Ukichunguza kiundani GSM amejitangaza sana na kupiga fedha kupitia Yanga lakini anachowafanyia ni sanaa tupu

Ukichunguza kiundani GSM amejitangaza sana na kupiga fedha kupitia Yanga lakini anachowafanyia ni sanaa tupu

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Kwa fedha alivyoipAtA GSM, YAnga tunashindwaje kusajili wachezaji wa maana?.
Huku Simba ikichukua wachezaji wenye record kubwa. Yanga tumewekeza kwenye propaganda hakuna uhalisia.
Aliyeisaidia yangA kwa Hali na Mali alikuwa mAnji tu. Alisajili na kuifanya timu kuwa Bora.

GSM yupo kufanya unyonyaji. Wamejibrand kupitia yanga lkn wanaiacha yanga ikiwa ovyo mwaka Hadi mwaka.

Kitu pekee walichofanikiwa NI kwenye propaganda. Kwanza walikaa karibu na Manara toka awali ili asiwalenge na kufanya vibaya kwa yanga.

Timu kubwa Kama yanga inataka uwekezaji haswa kitakwimu sio propaganda. Tujue Mo hutumia B. 4 kwa mwaka kwa Simba. GSM hutumia kiasi gani.

Na ukweli NI kuwa bila yanga GSM ilikuwa sio kitu kabisa. Na ukweli kwa alivyofanikiwa kwenye propaganda GSM.

Tunaojua soka la yanga tunamkumbuka na Abasi Gulamali, Yanga wanakuwa mabingwa wa kistoria kupitia yeye. Yanga ya makombe ndio yeye. Mabingwa wa Tanzania na Afrika mashariki na Kati.

Tujiulize huyu GSM anamizizi yanga au kaingia kidili dili tu.

Mo kuanzia babu yake wote ni Simba je huyu GSM mizizi yake NI soka. Ivi awaoni ata akina chikwembe.

Update 08/09.....
Leo the GSM na faida yote wanayopiga wanashindwa kukamilisha sajili za wachezaji muhimu kabisa. Huu NI wizi na ukatili mkubwa kwa yanga
 
Yanga na GSM wote wanafaidika, Wana Yanga sio vipofu wanaona uhalisia wa Mambo. Kwa namna GSM walivyo sajili msimu huu Mimi binafsi naamimini hakuna kikombe Cha domestic kitakacho Baki na kwenye Ligi ya Mabingwa naamimini Yanga itacheza makundi. Sina Cha kumdai GSM.
 
Kwa fedha alivyoipAtA GSM, YAng kushindwa kusajili wachezaji wa maana.
Aliyeisaidia yangA kwa Hali na Mali alikuwa mAnji tu. Alisajili na kuifanya timu kuwa Bora.

GSM yupo kufanya unyonyaji. Wamejibrand kupitia yanga lkn wanaiacha yanga ikiwa ovyo mwaka Hadi mwaka
Toa ushahidi,acha uongo,hivi usajiki wa hao wachezaji unadhani ulifanywa bure?
 
Yanga na GSM wote wanafaidika, Wana Yanga sio vipofu wanaona uhalisia wa Mambo. Kwa namna GSM walivyo sajili msimu huu Mimi binafsi naamimini hakuna kikombe Cha domestic kitakacho Baki na kwenye Ligi ya Mabingwa naamimini Yanga itacheza makundi. Sina Cha kumdai GSM.
Yanga huwa mko hivyo. Ma hope kibao....
Mwisho wa siku ZERO...
 
Kwa fedha alivyoipAtA GSM, YAng kushindwa kusajili wachezaji wa maana.
Aliyeisaidia yangA kwa Hali na Mali alikuwa mAnji tu. Alisajili na kuifanya timu kuwa Bora.

GSM yupo kufanya unyonyaji. Wamejibrand kupitia yanga lkn wanaiacha yanga ikiwa ovyo mwaka Hadi mwaka
Watu Kama nyie mna chembechembe za uchawi Kama sio mchawi halisia,,,unapataje ujasiri wa kumbeza gsm wewe? kabla ya gsm ajaingia yanga timu ilikuwa na hali gani, mishahara unalipa wewe, gharama za kambi unalipa wewe, usajili unasajili wewe, mda mwingine kabla ujapost kitu apa uushirikishe ubongo wako kwanza mkuu!
 
