Mynd177
JF-Expert Member
- Dec 3, 2022
- 2,817
- 5,141
Mkuu napata wapi nielekeze chimbo/source nikatafute..Elimu zingine unajitafutia mwenyewe.Hauzikuti darasani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu napata wapi nielekeze chimbo/source nikatafute..Elimu zingine unajitafutia mwenyewe.Hauzikuti darasani.
Ulichoandika sio matatizo ya ndoa bali ni matatizo ya watu binafsi wanaojiita wana ndoaNajua wengi wataonibishia lakini tukatae tukubali ndoa ndio chanzo kikuu cha matatizo ya binadamu ,matatizo kama vile magojwa ya moyo,stress,afya ya akili,kisukali n.k mengi yamewapata binadamu wengi baada ya kuingia kwenye ndoa
Hebu fikiria watu mpoo ndani ya ndoa lakini
1.ugomvi haushi ndani ya nyumba
2.unyumba mnanyimana
3.wanaume wengine wanachelewa kurudi nyumbani kisa wanawaogopa wake
4.kesi za kuchepuka haziishii
5.dhalau,kejeliiiiii
Sasa hii ndoa au mateso
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hakunaga elimu ya mtu sahihi hizo ni story tuu katika uchumba binadamu always tunafake maisha before ndoa ila tukishafunga ndoa uhalisia wetu ndo huanza kuonekanaNi mateso kama huna elimu ya kujua mtu sahihi.
Ukimpata wa kufanana nawe mateso utayasikia kwa wengine.
Ni mateso kama huna elimu ya kujua mtu sahihi.
Ukimpata wa kufanana nawe mateso utayasikia kwa wengine.
Sababu umeexpirence upuuzi.Acha kudanganya watu ndoa ni upuuzi.
Fake ujulikana na og ujulikana, tatizo mnaoa body yaani housing tu.Hakunaga elimu ya mtu sahihi hizo ni story tuu katika uchumba binadamu always tunafake maisha before ndoa ila tukishafunga ndoa uhalisia wetu ndo huanza kuonekana
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Tafuta watu wazima wenye ndoa, viongozi wa dini,ingia google kote huko ukipata hela utojuta.Naipata wapi mkuu naomba kuelekezwa nijifunze.
Sasa wakizalishana wanakimbilia kuoana ili kuficha aibu means hapo hawajachunguza baadae balaa lazima litokee.Ukifanya ngono na mtu kabla ya kumchunguza huwezi ona tabia zake mbaya.
Hakuna binadamu anaebadilika tabia hizo ndizo tabia zake ulikuwa kipofu sababu ulikuwa na nyege nae zimeisha SAsa upofu umeondoka.
Watu wa mila na dini kupinga ngono kabla ya ndoa awakuwa wajinga. Lengo ni kuzuia kuunganisha nafsi ukiunganisha nafsi na mtu huwezi yaona mabaya yake.
Kwenye ndoa ni miezi 3 tu nyege uisha then unamuona wa kawaida tu, hapo kinachobakia kushika ndoa ni tabia na kuendana pekee.
Sabuni 790 usijisumbue Sana na ndoa utapata presha tuNajua wengi wataonibishia lakini tukatae tukubali ndoa ndio chanzo kikuu cha matatizo ya binadamu, matatizo kama vile magojwa ya moyo, stress, afya ya akili, kisukali n.k, mengi yamewapata binadamu wengi baada ya kuingia kwenye ndoa.
Hebu fikiria watu mpoo ndani ya ndoa lakini;
1. Ugomvi haushi ndani ya nyumba.
2. Unyumba mnanyimana.
3. Wanaume wengine wanachelewa kurudi nyumbani kisa wanawaogopa wake.
4. Kesi za kuchepuka haziishi.
5. Dharau, kejeli.
Sasa hii ndoa au mateso?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
bajeti yangu ni 5000 tu kwa mwaka, shukrani za dhati kabisa ziende kwa Mamujee Products, Tanga, TzSabuni 790 usijisumbue Sana na ndoa utapata presha tu
Saaafi sana mkuu, lkngine ni kwamba, ndoa inawahusu watu wenye akili timamu tuu, huna akili, usioe wala kuolewa, huna akili, lazima unung'unike kama huyu asiye na akili kuhusu ndoa!Si kweli.Mateso yanaanzia kwenye mawazo na hisia zenu tu.Ndoa ni bonge la taasisi ya wenye kutumia fikra huru.