Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
Najua wengi wataonibishia lakini tukatae tukubali ndoa ndio chanzo kikuu cha matatizo ya binadamu, matatizo kama vile magojwa ya moyo, stress, afya ya akili, kisukali n.k, mengi yamewapata binadamu wengi baada ya kuingia kwenye ndoa.
Hebu fikiria watu mpoo ndani ya ndoa lakini;
1. Ugomvi haushi ndani ya nyumba.
2. Unyumba mnanyimana.
3. Wanaume wengine wanachelewa kurudi nyumbani kisa wanawaogopa wake.
4. Kesi za kuchepuka haziishi.
5. Dharau, kejeli.
Sasa hii ndoa au mateso?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hebu fikiria watu mpoo ndani ya ndoa lakini;
1. Ugomvi haushi ndani ya nyumba.
2. Unyumba mnanyimana.
3. Wanaume wengine wanachelewa kurudi nyumbani kisa wanawaogopa wake.
4. Kesi za kuchepuka haziishi.
5. Dharau, kejeli.
Sasa hii ndoa au mateso?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app