Ukienda kutafuta maisha kwenye mikoa hii ni ngumu sana kutoboa

Ukienda kutafuta maisha kwenye mikoa hii ni ngumu sana kutoboa

Wakuu wa bukoba naomba niwaulize kuna yoyote anaeuzs vanilla kavu sio mbichi kama yupo nahitaji vanilla na bei yake kwa kilo
 
Ieleweke ni ngumu sana kufanikiwa kimaisha SIO haiwezekani kufanikiwa:-

- Arusha
- Kilimanjaro
- Tabora
- Simiyu
- Geita
- Kigoma
- Lindi
- Mtwara
- Ruvuma
- Bukoba
- Mara
- zanzibar yote

Hiyo mikoa kama ndio unataka kuanza kutafuta maisha sikushauri uende.
Mengine yooote ni sawa ingawaje sina uhakika.... Ila mikoa ya lindi na ruvuma nina ushuhuda...

Nlishawah fanyaga businesa kule...

Lindi nilinunua korosha na kuuza..
Na niliwah kununua nazi na niliwah peleka mahind.

Ruvuma niliwah fuga.. Nililima na nlikuwa na duka la vifaa vya simu.
Shida yao kubwa ni umaarufu, wanafanya kwa kujuana saana na sio ubora wa kitu ila unatoboa kirahis saana
 
Nimeishi Arusha mkuu na jamii ya kule Arusha waliojaa wengi ndio hao wa kutoka Kilimanjaro.
Kwa hiyo naamini tabia wanazozionyesha Arusha ndio hizo hizo za kutoka kwao Kilimanjaro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Arusha umeishi sehemu gani mkuu maana katka wilaya za Arusha sidhani kama kunasehemu jamii ya kilimanjaro imezidi
1.Manispaa ya Arusha mjini ni mchanganyikeni, labda hapa hivi unaweza ukasema wachaga ni wengi ila sio kivile maana hata makabila mengine ni wengi kutokana na fursa za kibiashara
2.Wilaya ya karatu 80% ni wairaqw(wa mbulu)
3.Wilaya ya ngorongoro huku ni utalii na asilimia kubwa ya wakazi wake ni wamasai
4.wilaya ya monduli pia 90% ni wamasai
5.Meru nzima wengi ni wameru.
Sa sijaelewa ni Arusha ipi hiyo we unaiongelea
 
Mkuu bado uko Ruvuma

Mengine yooote ni sawa ingawaje sina uhakika.... Ila mikoa ya lindi na ruvuma nina ushuhuda...

Nlishawah fanyaga businesa kule...

Lindi nilinunua korosha na kuuza..
Na niliwah kununua nazi na niliwah peleka mahind.

Ruvuma niliwah fuga.. Nililima na nlikuwa na duka la vifaa vya simu.
Shida yao kubwa ni umaarufu, wanafanya kwa kujuana saana na sio ubora wa kitu ila unatoboa kirahis saana
 
Mengine yooote ni sawa ingawaje sina uhakika.... Ila mikoa ya lindi na ruvuma nina ushuhuda...

Nlishawah fanyaga businesa kule...

Lindi nilinunua korosha na kuuza..
Na niliwah kununua nazi na niliwah peleka mahind.

Ruvuma niliwah fuga.. Nililima na nlikuwa na duka la vifaa vya simu.
Shida yao kubwa ni umaarufu, wanafanya kwa kujuana saana na sio ubora wa kitu ila unatoboa kirahis saana
Ni kweli,kujuana kupo kwa biashara.Nenda Lizaboni,Mfaranyaki,Bombambili,Msamala,Making'inda,Matarawe,Matogoro,Mahenge,Maji Maji nk vigrosary NJE nyumba za watu wanywaji wale wale.Halafu wangoni wanapenda sifa ,show up na kwa majungu hawajambo.Watani zangu wafupi wafupi % kubwa.Labda Wayao,Wandendeure na Wanyasa kidogo warefu.Ila wanyasa kitabia ni kama wahaya.Wamatengo nao SIFA wanapenda sana ila ni wachacharikaji wa Ruvuma.

