Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoe huyo kwenye PP yako kwanza, maana kwa sisi Waislamu wa buza tayari yuko uchi...[emoji57][emoji2960]Kama Unaenda usaili wa utumishi hakikisha,una ID YOYOTE,COPY AU NAMBA YA NIDA HAZIFANYZI KAZI,UTAPOTEZA PESA NA MUDA WAKO BURE
una ID YOYOTE
Upo sahihi sana kuliko mtoa mada. BarikiwaHapana. sio ID yeyote, kuna ID za Kazi nazo ni ID ila hazikubaliki huko Utumishi.
ID zinazokubalika ni Kitambulisho cha Kura, NIDA, Leseni ya Udereva, Passport ya Kusafiria.
Kama hautakuwa na vitambulisho vyote hivyo, nenda na barua ya Utambulisho kutoka Serikali ya Mtaa.