 👕 Kali na boksa mpya na Cadette moja matata hizi nguo Jana nights nimekuta wife kaninunulia..
Of course Mimi nilioa mtu anae nipenda Sanaa najua tunafika anniversary nyingi sanaa mungu amtunze huyu mwanamama mama mtoto wangu.
Binafsi nimepata mke anae jua nafasi yake kwenye hii familia yetu.
Tupo wa Miaka yetu tunaoishia ishia, na mmetupa jina jipya La maanti. Ilikutupiga kisaikolojia kwanza.Mkuu mtoa mada aambiwe tu hakuna mwanamke atakae kujali kama hauna pesa 🤔🤔🤔
Wapo, hata kama ni wachache. Changamoto kubwa ya baadhi ya wanaume wanapenda kuoa wanawake wenye "reception za ki-miss" na wakati mwingine wenye makalio makubwa halafu wanaacha sifa za msingi.Huyu mwanamke unayemsema hapa hayupo !!
Na kama yupo basi yuko kondoq ndani ndani huko ametulia
Pole sana.Tupo wa Miaka yetu tunaoishia ishia, na mmetupa jina jipya La maanti. Ilikutupiga kisaikolojia kwanza.
Ila sio mimi madam 😊Tupo wa Miaka yetu tunaoishia ishia, na mmetupa jina jipya La maanti. Ilikutupiga kisaikolojia kwanza.
Sifa za msingi ni zipi master ili nizingatie kabla ya kuoa!?Wapo, hata kama ni wachache. Changamoto kubwa ya baadhi ya wanaume wanapenda kuoa wanawake wenye "reception za ki-miss" na wakati mwingine wenye makalio makubwa halafu wanaacha sifa za msingi.
Kabla hujamuoa alikuwa akiishi vipi, na aliyekwambia wewe utatangulia kufa nani? Na ukifa mbona hufikirii nani atakuwa anamtoa hamu? mwandalie na huyo, pia ujuwe ukifa wewe huulizwi kilicho nyuma yakoUkifariki je?
Of course Mimi ni handsome man na mwonekano wa kuvutia...yaan Mimi ni S.I unit ya mwanaume gentleman.Chief ushasema anayekupenda .
Ukweli ukimpata mwanamke anayekupenda zaidi yeye utafurahia na moyo wako
Mwenyewe baada ya kuachwa na mke wa zamani nilitaka nimuoe atakaye nipenda zaidi yeye Sasa ubaya nikiamua nioe wa aina hiyo nakuhakikishia tukikutana siwezi kukutambulisha kuwa ni shemeji yako .
Note :mwanaume ukiwa na muonekano mzuri aghalabu kumpata mwanamke mzuri wengi wanakuwa wabaya alafu ndiyo wanakufa wanaoza kwako .
Mungu endelea kunipigania ,dhambi ya wake za watu imetosha na kutishiwa maisha
Shida ni kuwa ni mabonyanya naaona hata aibu kuyatambulisha kwa WanaOf course Mimi ni handsome man na mwonekano wa kuvutia...yaan Mimi ni S.I unit ya mwanaume gentleman.
Kuna mama mmoja mtu mzima huwa anatania kua Mimi ni gentleman na handsome kumzidi mke wangu that's True 😊 Ila mke wangu ni WA kawaida sanaaa
Very True penda anae kupenda it's naked Truth uta enjoy SANAAA
Ukioa mwanamke anayekupenda utaiona Paradiso ndogo hapahapa duniani, kinyume chake ni Jehanamu ndogo. Hongera mkuu , nawe mpende na kumuheshimu mwenzioHapa nimepiga t-shirt 👕 Kali na boksa mpya na Cadette moja matata hizi nguo Jana nights nimekuta wife kaninunulia..
Of course Mimi nilioa mtu anae nipenda Sanaa najua tunafika anniversary nyingi sanaa mungu amtunze huyu mwanamama mama mtoto wangu.
Binafsi nimepata mke anae jua nafasi yake kwenye hii familia yetu.
Mtu anae kupenda mpendeShida ni kuwa ni mabonyanya naaona hata aibu kuyatambulisha kwa Wana
🙏🙏🙏Ukioa mwanamke anayekupenda utaiona Paradiso ndogo hapahapa duniani, kinyuke chake ni Jehanamu ndogo. Hongera mkuu , nawe mpende na kumuheshimu mwenzio
Hongera mwamba mwenzangu! Tupo sana tu! Mwanzoni nilikuwa na mapuuza fulani hivi lakini nimekuja kuwaona wenzangu na mimi wanavyokiona cha mtema kuni nikajisemea hakika sitarudia tena. Sasa nimeamua kumpa upendo kama ule alioutoa Kristo kwa Kanisa! Sina sababu ya kumpuuza kwa kweli!Hapa nimepiga t-shirt 👕 Kali na boksa mpya na Cadette moja matata hizi nguo Jana nights nimekuta wife kaninunulia..
Of course Mimi nilioa mtu anae nipenda Sanaa najua tunafika anniversary nyingi sanaa mungu amtunze huyu mwanamama mama mtoto wangu.
Binafsi nimepata mke anae jua nafasi yake kwenye hii familia yetu.