Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
[emoji3516]Haya ndio Mambo ya kuandika sasa ila utapata likes chahe kwa sababu watu WANAPOENDA upuuzi zaidi ya vitu vyenye msingi, kv Uzi wa ulushawahi kula tunda kimasihara?
Dah sasa kulingana na ushauri wa Robert Heriel ni bora uwe na ka bajeti ka kununua mbunye kupunguza genye sasa hapo inakuwaje mkuu. Mimi nime changanyikiwa hapo sielewiHii ni kweli,ukitoatoa shahawa bila mpangilio zinaondoa kinga na nguvu ya mwili kiroho..wanawake Wana gundu Baya Sana!
Sasa nn kinakuchanganya hapo??Dah sasa kulingana na ushauri wa Robert Heriel ni bora uwe na ka bajeti ka kununua mbunye kupunguza genye sasa hapo inakuwaje mkuu. Mimi nime changanyikiwa hapo sielewi
Hapo nimekuelewa bila shaka mkuu sasa narudi kwa hoja ya mkuu Futuza hapo juu ya kuwa kutoa toa shahawa hovyo ni kupoteza kinga ya mwili na kiroho (ipo kiimani zaidi though) ndio mana nikasema nipo dilemma je nigonge proschucha ambaye kiroho sio nzuri au niwe na demu japo napo Kiuchumi ni kichomi tupuSasa nn kinakuchanganya hapo??
Lengo la kutokua na demu ni ili kuweza kubajeti pesa yako na kufikia malengo. Mfano ww kila sku unaingiza 10k lakn demu yy mara aombe 30k ya saloon, mara aombe 100k ya kodi, mara mamake mgonjwa je hapo utafikia malengo??
Lakn ukinunua malaya n rahisi kudraft bajeti,, labda unatenga 50k kila mwez kwa ajili ya malaya,, tofauti na ukiwa na demu mda wwte anakupiga kizinga.
πππππ[emoji3516]
KAMA MODERETA MWENYEWE NI JAMII YA AKINA MPWAYUNGU,
USIKUTE BADALA YA KUMPA CHEO CHA PLATINUM,
YEYE ANAKUJA KUMPIGA BAN. [emoji13][emoji13][emoji13]
Umesoma ukaelewa nilichoandika au....naona kama umeelewa kinyume na unamaanisha rikiboy ndio ameandika huu Uzi au[emoji3516]
HIS EXCELLENCY PROFESSOR rikiboy AMEKUKOSEA NINI??
jembeeWE MWAMBA MUNGU AKUWEKE SANA ILA UNGEKUWA UNAPOSTI KWA NJIA YAVIDEO UKO YUTUBU PIA ILI WATU WAPATE HAYA MADINI
"kibongo bongo mapenz Ni liability" nakubaliana na hili
Uzi mzuri Sana wa kuelimisha
Naunga mkono hoja ,Hilo la kuwa na mtot ukiwa Bado ujimudu Ni changamoto sanaHuna baya Robert, uko vizuri umetembelea humohumo nilipokua mimi, pia muhimu kuepuka kupata watoto ukiwa bado ground, inakata sana hii
Utashanga kina genta na mzee Mohamed said ndio wanaenda kupewa tuzo na zawad mbalimbali wakt Taiko wa fasihi Yuko tuModerator mpeni cheo cha Platinum huyu jamaa ana madini mazito sana
Nimekusoma kindakindaki, brother so, najifunz kitu kwak now, na nimeelewa nimekukubali sana shukran kwa ujumbe wako.