Ujambazi mwingi, wakijua una laki 5 ndana wanakuja na a.k 47[emoji4]Kigoma kuna fursa kubwa sana ya kutoka kimaisha, wengi waliothubutu wamefanikiwa na huwezi kuwashawishi kuondoka kigoma.
Kumbuka kuna mpaka wa Congo na Burundi na mkoa umeunganishwa n Zambia kupitia ziwa Tanganyika...moaka hapo fursa umeshaiona.
Kwangu mi ntakwambia mkoa mgumu kutoka kimaisha ni Dar, vijana wanaishia kuwa "wachuuzi" angalau kupata mia mbili mia tatu za kodi na chakula.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app