Ni kweli wanawake ni wengi kuliko wanaume lakini kupata mwanamke wa ndoto yako au unaendana nae ni ngumu sana kwa sababu.....Jibu rahisi sana wanawake ni wengi kuliko wanaume kifupi tinaweza kuoa wanawake watatu na tusiwamalize.
Kama tuna pool kubwa hivyo ya wanawake unafikiri wanawake bora hawapo?
Tafuta Hela acha ndoto za Alinacha.Kuna Mabinti wabichi tu age ya 22 to 25 wanajielewa na ni waaminifu tena sana.na Watu wenye age ya 40+ Wanaishi nao Kwa furaha na Mahaba Mazito kama maziwa yasiowekwa maji🥰🌷Kikubwa ni Hela ya kumtunza, ata hao 40+ Ladies awawezi ishi na mwanaume Kapuku asie na pesa. Kikubwa Pesa za kumtunzaKuna imani flani imejengeka kwa vijana wenye umri kuanzia 25-35 kwamba mwanaume umri wowote anaweza kuoa hata akichelewa hamna shida ataoa it's true kuoa mwanaume lakini kupata mwanamke wa ndoto yake ni ngumu sana
Tupe connection mkuu.....si unajua connection ndo kila ktu Karne hii.Napatashida sana kuona vijana mnashindwaje kupata wanawake bora mbona wapo wengi sana, na ushahidi wa mabinti wawili tupo nao kazini ni mabinti wazuri, bright na wanayajua maisha, watiifu kweli wanachapa kazi haswa, wanajiheshimu haswa.
Najua wanaweza kuwa na kasoro zao lakini za kinadamu.
Mimi nafikiri vijana mna hofu sana kuliko hofu yenyewe, pia mnasikiliza sana maneno ya mtaani
Si kila mwanamke ila wapo na wengi sana, vijana wengi wanakwama kwasababu wanatafuta mwanamke huku wakiongozwa na hisia nyingi za ngono na mvuto wasura tu matokeo yake wanafikiri wamepata mke wa ndoto zao za maisha kumbe wamepata wa ndoto zao za usiku.Ni kweli wanawake ni wengi kuliko wanaume lakini kupata mwanamke wa ndoto yako au unaendana nae ni ngumu sana kwa sababu......
Sio kila mwanamke anaweza akawa tiyali kuvaa viatu vyako na sio kila mwanamke anaweza akakupenda jinsi ulivyoooo
Usichokijua ni kwamba mwanamke akishavunja ungo anauwezo wa kuishi na mwanaume wa rika lolote na wakaendana kifikra na matendo.Kuna imani flani imejengeka kwa vijana wenye umri kuanzia 25-35 kwamba mwanaume umri wowote anaweza kuoa hata akichelewa hamna shida ataoa it's true kuoa mwanaume lakini kupata mwanamke wa ndoto yake ni ngumu sana
Team wazee hoyeeeee 😍😘Kwa mujibu wako mtoa mada nipo na zee langu tunakula laifu
WoyeeeeeTeam wazee hoyeeeee 😍😘
Pesa zikipotea jiandae kisaikolojia!!Hivi kwani mwanamke akikupendea pesa na kweli uko nazo, kuna tatizo lolote hapo?
Tupe connection mkuu.....si unajua connection ndo kila ktu Karne hii
Mitandaoni mbna hujataja mkuu..!!Rahisi sana, Kwanza jitambue wewe ni mtu wa aina gani katika yale makundi ya aina ya watu, Malezi yako, Hali ya Maisha yako, Elimu yako, Matajario yako, hisia zako zikoje, Mapendezi yako yakoje, Ukisha jitambua wewe mwenyewe utatafuta couple inayokufaa, haitaongozwa na hisia na sura tu unapomchagua
Wanawake wanapatikana wapi?
Ujirani, Kanisani, Msikitini
Taasisi za elimu, Kazini
Kwa wajomba, kwa babu na bibi, shangazi, kwa shemeji yako, kwa washikaji zako, washikaji wa washikaji zako, kwenye sherehe, kwenye sehemu za starehe every where sasa ikiona una kosa mke wa kariba yako maeneo yote hayo ujue kuna shida mahali.
Yes napo huko wachumba wapo ila inahitaji elimu kubwa sanaMitandaoni mbna hujataja mkuu..!!
Na ss tusioa kbs je..Kuna imani flani imejengeka kwa vijana wenye umri kuanzia 25-35 kwamba mwanaume umri wowote anaweza kuoa hata akichelewa hamna shida ataoa it's true kuoa mwanaume lakini kupata mwanamke wa ndoto yake ni ngumu sana
Je ukikupenda kama ulivyo siku ukipata ajari, hautajiandaa kisaikolojia?Pesa zikipotea jiandae kisaikolojia!!
Asante sana Chifu [emoji120]Umeongea point Sana Mkuu.Kunywa balimi saba,pesa nitalipa.
Hizi tafiti zako umezitoa wapi...Kuna imani flani imejengeka kwa vijana wenye umri kuanzia 25-35 kwamba mwanaume umri wowote anaweza kuoa hata akichelewa hamna shida ataoa it's true kuoa mwanaume lakini kupata mwanamke wa ndoto yake ni ngumu sana
1. At the Age of 40 Kama atapata mwanamke mwenye umri kuanzia 29 hadi 39 hapo lazima apate singo mazaa
2. At the Age of 40 Kama atapata mwanamke mwenye Age kuanzia 24-28 bado wana akili za kula ujana hawa wengi watakupendea pesa zako alafu wanaliwa na vijana wenzao maana wee wanakuona ushakuwa babu mzee
3. Ukipata mwanamke mwenye Age kuanzia 18-24 hawa wengi bado wana childhood age hivyo ukiwa nae kimawazo hamuwezi kufanana maana yee utoto mwingi bado ana akili ya kushinda kwenye vigodoro
4. At this Age of 40 Kama maisha yatakuwa yamekupiga chenga hata ukipata mwanamke mwenye Age of 28-35 ambaye hana mtoto atakula vihela vyako kisha atakukimbia kwa sababu huna maisha
5. At the Age of 40 Kama utabahatika kupendwa na mwanamke basi huyo mwanamke ni Aina ya wale wanawake ambao walikuwa wanajiuza sasa amechoka anafuta kijana mzee wa kumweka ndani
6. At the Age 40 ukiamua kutafuta mke mtandaoni baada ya umri kwenda utaishia kuwatumia hela ya nauli wadada wa mitandaoni na kukimbiwa na wadada
Finally vijana wenzangu kama una binti unapenda naye funga naye ndoa tuu wakati ndo huu ukichelewa chelewa huku mbeleni kuna complications kumpata mwanamke wa ndoto yako au utayeendana naye