Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Uongo!Mkuu mtoa mada aambiwe tu hakuna mwanamke atakae kujali kama hauna pesa 🤔🤔🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo!Mkuu mtoa mada aambiwe tu hakuna mwanamke atakae kujali kama hauna pesa 🤔🤔🤔
Wanawake wengi wema na wenye maadili walikuwa enzi za zama la agano la kale. Sasahivi mwanaume akiowa anakuwa amechukua mshindani na siyo msaidizi au mlezi wa Familia.Maisha ya kileo wapo wengi wanajuta Kwa sababu ya maamuzi waliofanya wakati wa kuoa ila Sasa hakuna namna ya kufanya kwani walishazaa watoto inawabidi waishi maisha yaende basi.
Wanawake wengi wa siku hizi waeza toka kuitafuta riziki tokea asubui na kurudi jioni na furushi lako mkono ila kamwe usione wa kukuambia pole na hata wakati mwingine hata maji ya kuoga utayachota mwenyewe na hata asubui utajitengea chai mwenyewe..
Ukibahatika kuoa mwanamke anayejua dhamani Yako kwakwe mshukuru Mungu sana..jambo hili linauma sana Kwa wale wanaume wanaojua kutimiza majuku ya familia ila upande wa pili unaishi kama uko mwenyewe..
Mwombe sana Mungu maana wanaume wengi wanaishi maisha hayo wanatamani hata ndoa ingevunjika waanze upya ila njia hamna
mbna uyu unaemsema mi daily ananiletea umbea amani kati yenu hakuna na always hutamani sana ninapokutana nae japo hua for a short period of time dahHapa nimepiga t-shirt [emoji153] Kali na boksa mpya na Cadette moja matata hizi nguo Jana nights nimekuta wife kaninunulia..
Of course Mimi nilioa mtu anae nipenda Sanaa najua tunafika anniversary nyingi sanaa mungu amtunze huyu mwanamama mama mtoto wangu.
Binafsi nimepata mke anae jua nafasi yake kwenye hii familia yetu.
Pika, oga , fua, ingiza mizigo yako ndani mwenyewe, hutakatika mikono,, achana na hawa wadudu wanaoitwa wanawake, wasikupe pressure. Hawana la zaidi ya kitandani, ambalo zipo zinauzwa mtaani ukitaka. Ila kama una hofu ya MUNGU piga kimya, Cheka na watoto inatosha.Maisha ya kileo wapo wengi wanajuta Kwa sababu ya maamuzi waliofanya wakati wa kuoa ila Sasa hakuna namna ya kufanya kwani walishazaa watoto inawabidi waishi maisha yaende basi.
Wanawake wengi wa siku hizi waeza toka kuitafuta riziki tokea asubui na kurudi jioni na furushi lako mkono ila kamwe usione wa kukuambia pole na hata wakati mwingine hata maji ya kuoga utayachota mwenyewe na hata asubui utajitengea chai mwenyewe..
Ukibahatika kuoa mwanamke anayejua dhamani Yako kwakwe mshukuru Mungu sana..jambo hili linauma sana Kwa wale wanaume wanaojua kutimiza majuku ya familia ila upande wa pili unaishi kama uko mwenyewe..
Mwombe sana Mungu maana wanaume wengi wanaishi maisha hayo wanatamani hata ndoa ingevunjika waanze upya ila njia hamna
Kazi iendelee mara dufyuu
A drowning man is a drowning man can't learn to swim.mbna uyu unaemsema mi daily ananiletea umbea amani kati yenu hakuna na always hutamani sana ninapokutana nae japo hua for a short period of time dah
Nafurahi kuona kuna mtu mwengine ametumia akili zake vyema kujua kwamba ili kuwa na amani kwenye maisha unapaswa kuwa na mke akupendaye zaidi na anayekuhitaji kuliko wewe unavyomuhitaji 😂. Thats the only trick and not the other way round! Hongera sana mzee.Of course Mimi ni handsome man na mwonekano wa kuvutia...yaan Mimi ni S.I unit ya mwanaume gentleman.
Kuna mama mmoja mtu mzima huwa anatania kua Mimi ni gentleman na handsome kumzidi mke wangu that's True 😊 Ila mke wangu ni WA kawaida sanaaa
Very True penda anae kupenda it's naked Truth uta enjoy SANAAA
Ofcourse pesa ni muhimu kuwa nazo ila upendo ndio namba 1. Kama hujawahi kupendwa utaona mazonge tu ila ndio ukweli.Mwanamke atakujali ukiwa na PESA NA SI VINGINEVYO
Siamini katika upendo.Ofcourse pesa ni muhimu kuwa nazo ila upendo ndio namba 1. Kama hujawahi kupendwa utaona mazonge tu ila ndio ukweli.
Unaweza usiwe na pesa at times atalalamika kidogo ila haendi kokote😁 ila mwanamke kama hakupendi as long as alikuja kwako kwa sababu ya butter lifestyle utahesabia maumivu tu.
She will easily find the quickest route to end that relationship.
Sawa we endelea kununua patnersSiamini katika upendo.
Hao walikuwa zamani.
Ni kweli kabisa mwenza akiwa ana show love hutakiwi kupuuzia..Hongera mwamba mwenzangu! Tupo sana tu! Mwanzoni nilikuwa na mapuuza fulani hivi lakini nimekuja kuwaona wenzangu na mimi wanavyokiona cha mtema kuni nikajisemea hakika sitarudia tena. Sasa nimeamua kumpa upendo kama ule alioutoa Kristo kwa Kanisa! Sina sababu ya kumpuuza kwa kweli!
Vice versa yake unaweza ukampenda mwanamke na ukampa kila kitu maishani still asiweze japo ku appreciate au hata ku recognize...very true ukipata mtu anae kupenda kila kitu kita flow chenyewe..Nafurahi kuona kuna mtu mwengine ametumia akili zake vyema kujua kwamba ili kuwa na amani kwenye maisha unapaswa kuwa na mke akupendaye zaidi na anayekuhitaji kuliko wewe unavyomuhitaji 😂. Thats the only trick and not the other way round! Hongera sana mzee.
Hell yeahVice versa yake unaweza ukampenda mwanamke na ukampa kila kitu maishani still asiweze japo ku appreciate au hata ku recognize...very true ukipata mtu anae kupenda kila kitu kita flow chenyewe..
Siyo kweli mkuu! Kuna wanawake dunia hii bado wapo aisee! Mimi nimeshajionea sitaki tena ujinga!Mwanamke atakujali ukiwa na PESA NA SI VINGINEVYO
Huyo bado kidogo tu.atakuonesha rangi zakeSiyo kweli mkuu! Kuna wanawake dunia hii bado wapo aisee! Mimi nimeshajionea sitaki tena ujinga!
Uongo mwamba! Karibia tunazeeshana sasa! Kama wa kuonesha rangi ingekuwa ilishatokea siku nyingi! Vijana ndiyo cha moto mnakiona, havichelewi kuwapiga viberiti mkileta za kuletwa!Huyo bado kidogo tu.atakuonesha rangi zake
😂mabonyanya ndo Mann?Shida ni kuwa ni mabonyanya naaona hata aibu kuyatambulisha kwa Wana