Ukichelewa kuoa hadi miaka 40 utapata shida kumpata mwanamke utayendana naye

Ukichelewa kuoa hadi miaka 40 utapata shida kumpata mwanamke utayendana naye

Kuoa au kuolewa ni jambo linalozingatia mambo mengi sana na sio umri peke yake.

Unapojikuta umri unakulazimisha kuoa au kuolewa jichunguze zaidi kama una uwezo wa kubeba jukumu la ndoa

Ndoa sio lelemama, ni jukumu zito. Mbali na swala la kumpenda mtu na kutamani kuishi nae pia usisahau kutafuta wewe ni nani? Una karama gani? Uliumbwa na Mungu uje ufanye nini duniani?

Na je, huyo unayempenda anachochea kipawa na karama yako au anaiua?
Nimekuelewa sana point yako, hapondipo nagundua kila niliyekuwa namchumbia hakuwa mtu sahihi kwangu ndio maana nazidi kushuka kimaendeleo
 
Kwa nyakati hizi mtu kuoa ukiwa na miaka 40 siyo tatizo na wala hawezi kukosa mwanamke mwenye sifa nzuri wa kuolewa naye. Sema mtu analzimika kuoa mapema ili kukwepa kuacha watoto yatima au kukosa mtoto wa kumsaidia uzeeni.
 
Naomba muongozo wa hao wadada mkuu
Napata shida sana kuona vijana mnashindwaje kupata wanawake bora mbona wapo wengi sana na ushahidi wa mabinti wawili tupo nao kazini ni mabinti wazuri, bright na wanayajua maisha, watiifu kweli wanachapa kazi haswa, wanajiheshimu haswa.

Najua wanaweza kuwa na kasoro zao lakini za kinadamu.

Mimi nafikiri vijana mna hofu sana kuliko hofu yenyewe, pia mnasikiliza sana maneno ya mtaani
 
Guys Hamnaga kanuni haya maisha, ila common probability
 
Kuoa au kuolewa ni jambo linalozingatia mambo mengi sana na sio umri peke yake.

Unapojikuta umri unakulazimisha kuoa au kuolewa jichunguze zaidi kama una uwezo wa kubeba jukumu la ndoa

Ndoa sio lelemama, ni jukumu zito. Mbali na swala la kumpenda mtu na kutamani kuishi nae pia usisahau kutafuta wewe ni nani? Una karama gani? Uliumbwa na Mungu uje ufanye nini duniani?

Na je, huyo unayempenda anachochea kipawa na karama yako au anaiua?
Mama d unaweza kufafanua kidogo para ya pili?
 
Je ukikupenda kama ulivyo siku ukipata ajari, hautajiandaa kisaikolojia?
Kwa hawa dada zetu wa siku hizi akikupenda kama ulivyo na huna pesa basi atakuwa amekupenda kwa dhati kabisa, hata ukipata ajali still ataendelea kukupenda tu!!
 
Kuna imani flani imejengeka kwa vijana wenye umri kuanzia 25-35 kwamba mwanaume umri wowote anaweza kuoa hata akichelewa hamna shida ataoa it's true kuoa mwanaume lakini kupata mwanamke wa ndoto yake ni ngumu sana

1. At the Age of 40 Kama atapata mwanamke mwenye umri kuanzia 29 hadi 39 hapo lazima apate singo mazaa

2. At the Age of 40 Kama atapata mwanamke mwenye Age kuanzia 24-28 bado wana akili za kula ujana hawa wengi watakupendea pesa zako alafu wanaliwa na vijana wenzao maana wee wanakuona ushakuwa babu mzee

3. Ukipata mwanamke mwenye Age kuanzia 18-24 hawa wengi bado wana childhood age hivyo ukiwa nae kimawazo hamuwezi kufanana maana yee utoto mwingi bado ana akili ya kushinda kwenye vigodoro

4. At this Age of 40 Kama maisha yatakuwa yamekupiga chenga hata ukipata mwanamke mwenye Age of 28-35 ambaye hana mtoto atakula vihela vyako kisha atakukimbia kwa sababu huna maisha

5. At the Age of 40 Kama utabahatika kupendwa na mwanamke basi huyo mwanamke ni Aina ya wale wanawake ambao walikuwa wanajiuza sasa amechoka anafuta kijana mzee wa kumweka ndani

6. At the Age 40 ukiamua kutafuta mke mtandaoni baada ya umri kwenda utaishia kuwatumia hela ya nauli wadada wa mitandaoni na kukimbiwa na wadada

Finally vijana wenzangu kama una binti unapenda naye funga naye ndoa tuu wakati ndo huu ukichelewa chelewa huku mbeleni kuna complications kumpata mwanamke wa ndoto yako au utayeendana naye
Huo n mtazamo wako, ustujumuishe wote........kila mtu ana uhuru wa kuiendea njia anayoona n sahihi kwake.
 
Kwa nyakati hizi mtu kuoa ukiwa na miaka 40 siyo tatizo na wala hawezi kukosa mwanamke mwenye sifa nzuri wa kuolewa naye. Sema mtu analzimika kuoa mapema ili kukwepa kuacha watoto yatima au kukosa mtoto wa kumsaidia uzeeni.
40 years ndo unaanza kutafuta mwanamke wa kuoa ivi unafikiri at this Age utapata mwanamke gani aliye singo akaendana na wewe
 
Napata shida sana kuona vijana mnashindwaje kupata wanawake bora mbona wapo wengi sana na ushahidi wa mabinti wawili tupo nao kazini ni mabinti wazuri, bright na wanayajua maisha, watiifu kweli wanachapa kazi haswa, wanajiheshimu haswa.

Najua wanaweza kuwa na kasoro zao lakini za kinadamu.

Mimi nafikiri vijana mna hofu sana kuliko hofu yenyewe, pia mnasikiliza sana maneno ya mtaani
Haka katangazo kananifaa.
 
Vjana oeni mapema
Mwenzenu nimeoa umri umeenda manjonjo na mahaba ninayopewa najilaumu kwanini sikuoa mapema ili nifaidi vizuri

Asikwambie mtu mapenzi ya ujanani yananoga Sana yaani style zote unapewa, najuta kuchelewa kuoa mapema
 
Apa kuna wanao jifariji kutokuoa mapema Wanaume mnatakiwa mjue hii dunia imebadilika miaka 40 huo n umri wa uzee kwa dunia ya sasa ukioa mapema kuna faida nying kuna Mamb unayapokea Ukiwa na nguvu na ujana n rahis kutatua changamoto zitakazojitokeza oen mapema vijana wenzangu maisha ndo haya n vizur Ukiwa na hiyo miaka 40 mtoto awe secondary
 
Yani katika uzi wa kipumbavu nliowahi kusoma huku JF ni huo upuuzi umeandika hapo juu... unayawekea mapenzi fomula... nani amekwambia mapenzi yanakanuni kama hizo unazopotosha nazo jamii... nimeshuhudia miaka 50 wanaoa, wanazaa, na wanafurahia maisha itakuwa miaka 40...nmeshuhudia wadada wanaolewa miaka 40+ na wanaume mika 30 na wanaheshimiana na kupendana vizuri kabisa... fanya utafiti sio unakurupuka kuandika tu vile unajiskia, hii ni Forum ya jamii usipotoshe umma
Mkuu povu la nini? Si uowe tu huyo unaemfuga?
 
Back
Top Bottom