wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Sikiliza hiyoHongera mwamba mwenzangu! Tupo sana tu! Mwanzoni nilikuwa na mapuuza fulani hivi lakini nimekuja kuwaona wenzangu na mimi wanavyokiona cha mtema kuni nikajisemea hakika sitarudia tena. Sasa nimeamua kumpa upendo kama ule alioutoa Kristo kwa Kanisa! Sina sababu ya kumpuuza kwa kweli!