Ukienda kwa shehe akikupa vikaratasi kama hivi uwe unavibeba ama kuviweka chumbani vichane na usirudi tena kwake, ni uchawi mtupu

Ukienda kwa shehe akikupa vikaratasi kama hivi uwe unavibeba ama kuviweka chumbani vichane na usirudi tena kwake, ni uchawi mtupu

Kama hupendi shirki pia achana na zinaa, yote ni machukizo kwa Allah,
Imani ya hakika ya 100%,kama binadamu ni ngumu kuwa nayo,kuweza kuhimili husda za kilimwengu, Amini hili, (Utakapo kuwa na imani kidogo sana kama punje ya haridali unaweza kuuamuru mlima uhame na ukatii)
Ona kipimo tulichopewa na mungu,
 
IMG_20230430_050925_370.jpg
 
Imani ya hakika ya 100%,kama binadamu ni ngumu kuwa nayo,kuweza kuhimili husda za kilimwengu, Amini hili, (Utakapo kuwa na imani kidogo sana kama punje ya haridali unaweza kuuamuru mlima uhame na ukatii)
Ona kipimo tulichopewa na mungu,
Aisee
 
Ogopa sana hao wanaojifanya, au kuita wenzao wachawi, kwani hao ni hatari zaidi ya wachawi, trust me!
Uaminiwe ww kma nani ?

Uchawi upo na unafanya kazi sasa kwanini wachawi wasiwepo

Ttzo la uchawi linagombanisha sana jamii,mauaji,husda na chuki baina ya jamii ndo mna tunapinga uchawi kwa nguvu zote

Leo hii watu wangapi wamekimbia makwao na hawataki kurudi kabisaaa kisa imani za kishirikina.watu wanaacha majumba yao na kukimbia kusikojulikana ilimradi aishi salama

Watu wangapi leo hii wameuwawa kisa imani za kishirikina? Hlf unataka likaliwe kimya hili suala?

Acheni ushirikina jamani mtaishia pabaya
 
Uaminiwe ww kma nani ?

Uchawi upo na unafanya kazi sasa kwanini wachawi wasiwepo

Ttzo la uchawi linagombanisha sana jamii,mauaji,husda na chuki baina ya jamii ndo mna tunapinga uchawi kwa nguvu zote

Leo hii watu wangapi wamekimbia makwao na hawataki kurudi kabisaaa kisa imani za kishirikina.watu wanaacha majumba yao na kukimbia kusikojulikana ilimradi aishi salama

Watu wangapi leo hii wameuwawa kisa imani za kishirikina? Hlf unataka likaliwe kimya hili suala?

Acheni ushirikina jamani mtaishia pabaya
Ushirikina ni MBAYA sana.
 
Hakuna kitu sipendi hapa chini ya jua kama Imani za kishirikina. Kuna siku mzazi mwenzangu aliniambia anahisi Nina demu mpya na anamchezea sijui. Kuanzia siku hiyo nilimblock Kila sehemu sitaki kujua chochote kuhusu yeye.
Ila lazima ujue ushirikina upo na unafanya kazi, kujifanya huamini ushirikika na hujui kama upo wakati ushirikina umeandikwa hadi kwenye vitabu vitakatifu kuwa ulikiwepo basi utatudanganya

Usishiriki shirki ila amini shirki ipo.
 
Huko nako kumeingiliwa, wakina mawamposa na mafuta yao pamoja na maombi yao ya laki 5 kwa kichwa yanatia aibu.
Hujalazimishwa kumfuata MWAMPOSA , ni kwa kutoelewa kwako ndio maana unanunua upako, maji na mafuta.
Ukiuelewa ukristo hutanunua hivyo vitu Wala kutoa sadaka za kulazimishwa
 
Ila lazima ujue ushirikina upo na unafanya kazi, kujifanya huamini ushirikika na hujui kama upo wakati ushirikina umeandikwa hadi kwenye vitabu vitakatifu kuwa ulikiwepo basi utatudanganya

Usishiriki shirki ila amini shirki ipo.
Ninaamini kwa asilimia zote hii kitu ipo kwani hata ofisini kwetu naona watu wengi mpaka maboss wanaamini/ kufanya Mambo hayo. Wanafika mbali mpaka kunishawishi kuingia katika Imani zao hizo lakini kiukweli kutoka moyoni SIPENDI hizi Mambo hata kidogo na sikuwahi kuwaza kuwa mmoja wa waumini.
 
