Ukibahatika kuoa mwanamke anayekujali, mshukuru sana Mungu

Ukibahatika kuoa mwanamke anayekujali, mshukuru sana Mungu

Maisha ya kileo wapo wengi wanajuta Kwa sababu ya maamuzi waliofanya wakati wa kuoa ila Sasa hakuna namna ya kufanya kwani walishazaa watoto inawabidi waishi maisha yaende basi.

Wanawake wengi wa siku hizi waeza toka kuitafuta riziki tokea asubui na kurudi jioni na furushi lako mkono ila kamwe usione wa kukuambia pole na hata wakati mwingine hata maji ya kuoga utayachota mwenyewe na hata asubui utajitengea chai mwenyewe..

Ukibahatika kuoa mwanamke anayejua dhamani Yako kwakwe mshukuru Mungu sana..jambo hili linauma sana Kwa wale wanaume wanaojua kutimiza majuku ya familia ila upande wa pili unaishi kama uko mwenyewe..

Mwombe sana Mungu maana wanaume wengi wanaishi maisha hayo wanatamani hata ndoa ingevunjika waanze upya ila njia hamna
Wanawake wengi wema na wenye maadili walikuwa enzi za zama la agano la kale. Sasahivi mwanaume akiowa anakuwa amechukua mshindani na siyo msaidizi au mlezi wa Familia.
 
Hapa nimepiga t-shirt [emoji153] Kali na boksa mpya na Cadette moja matata hizi nguo Jana nights nimekuta wife kaninunulia..

Of course Mimi nilioa mtu anae nipenda Sanaa najua tunafika anniversary nyingi sanaa mungu amtunze huyu mwanamama mama mtoto wangu.

Binafsi nimepata mke anae jua nafasi yake kwenye hii familia yetu.
mbna uyu unaemsema mi daily ananiletea umbea amani kati yenu hakuna na always hutamani sana ninapokutana nae japo hua for a short period of time dah
 
Maisha ya kileo wapo wengi wanajuta Kwa sababu ya maamuzi waliofanya wakati wa kuoa ila Sasa hakuna namna ya kufanya kwani walishazaa watoto inawabidi waishi maisha yaende basi.

Wanawake wengi wa siku hizi waeza toka kuitafuta riziki tokea asubui na kurudi jioni na furushi lako mkono ila kamwe usione wa kukuambia pole na hata wakati mwingine hata maji ya kuoga utayachota mwenyewe na hata asubui utajitengea chai mwenyewe..

Ukibahatika kuoa mwanamke anayejua dhamani Yako kwakwe mshukuru Mungu sana..jambo hili linauma sana Kwa wale wanaume wanaojua kutimiza majuku ya familia ila upande wa pili unaishi kama uko mwenyewe..

Mwombe sana Mungu maana wanaume wengi wanaishi maisha hayo wanatamani hata ndoa ingevunjika waanze upya ila njia hamna
Pika, oga , fua, ingiza mizigo yako ndani mwenyewe, hutakatika mikono,, achana na hawa wadudu wanaoitwa wanawake, wasikupe pressure. Hawana la zaidi ya kitandani, ambalo zipo zinauzwa mtaani ukitaka. Ila kama una hofu ya MUNGU piga kimya, Cheka na watoto inatosha.
 
Of course Mimi ni handsome man na mwonekano wa kuvutia...yaan Mimi ni S.I unit ya mwanaume gentleman.

Kuna mama mmoja mtu mzima huwa anatania kua Mimi ni gentleman na handsome kumzidi mke wangu that's True 😊 Ila mke wangu ni WA kawaida sanaaa

Very True penda anae kupenda it's naked Truth uta enjoy SANAAA
Nafurahi kuona kuna mtu mwengine ametumia akili zake vyema kujua kwamba ili kuwa na amani kwenye maisha unapaswa kuwa na mke akupendaye zaidi na anayekuhitaji kuliko wewe unavyomuhitaji 😂. Thats the only trick and not the other way round! Hongera sana mzee.
 
Mwanamke atakujali ukiwa na PESA NA SI VINGINEVYO
Ofcourse pesa ni muhimu kuwa nazo ila upendo ndio namba 1. Kama hujawahi kupendwa utaona mazonge tu ila ndio ukweli.

Unaweza usiwe na pesa at times atalalamika kidogo ila haendi kokote😁 ila mwanamke kama hakupendi as long as alikuja kwako kwa sababu ya butter lifestyle utahesabia maumivu tu.

She will easily find the quickest route to end that relationship.
 
Ofcourse pesa ni muhimu kuwa nazo ila upendo ndio namba 1. Kama hujawahi kupendwa utaona mazonge tu ila ndio ukweli.

Unaweza usiwe na pesa at times atalalamika kidogo ila haendi kokote😁 ila mwanamke kama hakupendi as long as alikuja kwako kwa sababu ya butter lifestyle utahesabia maumivu tu.

She will easily find the quickest route to end that relationship.
Siamini katika upendo.
Hao walikuwa zamani.
 
Hongera mwamba mwenzangu! Tupo sana tu! Mwanzoni nilikuwa na mapuuza fulani hivi lakini nimekuja kuwaona wenzangu na mimi wanavyokiona cha mtema kuni nikajisemea hakika sitarudia tena. Sasa nimeamua kumpa upendo kama ule alioutoa Kristo kwa Kanisa! Sina sababu ya kumpuuza kwa kweli!
Ni kweli kabisa mwenza akiwa ana show love hutakiwi kupuuzia..
Ni kufanya reciprocal 😊
Pamoja mkuu.
 
Nafurahi kuona kuna mtu mwengine ametumia akili zake vyema kujua kwamba ili kuwa na amani kwenye maisha unapaswa kuwa na mke akupendaye zaidi na anayekuhitaji kuliko wewe unavyomuhitaji 😂. Thats the only trick and not the other way round! Hongera sana mzee.
Vice versa yake unaweza ukampenda mwanamke na ukampa kila kitu maishani still asiweze japo ku appreciate au hata ku recognize...very true ukipata mtu anae kupenda kila kitu kita flow chenyewe..
 
Hivi mwanamke unamuacha lakini bado kinganganizi na ni chombo kinoma ambaye akiamua in few weeks tu anakuwa na mwanaume mwingine wa maana hata zaidi yako..hapo unakuwa umekupenda kweli??..chambichambi za hapa na pale unampa za kufanya maisha yawe smooth kwake..

Extrovert mtazamo wako hapa.
 
Huyo bado kidogo tu.atakuonesha rangi zake
Uongo mwamba! Karibia tunazeeshana sasa! Kama wa kuonesha rangi ingekuwa ilishatokea siku nyingi! Vijana ndiyo cha moto mnakiona, havichelewi kuwapiga viberiti mkileta za kuletwa!
 
Unapo taka kuoa zingatia ethics & Values za mtu kwa sababu hua hazirekebishiki wala hazifundishiki.

Kama mwanamke anaona its owkey, Kuingiliwa kwa mpalange, jua her ethics and values zipo chini, Ukimuoa itakua n matukio baada ya matutkio.
 
Back
Top Bottom