Ukichunguza kwa umakini ndoa ni Shimo la mateso matupu

Ukichunguza kwa umakini ndoa ni Shimo la mateso matupu

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
Najua wengi wataonibishia lakini tukatae tukubali ndoa ndio chanzo kikuu cha matatizo ya binadamu, matatizo kama vile magojwa ya moyo, stress, afya ya akili, kisukali n.k, mengi yamewapata binadamu wengi baada ya kuingia kwenye ndoa.

Hebu fikiria watu mpoo ndani ya ndoa lakini;

1. Ugomvi haushi ndani ya nyumba.

2. Unyumba mnanyimana.

3. Wanaume wengine wanachelewa kurudi nyumbani kisa wanawaogopa wake.

4. Kesi za kuchepuka haziishi.

5. Dharau, kejeli.

Sasa hii ndoa au mateso?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Najua wengi wataonibishia lakini tukatae tukubali ndoa ndio chanzo kikuu cha matatizo ya binadamu ,matatizo kama vile magojwa ya moyo,stress,afya ya akili,kisukali n.k mengi yamewapata binadamu wengi baada ya kuingia kwenye ndoa

Hebu fikiria watu mpoo ndani ya ndoa lakini

1.ugomvi haushi ndani ya nyumba

2.unyumba mnanyimana

3.wanaume wengine wanachelewa kurudi nyumbani kisa wanawaogopa wake

4.kesi za kuchepuka haziishii

5.dhalau,kejeliiiiii

Sasa hii ndoa au mateso

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Halafu,kwa nini uchunguze kwa umakini?Kuchunguza kwa umakini hupelekea kutaka kujua yoooteee.Na ukitaka kujua yote kuna baadhi yatakuacha na utata.Huo utata utakutoa relini na kubaki unawayawaya tu au umebung'aa.Hapo ndipo unapokwama.
 
Najua wengi wataonibishia lakini tukatae tukubali ndoa ndio chanzo kikuu cha matatizo ya binadamu ,matatizo kama vile magojwa ya moyo,stress,afya ya akili,kisukali n.k mengi yamewapata binadamu wengi baada ya kuingia kwenye ndoa

Hebu fikiria watu mpoo ndani ya ndoa lakini

1.ugomvi haushi ndani ya nyumba

2.unyumba mnanyimana

3.wanaume wengine wanachelewa kurudi nyumbani kisa wanawaogopa wake

4.kesi za kuchepuka haziishii

5.dhalau,kejeliiiiii

Sasa hii ndoa au mateso

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Ndoa zina mateso ila kuna raha nyingi sana kuliko mateso! Kwa kawaida binadamu huangalia tu makosa. Sikiliza hii clip utaelewa nasema nini
 
Najua wengi wataonibishia lakini tukatae tukubali ndoa ndio chanzo kikuu cha matatizo ya binadamu ,matatizo kama vile magojwa ya moyo,stress,afya ya akili,kisukali n.k mengi yamewapata binadamu wengi baada ya kuingia kwenye ndoa

Hebu fikiria watu mpoo ndani ya ndoa lakini

1.ugomvi haushi ndani ya nyumba

2.unyumba mnanyimana

3.wanaume wengine wanachelewa kurudi nyumbani kisa wanawaogopa wake

4.kesi za kuchepuka haziishii

5.dhalau,kejeliiiiii

Sasa hii ndoa au mateso

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Aliyeumba mapenzi, hakusema yana maumivu
 
Back
Top Bottom