Yanga na GSM wote wanafaidika, Wana Yanga sio vipofu wanaona uhalisia wa Mambo. Kwa namna GSM walivyo sajili msimu huu Mimi binafsi naamimini hakuna kikombe Cha domestic kitakacho Baki na kwenye Ligi ya Mabingwa naamimini Yanga itacheza makundi. Sina Cha kumdai GSM.

GSM Ana misimu mitatu na Yanga yanga haipigi hatua yoyote ile. Yanga ya ushindani NI ya Manji tu. Alisajili wachezaji tegemewa sio kuokota wanaovunja mikataba.

Sema GSM kaweza kujizatiti Sana kwenye propaganda na kukaa sawa na viongozi. Mo anajaza watu mpaka kocha anashindwa kuselect yupi aanze.

GSM aliwekeza kwa Manara tokea kitambo ili asiwe mlengwa wa wapinzani wao. Na kafanikiwa kwa Hilo. Ila swala la kuisaidia yanga NI ssanaa tupu.
 
Lazima uangalie Yanga hii kama ingetokea GSM hajatia mkono wake pale kwenye timu, Yanga ingekuwa wapi sasa?

Katika uwekezaji wa timu huwa kuna mafanikio ya uwanjani na mafanikio ya nje ya uwanja

Kama timu imefanya vibaya ndani ya uwanja basi hata nje ya uwanja jaribu kufanya vizuri hasa katika kutengeneza faida coz hakuna uwekezaji usio na faida

Leo tunaongea hapa ni lini mara ya mwisho kwa Manchester united alichukua kombe la ligi kuu ya Uingereza au Uefa Champions League, lakini haimaanishi timu hata nje ya uwanja iendelee kupata hasara, it's big No na hiyo siyo dhamira ya Uwekezaji katika timu

Vile kwa Arsenal wana miaka kibao hawana kikombe cha ligi wala hata kufuzu kucheza Uefa Champions League lakini timu nje ya uwanja inatengeneza faida ya kutosha katika wawekezaji wake

Kinachofanyika leo katika ligi yetu sio kigeni kama ni mfatiliaji wa soka hili la Bongo, hasa timu moja kuchukua ubingwa karibu mara tatu hadi tano mfululizo na hiyo inaonesha hivi ni vipindi katika soka vinatokea sana

Kama Unaongelea katika utani wa simba na Yanga upo sahihi na Kama upo serious in professional sports talking, Upo wrong sana mkui
 
GSM Ana misimu mitatu na Yanga yanga haipigi hatua yoyote ile. Yanga ya ushindani NI ya Manji tu. Alisajili wachezaji tegemewa sio kuokota wanaovunja mikataba.

Sema GSM kaweza kujizatiti Sana kwenye propaganda na kukaa sawa na viongozi. Mo anajaza watu mpaka kocha anashindwa kuselect yupi aanze.

GSM aliwekeza kwa Manara tokea kitambo ili asiwe mlengwa wa wapinzani wao. Na kafanikiwa kwa Hilo. Ila swala la kuisaidia yanga NI ssanaa tupu.
Swala la kusaidia Yanga ni sanaa tupu kwasababu Yanga hapati matokeo uwanjani na Manji leo hii anasifika kwasababu alipata matokeo uwanjani ni hii ni kwasababu upande wa Simba ulikuwa dhoofu in hali na ndio maana Yanga walipata mtelezo kipindi hicho

Ila now imekuwa tofauti, Yanga miaka miwili nyuma walikuwa dhoofu in hali na Simba kupitia Mo dewji wakapata nguvu na kurudi upya huku Yanga wakiwa hawaeleweki ila GSM amekuja kuwashia kwenye gia katika ya safari wakati simba yupo katika speed kubwa

Katika uwekezaji wa soka duniani kote sio timu zote zinafika malengo wanayohitaji kupata