Mzunguko wa Fedha mdogo ila life siyo tough na vyakula ni vingi sana ingawa madawa ya kukuzia ndio nyumbani kwake kuweza kusababisha kansa.

Karibuni Ruvuma Wakuu,naishi Majengo nyuma ya shell ya Kisumapai.
 
Natamani kufungua biashara ya vifaa vya SIMU na ufundi wa SIMU Songea unashaurije mkuu




Nilishatoka ila nina project zangu za kilimo na ufugaji kuule... Huwa naenda mara kwa mara tu... Siwez kukaa miez mitatu mfululizo bila kuenda...

Vipi mkuu unahitaji kukijua nin?
 
Mzunguko wa pesa kiujumla Rungwe na Songea upi ni mkubwa.


Ni kweli,kujuana kupo kwa biashara.Nenda Lizaboni,Mfaranyaki,Bombambili,Msamala,Making'inda,Matarawe,Matogoro,Mahenge,Maji Maji nk vigrosary NJE nyumba za watu wanywaji wale wale.Halafu wangoni wanapenda sifa ,show up na kwa majungu hawajambo.Watani zangu wafupi wafupi % kubwa.Labda Wayao,Wandendeure na Wanyasa kidogo warefu.Ila wanyasa kitabia ni kama wahaya.Wamatengo nao SIFA wanapenda sana ila ni wachacharikaji wa Ruvuma.

Mzunguko wa Fedha mdogo ila life siyo tough na vyakula ni vingi sana ingawa madawa ya kukuzia ndio nyumbani kwake kuweza kusababisha kansa.

Karibuni Ruvuma Wakuu,naishi Majengo nyuma ya shell ya Kisumapai.
 
Ila Simiyu, Musoma na Tabora nimekaa Nipagumu huko kibiashara aisee..
Ila sehemu kama Dodoma Washikqji zangu wengi wametobolea Maisha pale.. Na walikua Mikoa Mingine Maisha yaliwashinda kbisaa.
 
Asante Mkuu huko lazima nifike ila vipi mzunguko wa pesa
maeneno ya Songea ukoje Mkuu.


Hasa maeneo ya shughuli zinazohusu SIMU iwe kutengeneza au kuuza vifaa vyake.

Karibu mkuu mi nipo hapa uliza lolote kuhusu Ruvuma
 
Natamani kufungua biashara ya vifaa vya SIMU na ufundi wa SIMU Songea unashaurije mkuu
Inalipa teena saana ila uwe fundi wa uhakika hasa softwarw..... Then uwe mtundu wa kucheza na hizi iphone...

Alafu pia uwe na ile machine ya kupachua simu zisizo na nati...

Tafuta box la uhakika....

Na uende na bidhaa kwa bei ya dar.

Example.
Protector za plastic kule ni 5000-7000
Inategemea na mteja... Aasa we ukiuza buku 33
 
Inalipa teena saana ila uwe fundi wa uhakika hasa softwarw..... Then uwe mtundu wa kucheza na hizi iphone...
Alafu pia uwe na ile machine ya kupachua simu zisizo na nati...
Tafuta box la uhakika....
Na uende na bidhaa kwa bei ya dar.
Example.
Protector za plastic kule ni 5000-7000
Inategemea na mteja... Aasa we ukiuza buku 33
Mafundi software ni wachache au hawajui? Vipi kuhusu Ufundi computer, modem na Data recovery?
Mimi napiga zote ila simu nipo kwenye software
 
Mkuu katika software siko sana ila hardware kwa kiasi nimetulia.


Hata hivyo ni maeneo gani yametulia kwa kazi hiyo Mkuu.

Ambayo pia INA mchanganyiko wawa wageni kama wachagga,wakinga,wapemba,waha n.k?




Na changamoto kubwa ya maeneo hayo ni IPI Mkuu.



Inalipa teena saana ila uwe fundi wa uhakika hasa softwarw..... Then uwe mtundu wa kucheza na hizi iphone...

Alafu pia uwe na ile machine ya kupachua simu zisizo na nati...

Tafuta box la uhakika....

Na uende na bidhaa kwa bei ya dar.

Example.
Protector za plastic kule ni 5000-7000
Inategemea na mteja... Aasa we ukiuza buku 33
 
Back
Top Bottom