Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,961
Nimekuelewa sana point yako, hapondipo nagundua kila niliyekuwa namchumbia hakuwa mtu sahihi kwangu ndio maana nazidi kushuka kimaendeleoKuoa au kuolewa ni jambo linalozingatia mambo mengi sana na sio umri peke yake.
Unapojikuta umri unakulazimisha kuoa au kuolewa jichunguze zaidi kama una uwezo wa kubeba jukumu la ndoa
Ndoa sio lelemama, ni jukumu zito. Mbali na swala la kumpenda mtu na kutamani kuishi nae pia usisahau kutafuta wewe ni nani? Una karama gani? Uliumbwa na Mungu uje ufanye nini duniani?
Na je, huyo unayempenda anachochea kipawa na karama yako au anaiua?
Tena wote wa kiumeTena mapacha
Nimekuelewa sana point yako, hapondipo nagundua kila niliyekuwa namchumbia hakuwa mtu sahihi kwangu ndio maana nazidi kushuka kimaendeleo
Napata shida sana kuona vijana mnashindwaje kupata wanawake bora mbona wapo wengi sana na ushahidi wa mabinti wawili tupo nao kazini ni mabinti wazuri, bright na wanayajua maisha, watiifu kweli wanachapa kazi haswa, wanajiheshimu haswa.
Najua wanaweza kuwa na kasoro zao lakini za kinadamu.
Mimi nafikiri vijana mna hofu sana kuliko hofu yenyewe, pia mnasikiliza sana maneno ya mtaani
Mama d unaweza kufafanua kidogo para ya pili?Kuoa au kuolewa ni jambo linalozingatia mambo mengi sana na sio umri peke yake.
Unapojikuta umri unakulazimisha kuoa au kuolewa jichunguze zaidi kama una uwezo wa kubeba jukumu la ndoa
Ndoa sio lelemama, ni jukumu zito. Mbali na swala la kumpenda mtu na kutamani kuishi nae pia usisahau kutafuta wewe ni nani? Una karama gani? Uliumbwa na Mungu uje ufanye nini duniani?
Na je, huyo unayempenda anachochea kipawa na karama yako au anaiua?
Kwa hawa dada zetu wa siku hizi akikupenda kama ulivyo na huna pesa basi atakuwa amekupenda kwa dhati kabisa, hata ukipata ajali still ataendelea kukupenda tu!!Je ukikupenda kama ulivyo siku ukipata ajari, hautajiandaa kisaikolojia?
Huo n mtazamo wako, ustujumuishe wote........kila mtu ana uhuru wa kuiendea njia anayoona n sahihi kwake.Kuna imani flani imejengeka kwa vijana wenye umri kuanzia 25-35 kwamba mwanaume umri wowote anaweza kuoa hata akichelewa hamna shida ataoa it's true kuoa mwanaume lakini kupata mwanamke wa ndoto yake ni ngumu sana
1. At the Age of 40 Kama atapata mwanamke mwenye umri kuanzia 29 hadi 39 hapo lazima apate singo mazaa
2. At the Age of 40 Kama atapata mwanamke mwenye Age kuanzia 24-28 bado wana akili za kula ujana hawa wengi watakupendea pesa zako alafu wanaliwa na vijana wenzao maana wee wanakuona ushakuwa babu mzee
3. Ukipata mwanamke mwenye Age kuanzia 18-24 hawa wengi bado wana childhood age hivyo ukiwa nae kimawazo hamuwezi kufanana maana yee utoto mwingi bado ana akili ya kushinda kwenye vigodoro
4. At this Age of 40 Kama maisha yatakuwa yamekupiga chenga hata ukipata mwanamke mwenye Age of 28-35 ambaye hana mtoto atakula vihela vyako kisha atakukimbia kwa sababu huna maisha
5. At the Age of 40 Kama utabahatika kupendwa na mwanamke basi huyo mwanamke ni Aina ya wale wanawake ambao walikuwa wanajiuza sasa amechoka anafuta kijana mzee wa kumweka ndani
6. At the Age 40 ukiamua kutafuta mke mtandaoni baada ya umri kwenda utaishia kuwatumia hela ya nauli wadada wa mitandaoni na kukimbiwa na wadada
Finally vijana wenzangu kama una binti unapenda naye funga naye ndoa tuu wakati ndo huu ukichelewa chelewa huku mbeleni kuna complications kumpata mwanamke wa ndoto yako au utayeendana naye
40 years ndo unaanza kutafuta mwanamke wa kuoa ivi unafikiri at this Age utapata mwanamke gani aliye singo akaendana na weweKwa nyakati hizi mtu kuoa ukiwa na miaka 40 siyo tatizo na wala hawezi kukosa mwanamke mwenye sifa nzuri wa kuolewa naye. Sema mtu analzimika kuoa mapema ili kukwepa kuacha watoto yatima au kukosa mtoto wa kumsaidia uzeeni.
Haka katangazo kananifaa.Napata shida sana kuona vijana mnashindwaje kupata wanawake bora mbona wapo wengi sana na ushahidi wa mabinti wawili tupo nao kazini ni mabinti wazuri, bright na wanayajua maisha, watiifu kweli wanachapa kazi haswa, wanajiheshimu haswa.
Najua wanaweza kuwa na kasoro zao lakini za kinadamu.
Mimi nafikiri vijana mna hofu sana kuliko hofu yenyewe, pia mnasikiliza sana maneno ya mtaani
Kafanyie kazi ulete mrejeshoHaka katangazo kananifaa.
PoaKafanyie kazi ulete mrejesho
Mkuu povu la nini? Si uowe tu huyo unaemfuga?Yani katika uzi wa kipumbavu nliowahi kusoma huku JF ni huo upuuzi umeandika hapo juu... unayawekea mapenzi fomula... nani amekwambia mapenzi yanakanuni kama hizo unazopotosha nazo jamii... nimeshuhudia miaka 50 wanaoa, wanazaa, na wanafurahia maisha itakuwa miaka 40...nmeshuhudia wadada wanaolewa miaka 40+ na wanaume mika 30 na wanaheshimiana na kupendana vizuri kabisa... fanya utafiti sio unakurupuka kuandika tu vile unajiskia, hii ni Forum ya jamii usipotoshe umma
Na wewe subiri uje umpate Beka.Mbona Isaka mtoto wa Ibrahimu alioa akiwa na miaka 40 na akapata mke mzuri tu, tena sana(Rebeka)
Navutiwa na mwanamke ambaye anaambini maisha au familia hujengwa na watu wawili tu kwa maamzi bila kushauriwa wala kufuata tamaa ya fedha,ivo tuWewe huwa unavutiwa na nini