Kuna timu ngapi zina uchumi mzuri kuzidi Yanga duniani zinafanya vibaya

Kama unaongea kwa ushabiki basi hoja yako ipo sahihi ila kama unaongea sports in professional way Basi hauko sahihi mkuu
 
Swala la kusaidia Yanga ni sanaa tupu kwasababu Yanga hapati matokeo uwanjani na Manji leo hii anasifika kwasababu alipata matokeo uwanjani ni hii ni kwasababu upande wa Simba ulikuwa dhoofu in hali na ndio maana Yanga walipata mtelezo kipindi hicho

Ila now imekuwa tofauti, Yanga miaka miwili nyuma walikuwa dhoofu in hali na Simba kupitia Mo dewji wakapata nguvu na kurudi upya huku Yanga wakiwa hawaeleweki ila GSM amekuja kuwashia kwenye gia katika ya safari wakati simba yupo katika speed kubwa

Katika uwekezaji wa soka duniani kote sio timu zote zinafika malengo wanayohitaji kupata

Kuna timu ngapi zina uchumi mzuri kuzidi Yanga duniani zinafanya vibaya

Kama unaongea kwa ushabiki basi hoja yako ipo sahihi ila kama unaongea sports in professional way Basi hauko sahihi mkuu
Swala la kusaidia Yanga ni sanaa tupu kwasababu Yanga hapati matokeo uwanjani na Manji leo hii anasifika kwasababu alipata matokeo uwanjani ni hii ni kwasababu upande wa Simba ulikuwa dhoofu in hali na ndio maana Yanga walipata mtelezo kipindi hicho

Ila now imekuwa tofauti, Yanga miaka miwili nyuma walikuwa dhoofu in hali na Simba kupitia Mo dewji wakapata nguvu na kurudi upya huku Yanga wakiwa hawaeleweki ila GSM amekuja kuwashia kwenye gia katika ya safari wakati simba yupo katika speed kubwa

Katika uwekezaji wa soka duniani kote sio timu zote zinafika malengo wanayohitaji kupata

Kuna timu ngapi zina uchumi mzuri kuzidi Yanga duniani zinafanya vibaya

Kama unaongea kwa ushabiki basi hoja yako ipo sahihi ila kama unaongea sports in professional way Basi hauko sahihi mkuu

Matokeo NI kitu kingine kabisa, tuangalie uwekezaji. Kama Makocha tu GSM anaokota okota tu. Mara kongo, Burundi na wapi sijui. Kwanini asing'oe Makocha kwenye timu kubwa Afrika au Amerka kusini.
Yanga tunabaze ya mashabiki Afrika ya mashariki. Na ikiwekeza vizuri itakuwa timu yenye base Kusini mwa Afrika. Sio Sanaa na propaganda. Wenzetu wanasajili. Mara anakuja Miquison
 
Lazima uangalie Yanga hii kama ingetokea GSM hajatia mkono wake pale kwenye timu, Yanga ingekuwa wapi sasa?

Katika uwekezaji wa timu huwa kuna mafanikio ya uwanjani na mafanikio ya nje ya uwanja

Kama timu imefanya vibaya ndani ya uwanja basi hata nje ya uwanja jaribu kufanya vizuri hasa katika kutengeneza faida coz hakuna uwekezaji usio na faida

Leo tunaongea hapa ni lini mara ya mwisho kwa Manchester united alichukua kombe la ligi kuu ya Uingereza au Uefa Champions League, lakini haimaanishi timu hata nje ya uwanja iendelee kupata hasara, it's big No na hiyo siyo dhamira ya Uwekezaji katika timu

Vile kwa Arsenal wana miaka kibao hawana kikombe cha ligi wala hata kufuzu kucheza Uefa Champions League lakini timu nje ya uwanja inatengeneza faida ya kutosha katika wawekezaji wake

Kinachofanyika leo katika ligi yetu sio kigeni kama ni mfatiliaji wa soka hili la Bongo, hasa timu moja kuchukua ubingwa karibu mara tatu hadi tano mfululizo na hiyo inaonesha hivi ni vipindi katika soka vinatokea sana

Kama Unaongelea katika utani wa simba na Yanga upo sahihi na Kama upo serious in professional sports talking, Upo wrong sana mkui
Kabla hajaja ilikuwa ya ngapii? Na Sasa inakuwa ya ngapi kwenye Ligi?
 
