Ukibahatika kuoa mwanamke anayekujali, mshukuru sana Mungu

Sikiliza hiyo
 

Attachments

  • VID-20241117-WA0007.mp4
    4.9 MB
Badoda ukifika utarudi hapa yaani hata nguo anayolununulia Leo kwa mapenzi kesho ndo ataigeuza fimbo ya kukuchapia mihimu panga draf Yako vizuri
 
Badoda ukifika utarudi hapa yaani hata nguo anayolununulia Leo kwa mapenzi kesho ndo ataigeuza fimbo ya kukuchapia mihimu panga draf Yako vizuri
Jidanganye tuna anniversary ya 10 na ushee..

Hatujajuana barabarani mzee..mbali ya kutoka ethnic group moja tumejuana tangu tukiwa secondary o_level japo nilikua vidato mbele yake hatukuwai kua marafiki before tukakutana baadae.

God Fearing women..wote tumeokoka..tumetengeneza familia yetu... HATUJA chukuana..tuna ndoa ya ki kristo..kifo ndio kitatutenganisha.

Familia zetu pia ni reference kua watu wanaweza kuishi na kua na strong family licha ya changamoto nyingi za hapa na pale..

Kuna mengi mkuu siwezi andika yotee
All in all,
Mungu ni mwema WAKATI wote wakati WOTE Mungu ni mwema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…