Ukichunguza kwa umakini ndoa ni Shimo la mateso matupu

Ukichunguza kwa umakini ndoa ni Shimo la mateso matupu

Ndoa inaundwa na watu wawili na lazma muwe mmejuana inside out.

Hakikisha mwanamke wako anayajua madhaifu yako na wewe unayajua yake kisha ndio mfanye maamuzi sasa ya kuoana. Ikiwa hutayajua madhaifu ya mwenza wako basi ujue ndoa yenu ikimaliza miezi 6 bila mgogoro Mungu anawapigania.

Shida nayoiona wengi huwa tunagubikwa na fantasies na kusahau kuwa ndoa ni uhalisia. Ndoa sio maigizo hivyo kila mtu lazma awe real na mwenzake.
...nakubali mkuu. Wengi wanajidanganya na mapenzi ya kukutana mnakula raha bythen jioni au kesho yake kila mmoja anarudi kwake au kwa wazazi wake ,wanakaa hivyo kwa mwaka au miaka miwili mwisho wa siku wanajiona wanatosha kuishi pamoja bila kujua 99% ya vipimo vyao kuwa watawezana wameifanya pindi wakikutana kwenye raha tu...Mbungi inaanza wanapolala pamoja ,kuamka pamoja,kula pamoja, kuwa ndani ya ratiba flani automatically otherwise utoe taarifa n.k hapo ndipo wanapokuja kujua true color ya kila mmoja na issue inakuja kwenye kujibadili ili uendane na mwenzio alivyo na kwa hili bila hekima ya mwanamke hawatoboi.!
 
Muwe mnamsikiliza Dizasta Vina mkipata mda


Jamaa ka-cover syllabus nzima yamaisha ikiwemo ndoa
 
Usipo mcha MUNGU au ukikosea kuoa (Ukioa mke asiye wako)hayo uliyoyasema Ni sawa!!!!
Yakikupata ndio utajua kwenye ndoa hakuna cha usipomcha Mungu wala kuoa mke asiye wako

Wanateswa na ndoa wachungaji, waheshimiwa, matajiri nk utakuwa wewe
 
Yakikupata ndio utajua kwenye ndoa hakuna cha usipomcha Mungu wala kuoa mke asiye wako

Wanateswa na ndoa wachungaji, waheshimiwa, matajiri nk utakuwa wewe
Mkuu nimekuelewa fika Wala sikupingi,,, Kama Kuna hasi basi Chanya lazima iwepo Kama kuna Giza na Nuru pia ipo!! Kama Kuna ndoa chungu na ndoa tamu pia zipo. Tuombe tu tuangukie kwenye kundi la ndoa njema
 
Ni mateso kama huna elimu ya kujua mtu sahihi.
Ukimpata wa kufanana nawe mateso utayasikia kwa wengine.
tabia za watu karibia wote zinafanana huyo mtu sahihi unamtoa sayari ya Jupiter au mars jambo kubwa katika ni ndoa kukubali udhaifu wa mwenzako na kuvumiliana hivi navyokuambia jirani yangu kaishi na mumewe karibia miaka 19 maan amtoto wao mkubwa ana miaka 18 wameachana taraka 3 na wamejenga nyumba karibu 2 kwa miaka hiyo yote walioishi walikuwa sio watu sahihi
Kuishi na mtu kazi sana mapenzi hayana formula watu wanaolewa ili kutimiza wajibu ndoa ni utumwa mkubwa ndio maana yesu hakuoa kabisa
 
Najua wengi wataonibishia lakini tukatae tukubali ndoa ndio chanzo kikuu cha matatizo ya binadamu, matatizo kama vile magojwa ya moyo, stress, afya ya akili, kisukali n.k, mengi yamewapata binadamu wengi baada ya kuingia kwenye ndoa.

Hebu fikiria watu mpoo ndani ya ndoa lakini;

1. Ugomvi haushi ndani ya nyumba.

2. Unyumba mnanyimana.

3. Wanaume wengine wanachelewa kurudi nyumbani kisa wanawaogopa wake.

4. Kesi za kuchepuka haziishi.

5. Dharau, kejeli.

Sasa hii ndoa au mateso?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hahaha
 
Back
Top Bottom