Yanga na GSM wote wanafaidika, Wana Yanga sio vipofu wanaona uhalisia wa Mambo. Kwa namna GSM walivyo sajili msimu huu Mimi binafsi naamimini hakuna kikombe Cha domestic kitakacho Baki na kwenye Ligi ya Mabingwa naamimini Yanga itacheza makundi. Sina Cha kumdai GSM.
hakuna msimu ambao Utopolo huwa hawana matumaini makubwa
 
Yanga na GSM wote wanafaidika, Wana Yanga sio vipofu wanaona uhalisia wa Mambo. Kwa namna GSM walivyo sajili msimu huu Mimi binafsi naamimini hakuna kikombe Cha domestic kitakacho Baki na kwenye Ligi ya Mabingwa naamimini Yanga itacheza makundi. Sina Cha kumdai GSM.
Yani kama zanaco wangekua ndo mnacheza nao mngeshatoka
Na wao wanacheza shirikisho
Je huko club bingwa ?
 
Watu Kama nyie mna chembechembe za uchawi Kama sio mchawi halisia,,,unapataje ujasiri wa kumbeza gsm wewe? kabla ya gsm ajaingia yanga timu ilikuwa na hali gani, mishahara unalipa wewe, gharama za kambi unalipa wewe, usajili unasajili wewe, mda mwingine kabla ujapost kitu apa uushirikishe ubongo wako kwanza mkuu!
Huwa tunawachukia bundi na paka bila sababu ya msingi waqt wao wametumwa tu.
 
Kabla hajaja ilikuwa ya ngapii? Na Sasa inakuwa ya ngapi kwenye Ligi?
It doesn't matter Mkuu, Ila najua umenielewa ila unachokitaka now ni ubishi na ushabiki ambapo mimi huko siongelei na kama hujanielewa itakuwa ni Jeuri yako tu
 
Matokeo NI kitu kingine kabisa, tuangalie uwekezaji. Kama Makocha tu GSM anaokota okota tu. Mara kongo, Burundi na wapi sijui. Kwanini asing'oe Makocha kwenye timu kubwa Afrika au Amerka kusini.
Yanga tunabaze ya mashabiki Afrika ya mashariki. Na ikiwekeza vizuri itakuwa timu yenye base Kusini mwa Afrika. Sio Sanaa na propaganda. Wenzetu wanasajili. Mara anakuja Miquison
Hauwezi kuwa MwanaYanga ww, hili la kwanza na pili fuatilia CV ya coach Nasredine Mohammed Nabi pia na coach Cedric Kaze ni makocha wa daraja la Juu sana halafu njoo kwa makocha hawa Coach Gomes, Coach Sven, na Coach Ausems ni makocha wa madaraja sawa na hao wa Yanga ila tofauti yao walijikuta simba ipo kwenye reli tayari na wakafanya nayo vzr ila now angalia Coach Ausems kule Afc Leopard Kenya alivyo na matokeo mabaya na vipi kuhusu Coach Sven wale RS Berkane kawafikisha wapi kwenye ligi kuu ya Morroco na vipi kuhusu michuano ya Africa kawafikisha wapi bila kusahau hapo unakumbuka Gomes alipokuwa Al hilal ya pale Sudan alifanya nini kwenye mashindano ya Afrika

Kwenye swala la usajili hapa huwa kifanyike kitu kinaitwa Gambling, Luis Jose Miquissone alisajiliwa Mamelodi sundowns alishindwa Kuprove ubora wake akarudishwa Ud songo kwa mkopo, ila simba wakamchukua waka Win katika hilo na ikawalipa ila hapo nyuma pia wamewahi kufanya sajili nyingi na hazikuwa lipa na wakapata flop players

Ishu ya mpira ni ufundi kama unaangalia kwa jicho hilo ila kama unaangalia kwa jicho la kiushabiki huwezi kuelewa ninacho kuzungumza
 
Back
Top Bottom