Ahsante kwa taarifa, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Mkuu ndo mana sisi waislamu wa Sunni(Salafi) tunawapiga vita sana masheikh hawa mchongo

Kma ulivosema ni kweli hapo ni uchawi tu huo hamna kitu kingine na Mungu katika kitu ambacho hakipendi ni shirki


( وَلَقَدْ أُوحِيَ إِلَيْكَ وَإِلَى الَّذِينَ مِن قَبْلِكَ لَئِنْ أَشْرَكْتَ لَيَحْبَطَنَّ عَمَلُكَ وَلَتَكُونَنَّ مِنَ الْخَاسِرِينَ )

الزمر (65) Az-Zumar

Na kwa yakini yamefunuliwa kwako na kwa walio kuwa kabla yako: Bila ya shaka ukimshirikisha Mwenyezi Mungu a'mali zako zitaanguka, na lazima utakuwa miongoni mwa wenye kukhasiri.



Kuna watu wanauchukia Uislamu kisa hawa masheikh wa mchongo humu pia wamo wanajifanya kutafsiri ndoto sijui nn ni uongo mtupu
Wamaalifatu dinu biadila.
Manhaji iliyosalimika.

Me ni nawakubali sana masalafi sema dunia tu inanihadaa sana.
 
Leo wachungaji wa mchongo kina Mwamposa na mafuta yao tuwapumzishe kidogo tuangalie upande mwengine


336923133_932706677932030_4425398350988145523_n.jpg


343930075_194729550027513_5680366304643186106_n.jpg


View attachment 2603934

Nimekuwa katika magroup ya tiba naona kuna hivi vikaratasi watu wanapewa ama kuelekezwa kuvichora na wa kuitwa mashehe wakiwaambia ni tiba, ulinzi, kuongeza, mvuto, n.k. niwarahishie tu kwamba huu ni UCHAWI!!

Kama ni ya matibabu ya kiroho kama kurogwa, hakuna anaeweza kutibu zaidi ya Allah bega jwa bega na dua, vifungu, rukya .

Kama ni kwa kujilinda, maandishi au michoro haiwezi kukulinda, Ni imani yako kwa Allah ndiyo inayokulinda pamoja nawe kupiga dua, kunukuu vifungu vyake.

Maneno ya korani hayapo kwajili ya kuchanganywa na michoro ama maneno mengine kwenye kijikaratasi, huo ni ushirikina wa kumshirikisha Allah na vitu vya ajabu ajabu, Allah hawezi kusaidiai hapa bali hayo maneno ya quran yanazuga tu ili ile michoro mingine au maneno ndio vitumike, hayo maneno hata ukimpa muarabu ni ngumu sana kuyatambua, ni lugha za kishetani

Ukipewa hivi vitu pindi unapotoka tu njiani chana chana kabisa tupa kule visiiingie nyumbani kwako na kama ulibebea mfukoni hio nguo choma kabisa
Hua nashangaa sana kuona mtu akiamn ujinga huu.
 
Mpka hpa upo mbali sana na Elimu

Hta nikwambie vipi hutoweza kunielewa

Kwaio muombe Allah akupe ufahamu wa kuijua haki
Uchawi si ushirikina,ni uelewa mbaya tu juu ya shirki,malaika walifundisha uchawi hawakufundisha shirki,wanaoitwa washirikina kwenye Quran walikua wakiabudu sanamu,acha kujitia una elimu Sana na umeongoka na usalafi wako mnaogeuza wanazuoni kuwa miungu kwa kufuata fatwa zao badala ya Quran
 
Wamaalifatu dinu biadila.
Manhaji iliyosalimika.

Me ni nawakubali sana masalafi sema dunia tu inanihadaa sana.
Salafi wanawanukuu Sana wanazuoni katika kipi kifuatwe kipi kidifuatwe(fatwa) badala ya Quran..huko ni kigeuza wanazuoni kuwa miungu badala ya Allah,na Allah kaonya Hilo kwenye Qur'an
 
Back
Top Bottom