Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matatizo uliyoyataja yapo hata kama haupo kwenye ndoa,Najua wengi wataonibishia lakini tukatae tukubali ndoa ndio chanzo kikuu cha matatizo ya binadamu, matatizo kama vile magojwa ya moyo, stress, afya ya akili, kisukali n.k, mengi yamewapata binadamu wengi baada ya kuingia kwenye ndoa.
Hebu fikiria watu mpoo ndani ya ndoa lakini;
1. Ugomvi haushi ndani ya nyumba.
2. Unyumba mnanyimana.
3. Wanaume wengine wanachelewa kurudi nyumbani kisa wanawaogopa wake.
4. Kesi za kuchepuka haziishi.
5. Dharau, kejeli.
Sasa hii ndoa au mateso?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Kosa kubwa lingine ni mtu kukubali ndoa ni mateso na akakubali kuishi hivyo kwa kuamini hivyo atateseka mara 2 zaidi ya awaliBinafsi ndoa imenidisappointments sana, bahati mbaya tena ndoa za kikristo ambazo no return kwa kweli tunakutana na changamoto kubwa sana.
Lakini kwaajili ya uzazi na malezi kwa maslahi ya taifa leo na kesho acha ndoa ziendelee maana kwa ujumla maisha ya mwanadamu ni mateso tu na ndoa ni sehemu moja wapo ya mateso ya binadamu.
Kwa sisi wa kristo tumeambiwa kila mtu abebe msalaba wake kuekekea kalvari ya mbinguni.
Kumbe hapa napo pana darasa, komment hii imenifunza usiruhusu hisia/nyege ziongoze maamuzi yako.Ukifanya ngono na mtu kabla ya kumchunguza huwezi ona tabia zake mbaya.
Hakuna binadamu anaebadilika tabia hizo ndizo tabia zake ulikuwa kipofu sababu ulikuwa na nyege nae zimeisha SAsa upofu umeondoka.
Watu wa mila na dini kupinga ngono kabla ya ndoa awakuwa wajinga. Lengo ni kuzuia kuunganisha nafsi ukiunganisha nafsi na mtu huwezi yaona mabaya yake.
Kwenye ndoa ni miezi 3 tu nyege uisha then unamuona wa kawaida tu, hapo kinachobakia kushika ndoa ni tabia na kuendana pekee.
Nyege na first love ndio uwaingiza ndoani wengiKumbe hapa napo pana darasa, komment hii imenifunza usiruhusu hisia/nyege ziongoze maamuzi yako.
JE ni sahih?Nyege na first love ndio uwaingiza ndoani wengi
Ripota ni muhanga wa kunyimwa mzigo 😀😀😀Umejuaje?
Kitu cha mda mfupi kinakuaje sahihi.JE ni sahih?
Mara nyingi nyinyi mnaoandika hivi ni watoto wa mitaani. Ndoa zenye amani zipo nyingi tu. Msiwe mnaandika ushuzi ushuzi bila takwimu.Najua wengi wataonibishia lakini tukatae tukubali ndoa ndio chanzo kikuu cha matatizo ya binadamu, matatizo kama vile magojwa ya moyo, stress, afya ya akili, kisukali n.k, mengi yamewapata binadamu wengi baada ya kuingia kwenye ndoa.
Hebu fikiria watu mpoo ndani ya ndoa lakini;
1. Ugomvi haushi ndani ya nyumba.
2. Unyumba mnanyimana.
3. Wanaume wengine wanachelewa kurudi nyumbani kisa wanawaogopa wake.
4. Kesi za kuchepuka haziishi.
5. Dharau, kejeli.
Sasa hii ndoa au mateso?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Nakubaliana nawe, mtu akiweza kuiset akili na ufahamu wake hata kama yupo jela ataona kawaida tu maadamu anaishi.Kosa kubwa lingine ni mtu kukubali ndoa ni mateso na akakubali kuishi hivyo kwa kuamini hivyo atateseka mara 2 zaidi ya awali
Hahahaa! umenikumbusha mwalimu wangu wa saikolojia miaka ile,alinifundisha somo la LOVE,halafu mkewe akawa analiwa na mwanafunzi wake.Kwa nn hii elimu huwa hamuitoiI
Exactly bro alafu inakata stimu mapema hivyo kukusaidia ufocus kwenye vitu vya msingi zaidi 😑bajeti yangu ni 5000 tu kwa mwaka, shukrani za dhati kabisa ziende kwa Mamujee Products, Tanga, Tz